Wakuu nawasalimu. Tafadhali naomba mwenye namba za Tanzania Breweries makao makuu anisaidie. Zote nilizopata kwenye mtandao hazipatikani. Na ninashangaa pia kwa nini TBL hawana website yao.
Moja ya Habari iliyotamba kwenye duru la michezo na kwenye mitandao ya kijamii nchini mwishoni mwa wiki ni klabu ya soka ya Simba kumpata Afisa Mtendaji Mkuu mpya mwanamke , Barbara Gonzalez.
Barbara Gonzalez, mbali na wadhifa huu mpya katika klabu hii kongwe ya soka nchini ni mfanyakazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.