Tumbili wakiwa mtaani kwenu sio nyumba zote wanazizoea na kuingia ingia yaani kuna nyumba hawakanyagi kabisa basi ndo kama tembo wananusa hatari tembo wawili usiombe waingie shambani yaani heka mbili tembo wanazifuta zote chali.
Mkakati madhubuti unahitajika kudhibiti tembo wanahatarisha sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.