tbl

  1. R

    Naomba namba za TBL

    Wakuu nawasalimu. Tafadhali naomba mwenye namba za Tanzania Breweries makao makuu anisaidie. Zote nilizopata kwenye mtandao hazipatikani. Na ninashangaa pia kwa nini TBL hawana website yao.
  2. B

    CEO mpya Simba utawezaje kuitumikia klabu na kampuni ya TBL kwa wakati mmoja?

    Moja ya Habari iliyotamba kwenye duru la michezo na kwenye mitandao ya kijamii nchini mwishoni mwa wiki ni klabu ya soka ya Simba kumpata Afisa Mtendaji Mkuu mpya mwanamke , Barbara Gonzalez. Barbara Gonzalez, mbali na wadhifa huu mpya katika klabu hii kongwe ya soka nchini ni mfanyakazi wa...
Back
Top Bottom