Katika wilaya ya Tarime rushwa imekithiri sana, matajiri wamekuwa wakipoka haki za masikini waziwazi, vyombo vya utoaji haki vimekuwa vikikandamiza haki za wasio na pesa waziwazi, ukiishi Tarime kama huna pesa kuwa mpole maana huku haki yako inapokwa waziwazi tena ukiwa unaona.
Tarime mtu...