Construtora Tenda S.A. or Tenda, until 1994 Tenda Engenharia S.A, is a Brazilian construction company founded in 1969 in Minas Gerais with its headquarters being located in São Paulo. The company is listed on the São Paulo Stock Exchange where it raised 603 million reais ($345 million) in an initial public offering in 2007. In 2008, Gafisa bought 60% of shares of the Tenda, to becoming in a subsidiary.
Nimepata taarifa kuwa kampuni ya kimataifa ya Umbro ni moja ya wazabuni walioomba tenda ya kutengeneza na kusambaza jezi ya klabu ya Simba Sc
Zingine ni kampuni kutoka China, Sandaland Theonly One, na Vunja Bei
Kutokana na uasi uliochanganyikana na ugaidi kushamiri katika jimbo la Cabo Delgado mwaka 2021 serikali ya Msumbiji baada ya kuzidiwa sana waliingia makubaliano na nchi Rwanda kupeleka majeshi yake katika jimbo hilo kurudisha hali ya utusalama na utulivu.
Baada ya kuona ufanisi mkubwa wa kikosi...
Ninaangalia hapa list ya wale wote waliopewa tenda za kutoa huduma kwenye mradi wa Nyerere nabaki kutikisa kichwa tu. Tenda hizi zilikuwa ni za mabilioni na kwa ajili ya ku-supply kila kitu, kuanzia chakula, vifaa, huduma nk. Sana sana ulinzi ndio naona walipewa Suma JKT. Naona majina hapa ya...
Ninzo models 2 lakini utendaji unafanana.
KWANINI UTUMIE HIZI ROUTERS?
Faida ya hizi unaweza kufanya management ukiwa popote na simu yako. Hata kwa kutumia bando la kawaida.
Zina band 2 zote yani 2.4Ghz na 5Ghz wazee wa streaming na gamers hapo penyewe.
Zilizoponi AC11 ambayo ni 140,000
Na...
ISS (international space station)
Ni jidubwasha kubwa sana linalobeba maabara ya watafiti wa anga, lakini life expectancy yake ndio hivyo inakaribia kuisha, linatakiwa liondolewe.
Na kikubwa cha kueleweka hapa ISS ilitengenezwa Kwa ushirikiano wa USA, RUSSIA, JAPAN, CANADA na EUROPE. Kwaajili...
Hi huyu mwenye hii Kampuni ya Jeccs construction ni nani na nani yupo nyuma yake ?
Takukuru waichunguze maana anapendelewa sana na serikali na ana miradi zaidi ya 800 nchi nzima ya thamani zaidi ya trillioni 4 kwani hakuna kampuni zingine za wazawa?
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) hivi karibuni imetoa taarifa kwa umma kuhusu maombi ya vibali vya ujenzi wa miundombinu ya mafuta na leseni kwa ajili ya biashara na shughuli mbalimbali katika sekta ya mafuta ya petroli.
Taarifa hiyo ya EWURA imewataja waliiomba vibali vya ujenzi...
Baada ya Mwachama wa JamiiForums.coma kulalamikia changamoto ya Huduma ya Mtandao katika Mfumo wa NeST, ufafanuzi umetolewa na mamlaka inayohusika
Kusoma hoja ya Mdau kwa zaidi bofya hapa ~ PPRA Mtandao wa Manunuzi (NEST) una changamoto sana
Afisa Uhusiano wa Umma wa PPRA, Joseph Muhozi...
Habari ya uzima.
Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane .
Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper
Haya magari yote maximum yana uwezo wa kubeba 30-32Tons.
Waweza kutupigia kwa +25565812488 call and WhatsApp...
U hali gani Tanzania !
Naomba niweke mchango wangu wa mawazo hapa Jamii Forums.
Napenda kuweka wazo rasmi kwa National Housing Corporation (NHC) kuwa ipewe umakini, umuhimu na umaanani katika ujenzi wa nyumba zote za Makazi na Majengo ya Umma hapa nchini yaani isitokee Raia yoyote afanye...
Wakati Ukraine ikikumbwa na hamas za chini kabisa katika vita na upungufu wa askari na silaha,imeelezwa wapiganaji kutoka Chenchnya wamefanikiwa kuwasukuma nyuma wapiganaji wa Ukraine waliojipenyeza ndani ya mipaka ya Urusi mwezi uliopita.
Habari hizo zinakwenda sambamba na taarifa ya jeshi la...
Juzi katika kikao kimoja hoteli kubwa nchini nikakutana na mfanyabiashara mkubwa, nikamwambia mwanangu mbona hauongezi wigo wa biashara yako, akanijibu Tanzania haina biashara halali na ukafanikiwa. Doh nikastuka., tajiri akaendelea kuniambia Yeye ana duka kubwa ana mikataba na kampuni private...
KEY RESPONSIBILITIES
Increase business propositions that include deposits and assets to small and medium enterprises
Growth and maintenance of the current business banking portfolio
Reinforce Branch Sales Strategy.
Improve Customer satisfaction and Customer Retention
Achieve budgeted business...
We are seeking for a highly motivated and results-driven Sales and Marketing Officer to join our sales team.
POSITION OVERVIEW
As a Sales Representative, you will be responsible for identifying and pursuing new business opportunities, building and maintaining relationships with clients, and...
Grant Thornton is one of the world’s leading organizations of independent assurance, tax and advisory firm. We are made up of over 56,000 people in over 140 countries. We are looking for a dynamic, enthusiastic and qualified Senior Associates for our Tanzanian office to be part of a team in our...
REQUEST FOR TENDER
North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
Kuna changamoto ambayo bila kuifuchua inaweza kuzidi kuwa kubwa na kusababisha ubadhirifu, rushwa na mengine mengi yasiyofaa kwenye jamii yetu.
Uongozi wa Halmashauri ya Arusha DC imekuwa ikifanya michezo michafu kwenye utoaji wa tenda wa kukusanya ushuru wa Halmashauri pamoja na kuchezea mfumo...
Anonymous
Thread
arusha
halmashauri
harufu
harufu ya rushwa
mabaya
madaraka
matumizi
matumizi mabaya
matumizi mabaya ya madaraka
rushwa
tenda
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.
Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.
Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.