Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza...
Barua ya kiongozi wa Hamas iliyopatikana na televisheni ya Houth imewapongeza wapiganaji wenzao wa Houth kwa kuweza kufika mpaka ndani kabisa ya Israel.Barua hiyo aliielekeza kwa kiongozi mwenzake wa kundi la Houth ajulikanye kwa jina la Abdelmalik Alhouth.
Katika barua hiyo ambayo ni ya...
Watu wameanza kuondoka kwenye majengo marefu!!
Barabara zimekua nyeupe kabisa watu wapo mashimoni
Yajayo yanasikitisha
Kichapo kitakachoshuka hapo Telaviv itabaki kuwa kwenye rekodi
#BREAKING: Israel’s Kann Channel reports increasing fear in Tel Aviv.
The streets are nearly empty of cars...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.