Tumbili wakiwa mtaani kwenu sio nyumba zote wanazizoea na kuingia ingia yaani kuna nyumba hawakanyagi kabisa basi ndo kama tembo wananusa hatari tembo wawili usiombe waingie shambani yaani heka mbili tembo wanazifuta zote chali.
Mkakati madhubuti unahitajika kudhibiti tembo wanahatarisha sana...