tarime

  1. N

    Uchaguzi 2020 CCM Tarime: Mtia nia Dittu Manko yuko Kenyamanyori anagawa Tsh. 10,000

    Mtia nia wa Ubunge jimbo la Tarime mjini, Ndugu Dittu Manko muda huu yuko Kata ya Kenyamanyori, amezungumza na wajumbe na kuwagawia rushwa ya 10,000 kwa kila mjumbe.
  2. Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

    Hali ndio kama mnavyoona ndugu zangu Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
  3. N

    Uchaguzi 2020 Mwita Waitara na mwenzake watoa milioni 30 kwa viongozi UVCCM Tarime kuwasaidia kushinda kura za maoni, hali zao ni mbaya

    MWENYEKITI UVCCM TARIME APEWA MILIONI 30 KUFANYA ZIARA KUMBEBA MWITA WAITARA NA GERALD MARTIN KUELEKEA KURA ZA MAONI TARIME MJINI NA VIJIJINI Uongozi wa UVCCM Tarime umeamua kuchukua mkondo wa kuegemea kwa watia nia, na tayari wameunda timu yao wanayoiita chaguo la vijana kuelekea mchakato wa...
  4. Mwenyekiti wa CHADEMA Tarime, Martin Maranja akamatwa na Polisi usiku wa manane. Sababu za kukamatwa hazijaelezwa

    🎙”Taarifa: Kamanda @IAMartin_ amekamatwa na @tanpol usiku wa kuamkia leo Alhamis Mjini Tarime na mpaka sasa haijajulikana sababu za kukamatwa kwake.”- @PatricOleSosopi #FreeMartinMaranja
  5. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, kambaka Binti mwenye umri wa miaka 16 ambaye alikuwa akifanya kazi ya kukusanya mapato katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime Kama kibarua. Inasemekana siku ya tukio Mkurugenzi alimchukua binti huyo waende naye Musoma akidai Baba yake yuko Musoma...
  6. J

    Kwa niliyoyashuhudia Gongolamboto leo hakika nitawashangaa sana wapiga kura wa Tarime kama watamchagua Mwita Waitara

    Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla. Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake Ukonga...
  7. N

    Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Tarime ahamia Chama Cha Mapinduzi leo

    Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50. Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu. Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
  8. Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

    Huu ndio uongozi , Tukisubiri vya ALIBABA tutakwama
  9. Wana Tarime mmenifurahisha sana

  10. Haya mashamba ya bangi DC wa Tarime anajua?

    Kuna vijiji ukipita huko tarime unaweza hisi awako tanzania wako na nchi yao Hivi vijiji kuna mashamba mengi na kwa pembeni mtaona miwaa imezunguka Ukibahatika kuingia ndani unaweza dondoka gafla n bangi za kufa mtu Siohilo wananchi wamefikia hata kuvuna bila uwoga na kupeleka mzigo mpaka...
  11. Tarime raha sana, chai ya asubuhi ni zaidi ya chakula cha mchana

    Mambo ya Tarime Hayo!
  12. Tarime Mjini nako moto unaendelea

    Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
  13. K

    Nini hatma ya ujenzi wa soko la Tarime mjini

    Wafanyabiashara walipewa notisi na Halmashauri ya Mji wa Tarime juu ya kuvunjwa vibanda vyao ili kupisha ujenzi wa soko la kisasa. Pamoja na hayo walitakiwa kulipwa fidia ya vibanda vyao kitu ambacho Halmashauri ya mji wa Tarime hakikufanya. Wenzao wa Geita walipovunja mabanda katika mji wa...
  14. WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

    Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM. Thread...
  15. J

    Wakurugenzi wa halmashauri watii agizo la Rais Magufuli

    Rais Magufuli alitoa agizo la kuwataka DEDs wa halmashauri zilizo vijijini lakini wenyewe wanaishi mjini kuhamia maeneo yao ya kazi ndani ya siku 30 na mwisho ni tarehe 07/11/2019. DED wa Tarime vijijini ameshafungasha virago na tayari yuko kijijini na amewataka watumishi wote kuwa wamehamia...
  16. Water everywhere, but no water for the residents of Tarime, Tanzania

    An open letter to His Excellency, President John P. Magufuli, President of Tanzania WATER, WATER EVERYWHERE - BUT NO WATER FOR THE RESIDENTS OF TARIME, TANZANIA? In our Holy Bible: Ecclesiastes 1:9 That which has been, is that which will be, And that which has been done, is that which will be...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…