Tanzania nafikiri kuna sehemu tunakosea sana, kuna watu wanasifiwa mpaka tunakufuru kwa maneno yetu. Hatukatai kumsifia mtu akifanya mazuri lakini iwe na kiasi.
Sifa, heshima, utukufu, na tukufu zote ziende kwa mwenye kutoa uzima, uhai, ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi. Sasa inashangaza mtu...