tech

Virginia Tech (formally the Virginia Polytechnic Institute and State University and informally VT, or VPI) is a public land-grant research university with its main campus in Blacksburg, Virginia. It also has educational facilities in six regions statewide, a research center in Punta Cana, Dominican Republic, and a study-abroad site in Riva San Vitale, Switzerland. Through its Corps of Cadets ROTC program, Virginia Tech is a senior military college.Virginia Tech offers 280 undergraduate and graduate degree programs to some 34,400 students. It manages a research portfolio of $522 million, placing it among the top 50 universities in the U.S. for total research expenditures, top 25 in computer and information sciences and top 10 in engineering, with the latter two the highest rankings in the state. It is classified among "R1: Doctoral Universities – Very high research activity". As of 2015, Virginia Tech was the state's second-largest public university by enrollment.VT has produced two Rhodes Scholars, four Marshall Scholars, 38 Goldwater Scholars, and 131 Fulbright Scholars. Among its alumni are eight Medal of Honor recipients, 97 flag officers, governors of two U.S. states, two astronauts, and one billionaire. Three Nobel laureates and one MacArthur Fellow have received a degree or served as faculty members at the university. As of 2015, VT had more than 240,000 living alumni worldwide.The university's athletic teams are known as the Virginia Tech Hokies and compete in Division I of the NCAA as members of the Atlantic Coast Conference.

View More On Wikipedia.org
  1. P h a r a o h

    Discoveries, Science, Technology and Nature

    Ninauweka wakfu uzi huu kwaajili ya ku-share mambo yanayohusiana na uvumbuzi, sayansi, teknolojia, na nature leo naanza na hii Sungura wa California wameanza kula nyama: utafiti mpya unaonyesha kuwa wanakua wawindaji Katika mabadiliko yasiyotarajiwa ya asili, sungura wa California...
  2. Technophilic Pool

    China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

    Wakuu nauliza tu!! Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!! Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa...
  3. figganigga

    Tech & media convergency (TMC) yashirikiana na Ubalozi wa Marekani dar, katika kutekeleza mradi wa kuimarisha ushirikiano katika ajenda ya kidijitali

    Dar es Salaam, 16 Januari, 2025 - Tech & Media Convergency (TMC) Inapenda kuwatangazia ushirikiano wake na Idara ya Serikali ya Marekani (Ubalozi wa Marekani, Dar es Salaam) katika kuzindua Mradi wa kimapinduzi ya Tanzania Digital Collaboration." Programu hii ya kibunifu unalenga kuimarisha...
  4. Mad Max

    Huawei wamezindua luxury EV sedan Maextro S800: Copy na Paste ya Maybach kwa nusu bei ila more tech!

    Huawei wakiwa wameungana na JAC wamezindua gari yao ya kwanza inayoenda kwa model name Maextro, ikiwa na lengo la kushindana na Maybach na Rolls. Kuhusu bei, itauzwa kuanzia $140,000 tu, na ndio itakua gari ya bei kali kuliko zote kutoka China hadi leo.
  5. Mad Max

    Watu wanaanza kupoteza uaminifu kwa YouTube Tech reviewer MKBHD

    MKBHD kila siku ziendazo mbele anazidi kuyatimba. Juzi alikua ana review camera ya DJI Action 5 Pro akaonekana anaendesha Porsche zaidi ya 90 mph kwenye kibao cha School zone 35mph. Mashabiki wamemuwashia moto hatari. Hapo issue yake ya App ya Pannel ambayo ni App ya Wallpapers...
  6. King Evance programmer

    Programmer na developer wa Tz tunafeli wapi?

    1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki??? 2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum?? 3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia...
  7. Pasta Joshua

    Tech Security codes

    ✅35*0000*11# Hii code inazuia simu zote zinazoingia ama zinazopigwa kutokea mtandao wowote, Kutoa Piga #35*0000*11# ✅*33*0000*11# Hii ni code kwaajili ya kuzuia simu kutoka au kupiga, hii nzuri unamsetia mtoto au mdada wa kazi au yoyote anaependa Kuongea na Simu Usiku, Kutoa Piga #33*0000*11#...
  8. zigi 01

    Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT

    Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT kati ya vyuo hivyo hapo kwa level ya degree!. Chuo kizuri kwa kozi ya ict kati ya must, arusha tech na ardhi
  9. G

    Tech Money: Siku ya leo ninalaza faida ya laki 5, wiki 2 zijazo nategemea kufunga biashara kwa faida milioni 3, kuna wabongo wanapenda sana games.

    Niliweka uzi huu jujwaa la biashara ila audience yake nilivyoiona ina mwamko mdogo wa mambo ya tech, nimeona niwaletee watu wa tech. Ni biashara ambayo huwa naifanya kipindi ambacho game ya mpira toleo jipya likitoka, silaha kuu ni kujitahidi kuwa mtu wa mwanzo kabisa kumiliki mali, inasaidia...
  10. G

    nina milioni 1, ninunue kifaa gani au niwekeze huduma ipi kwenye tech niingize pesa ?

    N:B: Sihitaji idea za PS, kamari, forex, bitcoin. habari zenu wana tech, naombeni mnipe ideas Nipo mazingira ya mjini binafsi ni muajiriwa lakini ni mdau mkubwa sana wa side hustles Nahitaji wazo au vifaa / huduma walau kuingiza elf 10 kwa siku, niliwahi kufungua banda la games tatizo kubwa...
  11. Jamii Opportunities

    Internship at Tetra Tech August 2024

    Internship for Tanzania Private Sector Strengthening Project The USAID-funded Feed the Future Tanzania Imarisha Sekta Binafsi (Private Sector Strengthening) project in Tanzania, implemented by Tetra Tech International Development (International Development Jobs – Tetra Tech), is currently...
  12. jikuTech

    Maelezo Kutoka Jiku Tech Tips ya Kujiunga na Mafunzo ya Android Development

    Karibu katika safari ya kujifunza kutengeneza android app yaani App za simu za Android, Kujifunza Taaluma hii kuna umuhimu wa mtu kuwa na uelewa wa nini anaenda kufanya na kwa nini. Elimu hii ni moja kati ya elimu ndani ya software development, kwa hiyo kwa kutekeleza mafunzo haya ya...
  13. Mad Max

    Tanzania Railway Cooperation (TRC) wanahitaji Electrical Tech II na Mechanical Tech II.

    Wakuu. Jana Tar 05 July wametangaza hizo nafasi. Waliosoma Diploma ya izo kozi mapambano yaendelee.
  14. Technophilic Pool

    TECH: Kuna mtu niliwahi kumtumia picha ya ku-view once cha ajabu akanifowardia hiyo picha

    Kama kuumbuka nilishaumbuka tena si mara moja mara mbili watu tofauti huyu wa pili alisema yeye anatumia simu ya samsung. Wa kwanza hakuweza hata kuniambia anatumia simu gani. Kuna jamaa angu anatumia samsung nilimtumia picha ya view once yy hakuweza kuis screenshot wala kuihifadhi! hapo...
  15. nyumbani kwenu

    Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja

    wakuu habar zenu? Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja za mitandao tofauti, hii teknolojia nimeipa maua yake aisee. Zaman nilikua nahangaika na kubadilisha line kwa kitochi lakin sasa hivi naenjoy,nimesajili line zangu zote kwa eSim,ambapo nikiamua line gan...
  16. mafolebaraka

    Working as a content/chat moderator in Tanzania

    Ushawahi kusikia watu wanaolipwa kwa kutazama na kureview maudhui ya mtandaoni? Ushawahi kutamani kupata kazi ya aina hiyo?. Je vipi kuhusu faida na hasara zake? shuka nayo Mapema mwishoni mwa mwaka jana nilipata kazi kwenye moja ya jukwaa la freelancing ninalolitumia kwa kipindi kirefu.Wakati...
  17. Mto Songwe

    Wataalam wa Tech naomba elimu yenu kuhusu Apps na websites

    Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites. Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi? Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani? Gharama za mafunzo zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa na muda unaweza kuchukua...
  18. K

    INAUZWA Brand New SWISS TECH. 300,000 Pesa Feki Haipiti..

    Usd, euro Mpya kabisa. Piga 0712347749
  19. Ultimate

    Pantheon Show: Moja ya series bora zaidi upande wa TECH

    Aisee Hii series nimekua recommended na moja ya jamaa yangu Nimemaliza kuangalia pantheon S02 itoshe kusema ukiachana na mr robot hii animation series kutoka studios za amazon prime ni kali Kiufupi hii series inaongelea UIs (Uploaded Intelligence) na CIs hii ni mbali zaidi ya AI...
  20. Mto Songwe

    U.S- CHINA Tech War: China ipo miaka kumi(10) nyuma katika utengenezaji wa Chip " C.E.O wa Intel

    C.E.O wa kampuni ya kiteknolojia ya kimarekani Intel inayo husika na utengenezaji wa semiconductor anasema nchi ya China bado ipo miaka kumi nyuma katika teknolojia ya utengenezaji wa Chip na itabaki kuwa hivyo. Skip to main content Open menu Intel CEO Gelsinger says China is ten years...
Back
Top Bottom