Position :Director of Knowledge Management – 1 post
Post category(s): It and telecoms
Employer: Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH)
Duties and responsibilities
To promote knowledge sharing through the organization’s and strengthen links between sharing and information...
Post: Documentation and Publication Manager – 1 post
Post category(s): it and telecoms
Employer: Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH)
Duties and responsibilities
Advise the Director of Knowledge Management on matters pertaining to the development of documentation and...
Kuanzia 2022 na 2024 baada ya kufika kwetu katika sayari ya Mars, tutaanza kwa kuishi katika makazi ya namna hii huku tukiitransform Mars kuwa nzuri zaidi.
Picha ikionesha majengo yaliyojengwa kwa teknolojia ya 3D Printing.
2022 na 2024 tukifika kuanza shughuli za ujenzi na utafiti akinifu...
I am interested in attending conferences or symposiums where there is discussions on ICT research, opportunities, new solution seeking partners, or just a place conducive for techies to network.
So, is there a periodic technology symposium conference in Tanzania that take place may be twice or...
Hello bosses uzi huu ni maalum kwa ajili ya kufahamishana technology mbalimbali ambazo kwa njia moja ama nyingine zimezuiwa au kufichwa au kuruhusiwa kutumika tu na watu au taasisi fulani pekee.
1)THE CURE OF ALL DISEASE BY Dr ROYAL RIFE
Tuangalie kwanza Kiufupi wasifu wa Royal Rife. Royal...
Pentagon advances new technology to destroy hypersonic missile attacks
Washington, D.C. - Carrier strike groups, mechanized armored columns of ground vehicles and sensitive ground sites can all be destroyed in a matter of several minutes by fast, maneuverable hypersonic weapons traveling at...
Habari wanamember,
Kwanza kabisa nataka niweke bayana wazungu ambao nawazungumzia, hawa ni wazungu ambao walikuja huku kwetu Afrika na kututawala, kwa kesi yetu ya Tanzania nitawaongelea Wajerumani na Waingereza.
Kipimo nitakachokitumia kupima uwiano ni miaka, kwamba itatuchukua miaka mingapi...
Sumtech Company Limited
Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona,
-Speed
-Sehemu ya gari yako ilipo
-kuzima au kuwasha gari
-Routes za gari
-Gari lilipo
-Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
Habari!
Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie.
Pia tunafanya kazi yeyote ya casting.
Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu.
Tupo Mbeya mjini.
Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
Habari zenu JF
Nimekuwa nikipitia uzi mbalimbali huku JF, pamoja na majarida mengine mbalimbali mitandaoni, na kugundua kuwa kuna utofauti mkubwa sana kati ya developers au tech companies inapofika kipindi cha kuthaminisha kazi inayoletwa na mteja. Hi ni moja ya sababu inayochangia kutokukua...
Habari humu!! Hi post pia nitaiweka na kule kwenye jukwaa la elimu sababu pia inahusu masula ya elimu.
Ningependa kuanza moja kwa moja kwamba nimetengeneza app hii kwa ajil ya kumsaidia mzazi/mlezi/mwalimu/kaka/dada kumpa mtoto mazoezi kwenye somo la hisabati mda ambao upo busy na shughuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.