Leo wizara ya Afya imetangaza kuwa hadi jana, tarehe 14, jumla ya watu 207,391 wamechanjwa kati ya chanjo 1,008,400 tulizoletewa na watu wa Marekani.
Chanjo zilizinduliwa rasmi tarehe 28 July, 2021, karibu wiki 3 zilizopita.
Tathmini yangu inajikita kwenye muitikio wa watu kuchanjwa. Leo hij...