Huu ndio ulimwengu ambao umebeba Utajiri usipsahaulika ukimiliki Hatimiliki zake...
Teknolojia ya Blockchain ni ulimwengu kamili ambao unajitegemea kama unataka kujifunza inatakiwa uuzurie Meeting tunazozifanya kwakupitia Google Meeting na Zoom Meeting
Tambua juu ya Metaverse, NFTs...
Ninauweka wakfu uzi huu kwaajili ya ku-share mambo yanayohusiana na uvumbuzi, sayansi, teknolojia, na nature
leo naanza na hii
Sungura wa California wameanza kula nyama: utafiti mpya unaonyesha kuwa wanakua wawindaji
Katika mabadiliko yasiyotarajiwa ya asili, sungura wa California...
Habari wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo
Usomaji wa matangazo ya week,
Kwa dunia ya...
Habari za muda huu wakuu,
Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kumekua na utaratibu wetu wa kufuata taratibu na kalenda ya kanisa inavyotaka, ni kitu kizuri sana, lakini naona kuna haja ya kuendana na mabadilko ya technology ilikua kuokoa muda
Mfano
1)...
Greetings, Jamii Forums community!
As a BSc Physics with Medical Physics graduate, I have developed a strong foundation in problem-solving, critical thinking, and technical expertise, allowing me to contribute effectively in diverse fields such as education, technology, industry, and medicine...
Habari wanajukwaa
Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo
Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C#
Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop
Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office
HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio...
Hii changamoto imetokea tangu mwaka 2022 ikatulazimu tuendelee kusubiri maana bado tulikuwa tunasoma , hivyo hela iliyokuwa imezidi ikawa inatumika kwa michango mingine kama direct cost na tuition fees hii haikupelekea hiyo hela iliyozidi kutokana na uongezewaji wa Ada kipindi ambacho Sisi...
Anonymous
Thread
chuo
fedha
katika
mbeya
mbeya university
must
science
science and technologytechnology
university
Kuna hiki chuo chetu cha DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT) chuo toka kimefunguliwa wiki ya 7 sasa lakini wanafunzi hatujasajiliwa kisa mfumo unao-monitor wanafunzi yaani "SOMA-DIT" una changamoto, na tunapojaribu kufuatilia pengine ikibidi kwenda kwa watu wa system hawaji hata ofisini...
Anonymous
Thread
chuo
dar
dar es salaam
dit
jina
technology
wanafunzi
wiki
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi ya mtandao,kamera,memory,housing nk.?
Wahindi wengi wanaikubali Sana Israel.
Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel. Wanaikubali Sana Israel.
Kumbuka India ina watu 1.4 billion na Israel 10 million lakini wako obsessed Sana na Israel.
Cha ajabu tena wahindi wengi sio wakristo. Wengi ni Hinduism.
Mbeya University of Science and Technology (MUST) is seeking qualified candidates for various academic positions. Below are the available job postings:
Post: Assistant Lecturer – Health Informatics – 1 Post
Employer: Mbeya University of Science and Technology (MUST)
More Details
Application...
Watu wengi wanauliza mchango wa kobaz wakijumlisha watu wa mashariki ya kati katika mchango wa teknolojia duniani.
Nawaletea makala kuhusu mchango wa Iran katika maendeleo ya teknolojia duniani.
Baada ya Iran zitafuata nchi zingine za mashariki ya kati.
stormryder
ward41
Bams
dudus
and 100...
Mfano magari yote yanatumi carnot cycle invention! Mengine yote baada ya carnot cycle invention, I can call it Industrial designs tu ndizo tofauti!
Sasa hawa Youtube na Tiktok wanatofaunian namna gani technologywise!
Habari wakuu naomba msaada mwenye ufahamu na kozi ya laboratory science and technology kwenye upande wa fursa baada ya kuhitimu, pia ningependa kujua changamoto zake baada ya kuhitimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.