TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.
Kulingana na muda mchache huu nilioingia kwenye sekta ya ufundi Kuna vitu kadhaa nimejifunza
Mfano juzi Kuna mteja aliniletea pasi baada ya kuikagua nikagundua ile pasi yake haifai Tena kupona kwani ilipiga shoti ikaua mpaka hita lakini ile pasi ilikuwa Bado nzuri kwa bodi lake
Baada ya...
Mwenyekiti wa CCM Kibaha akimsifia Mbowe na kumtakia aendelee kuwa mwenyekiti wa chadema vinginevyo chadema itakufa.
Huu urafiki unaooneshwa na ccm kwa Mbowe, hasa wakati huu wa uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chadema unatokana na nini?
Ni kweli kwamba Mbowe ni mwenzao?
https://youtu.be/u5W0p435GHQ?si=mYGJkq3wwCv0b3lZ
====
Katibu Mkuu wa BAWACHA Taifa anayemaliza muda wake Mhe CPA Catherine Ruge ametangaza kutetea kiti chake kwa kipindi cha pili cha miaka mitano baada ya kujenga BAWACHA ya kisasa nadhani hili sote tutakubaliana nae naomba kwa...
Pamoja na polisi kuwa mnafanya kazi yenu vizuri ila Kuna wakati mnasumbua sana hasa mkiona magari mapya, na lengo la usumbufu wenu ni kuombaomba ela. Nadhani kwa Arusha inabidi mtupumzishe kidogo tuendeshe magari yetu kwa raha.
Hivi Karibuni mtu mmoja anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja Philemon Aggrey ameokoka na kuonesha kuwa ana nia ya kuacha na ushoga. Jamaa ameshare upekee wa maisha yake na kuonesha yako mengi kwenye maisha yanayopelekea watu kuwa hivyo, japo yeye amezungumzia zaidi masuala ya starehe na...
UKIZUBAA UJANANI UTAJIKUTA UZEENI UNALAZIMISHA KUWA KIJANA TENA😔
Ujana ni hatua pendwa zaidi kuliko hatua zote za makuzi ukiachilia hatua ya utoto ambayo nayi ni pendwa.
Ujana ni hatua yenye matukio mengi sana ila pamoja na kashikashi zote ujana ni kiungo muhimu cha uzeeni.
Kashikashi za...
SITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia...
Wakuu Salaam sana!
Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama ...
"Nilibakwa na majambazi wa Assad - lakini siogopi tena kuonyesha uso wangu".
****************************************
https://www.bbc.com/news/articles/c89xgdyk597o
Wakuu jf amani ya kila mtu jf imezingatiwa nami nasema Mungu wetu yu hai
Kwako Yeriko Nyerere , naona watangangika wameanza kukuona zwazwa spana za Facebook sio za kitoto mkuu jitafakari, umeyataka mwenyewe na yanakurudi sasa ,nenda kwa mizim yako katubu ,vinginevyo hakuna rangi hutoina hapa...
Ndugu zangu kwenye jambo lolote unalofanya hutafanikiwa bila kuomba ndugu zangu.
Fanya hilo jambo unalofanya lakini omba sana.
Kila unaye mwona amefanikiwa katika jambo fulani anaomba sio kuombewa kuomba mwenyewe.
Na mkiristo anaye omba yeye kama yeye kuombea jambo lake ndio anafanikiwa...
Haya ni maoni yangu binafsi,
Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda kura, nimeshawekwa mahabusu kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge mwaka 2009 enzi hizo akina zitto bado wako...
Tatizo liko wapia haswa na lilianzia wapi pale chadema?
au nani amemuona mwingine ni tatizo pale chadema kwenye harakati za mageuzi?
na kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa,
kwa viongozi wa aina hii wasioweza kuwaunganisha wananchama wa chama chao kimoja, tena kidogo tu cha siasa, badala yake...
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea.
Utawakuta akina
Lipumba
Mbowe
Dr slaa
Mkwele
Jiwe
Chenge
Makonda
Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s
Umu ndo kuna wanamapinduzi wa kweli akina soka n.k
NIlikuwa nasikia tu na kuona kwenye TV aisee
MH mama SAMIA kwa treni hii niliyopanda dar n Moro baadae Moro Dom
MH mama una mi 5 Tena inakusubiria
MUNGU akupe uhai na upendo WA kuendelea kuwatumiikia wananchiiiiba KUIPENDA nchi yetu
Wacha wale wahuni waumizane kugombea uenyekiti
Sisi...
Nadhani tujiulize swali Mama akiendaga Zanzibar ujue kuna kamkeka kananukia,
Je kupanda na kushuka kwa dolla na shilling kutokuwa stable kunaweza kukamfanya SAMIA akamuondoa waziri wa Fedha Mchemba?Kabla ya Mwaka kuisha? Au Mwanzoni mwa Mwaka unaokuja? Ili sasa tuendelee kumjadili yeye na ku...
anafanya
chadema
fedha
fundi
hizi
kucheza
kuisha
kupanda
kupanda na kushuka
kushuka
mheshimiwa
mwaka
naona
samia
tena
upepo
uteuzi
waziri
waziri wa fedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.