tazara

The TAZARA Railway, also called the Uhuru Railway or the Tanzam Railway, is a railway in East Africa linking the port of Dar es Salaam in east Tanzania with the town of Kapiri Mposhi in Zambia's Central Province. The single-track railway is 1,860 km (1,160 mi) long and is operated by the Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA).
The governments of Tanzania, Zambia and China built the railway to eliminate landlocked Zambia's economic dependence on Rhodesia and South Africa, both of which were ruled by white-minority governments. The railway provided the only route for bulk trade from Zambia's Copperbelt to reach the sea without having to transit white-ruled territories. The spirit of Pan-African socialism among the leaders of Tanzania and Zambia and the symbolism of China's support for newly independent African countries gave rise to TAZARA's designation as the "Great Uhuru Railway", Uhuru being the Swahili word for Freedom.
The project was built from 1970 to 1975 as a turnkey project financed and supported by China. At its completion, the TAZARA was the longest railway in sub-Saharan Africa. TAZARA was also the largest single foreign-aid project undertaken by China at the time, at a construction cost of US $406 million (the equivalent of US $2.67 billion today).TAZARA has faced operational difficulties from the start and was kept running by continued assistance from China, several European countries, and the United States. Freight traffic peaked at 1.2 million tons in 1986, but began to decline in the 1990s as the end of apartheid in South Africa and the independence of Namibia opened alternative transport routes for Zambian copper. Freight traffic bottomed out at 88,000 metric tons in Fiscal Year (FY) 2014/2015, less than 2% of the railway's design capacity of 5 million tonnes per year.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    TAZARA yatoa taarifa ya ajali ya Treni ya abiria na mizigo zilizogongana uso kwa uso maeneo ya Mwakanga, 62 wajeruhiwa

    Pia soma: TAZARA: Treni ya abiria na mizigo imegongana uso kwa uso maeneo ya Mwakanga, 62 wajeruhiwa
  2. Erythrocyte

    Uongozi wa TAZARA mnatia aibu , mnashindwaje kubadili hata balbu tu ?

    Tazara Makao Makuu Dar es salaam ilikuwa sehemu nzuri sana ya kupendeza , na hasa usiku , kwa yale mataa mazuri yaliyozunguka ofisi hizo , inasemekana yaliwekwa na Wachina . Sasa inaonekana yote ni kama yamezima kutokana na balbu kuungua , yapo yaliyozima yapata miaka 10 sasa , yaani kubadili...
  3. B

    TAZARA yapigiwa chapuo ifanyiwe ukarabati mkubwa na uendeshaji mpya

    Beijing, China RAIS HICHILEMA AIPIGIA CHAPUO TAZARA IKARABATIWE HARAKA https://m.youtube.com/watch?v=T2pHN2eVLJg Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA lawa agenda kubwa mezani wakati wa ziara ya rais wa Zambia. Ambapo mbali ya kusaini mikataba kadhaa ya makubaliano ya MoU, suala la...
  4. JanguKamaJangu

    Wakati wa ujenzi wa Reli ya TAZARA (1968 – 1975) zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa

    Wakati wa Ujenzi wa Reli ya TAZARA zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa, kati yao Wachina walikuwa 64. Ujenzi ulihusisha Vibarua na Wahandisi 38,000 kutoka Tanzania na Zambia, pia timu ya Wataalam na Wahandisi 13,500 kutoka China. Reli hiyo iliyojengwa kati ya Mwaka 1968...
  5. masopakyindi

    TAZARA inahujumiwa na viongozi?

    Kwa kweli sielewi. Kama ni hujuma basi ni kubwa sana. Kwamba Serikali haioni jinsi malori ya wafanyabiashara wanavyoirarua babara ya TANZAM , haingii akilini. Kwamba Serikali haioni jinsi TAZARA inavyozidi kudorora huku mizigo inachukuliwa na wafanyabiashara, haingii akilini. Wafanyabiashara...
  6. Replica

    Rufiji Kumenoga: TAZARA yanunua behewa la tani 200 kubebea mitambo bwawa la Mwalimu Nyerere isiyobebeka kwa barabara

    TAZARA imesema imenunua behewa lenye uwezo wa kubeba tani 200 litakalotumika kubeba mizigo ya bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere iliyozidi uzito au upana wake unazidi kiwango cha upana unaopaswa kusafirishwa kwa barabara. Msemaji wa TAZARA amesema behewa hilo limenunuliwa kwa dola za kimarekani...
  7. BARD AI

    Treni ya Mizigo iliyobeba Kemikali yapinduka Morogoro

    Mabehewa 22 ya Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) yamedondoka mkoani Morogoro yakiwa na kemikali tani 1,099 za Sulphur Dioxide. Wataalamu kutoka katika mamlaka mbalimbali za serikali wapo katika jitihada za kudhibiti madhara ya kemikali hizo kwa binadamu na wanyama baada ya treni hiyo...
  8. Mganguzi

    Hongera TAZARA nimeridhishwa na huduma zenu

    Ni fire ! ni mwendo wa kujimwagilia tu,k vant,john walker,konyangi kuku choma yaani ushindwe mwenyewe ,mtuwekee na warembo muongeze na spika kubwa ! mambo mengine kama uchakavu wa mabehewa na viti, uchafu hayo sisi hayatuhusu kikubwa tumefika dar tuko full data!
  9. Jamii Opportunities

    Senior Mechanical Engineer at TAZARA

    The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a Statutory Institution owned by the two Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia on a 50/50 share holding basis, with its registered head Office being in Dar es Salaam, Tanzania. The Authority has two Regional...
  10. A

    Revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia

    Former Mufulira Member of Parliament EVANS CHIBANDA says the revamping of the Tanzania-Zambia Railways -TAZARA- will bring about economic growth for Zambia. Dr. CHIBANDA further says actualising the agreements to expand the TAZAMA Pipeline following change in objectives from transportation of...
  11. Rashda Zunde

    Faida za uboreshaji wa reli ya TAZARA

    Baada ya ziara ya Rais wa Zambia nchini Tanzania, Rais Haikinde Hichilema pamoja na Rais Samia Suluhu wamekubaliana kuboresha reli ya TAZARA yenye miaka 46 tangu kujengwa kwake. Zifuatazo ni faida za maboresho ya reli hiyo: Kupunguza gharama za kufanya biashara Kuvuta wafanyabiashara wengi...
  12. Getrude Mollel

    Tanzania itapata faida gani kama TAZARA itajengwa kwa kiwango cha SGR?

    Katika ziara ya Rais wa Zambia nchini Tanzania, Mh Hakainde Hichilema July 2, 2022, yeye na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania walikubaliana kufufua ujenzi wa reli ya kihistoria ya TAZARA kwa kiwango cha ‘Standard Gauge Railway’ (SGR). Reli ya TAZARA ina urefu wa kilomita 1,860...
  13. mirindimo

    Kama tunataka matokeo makubwa TAZARA tupafumue pale kiutendaji

    Ukifika Ofisi za Tazara unaweza kukuta nusu ya wafanyakaza hawapo kazini hata wiki nzima na kwao hiyo ni normal kabisa. Mkurugenzi akitoka tu na wao hupanga lini niende ofisini lini nisiende nitoke saa ngapi, kama kweli tunataka matokeo yenye tija na hizi reli tulizozijenga kwa hela nyingi za...
  14. konda msafi

    Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto, Chanzo Hitilafu ya umeme

    Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto. Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea. Zima moto na gari lao wapo ila...
  15. FRANCIS DA DON

    Napendekeza kazi za kuhesabu idadi ya watu (Sensa 2022) ifanywe na wajumbe wa nyumba 10 , pesa zitakazookolewa zikajenge flyover TAZARA

    Kwa kupitia serikali za mitaa / vijiji (local government) , wajumbe wa nyumba 10 wapewe fomu za sensa na wapite kwenye nyumba zilizochini yao, wapewe wiki moja tu wawe wameshazitembelea nyumba zote zilizochini yao na kuzijaza fomu zote kwa kila nyumba, wakazikabidhi fomu hizo kwenye ofisi za...
  16. Lord denning

    Hadi leo najiuliza, ilikuwaje tukajenga SGR kwenda Burundi na kuacha kuboresha TAZARA kuwa SGR ambapo tungefika Congo kirahisi sana

    Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia. Wameelezea upekee wa reli hii na namna inavyopita kwenye mbuga maarufu za Selous na Mikumi na inavyopita mwenye milima ya Iringa hadi...
  17. Jamii Opportunities

    Senior Civil Engineer at TAZARA - 2 posts

    The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a Statutory Institution owned by the two Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia on a 50/50 share holding basis, with its registered head Office being in Dar es Salaam, Tanzania. The Authority has two Regional...
  18. Lee

    Kero: TAZARA (MFUGALE FLYOVER) kutofatwa sheria na utaratibu wa barabarani hasa wakati wa usiku imekuwa donda sugu

    Wanajamvi salaam, kwa kipindi nmekuwa mtumiaji wa barabara ya nyerere road inayopita Tazara hasa pale flyover ,wakati wa usiku kumekuwa na changamoto kubwa ya kutofata utaratibu wa sheria barabarani pale kwenye Junction ya kutokea airpot, taifa , au mjini na yale magar yanayotoka buguruni kila...
  19. mgt software

    Upanuzi wa Ubungo na TAZARA sasa Ilala na Mbagala wameondoka bila malalamiko, kwanini Kariakoo na Posta

    Wana JF, Kama kuna kitu kinakera ni kuangushiana jumba bovu. Katika upanuzi za barabara za mwendokasi na madaraka, tumeshuhudia wafanyabiashara wengi wakipisha ujenzi bila shuruti kwa kuwa wanajua ni suala la muda tu wataondoka. Watu hawa unatafuta sehemu ya kuamishia biashara zao bila...
  20. Lycaon pictus

    Tukitumia maexpert kutoka nje inaweza kusaidia kuendesha mashirika kama TAZARA?

    Zamani kuna historia kuwa Mobutu alipoona uchumi unaenda hovyo akaajili mbobezi kutoka Ulaya kuwa gavana wa benki kuu. Jamaa akaja na mipango mizuri sana ya kuokoa uchumi. lakini alikuta vikwazo kibao, Mobutu alikuwa anaifanya benki kuu kama kibubu chake. Wakashindwana jamaa akasepa. Mkapa...
Back
Top Bottom