Habari ndugu,
Ninaomba msaada wa kufahamu utaratibu wa kuomba tenda za kazi ndogo ndogo zinazotolewa na Ubalozi wa Marekani . Nimefuatilia kwenye website yao, lakini maelezo yao hayajitoshelezi.
Hivyo yeyote mwenye ufahamu au mwenye ndugu/rafiki/jamaa ambaye yupo Ubalozi wa Marekani ninaomba...
The School of St Jude hereby invites interested members of the public to bid for the purchase of 1,200 litres of dirty (used) oil from motor vehicles routine services.
Please click to read the attachment for more information.
Prospective suppliers are invited to submit tenders for the provision of maize to The School of St Jude, Sisia Campus, Arusha. All interested parties are welcome to participate in the bidding process for the aforementioned items.
See the attached for more information.
Tenders are invited for the construction of the boundary wall at Moshono Campus Arusha,-Tanzania.
Interested bidders must first visit the site at Sisia Campus and sign the construction guideline form prior to submission of the tender. The site visit will be done from Tuesday 1st to 11th...
Habari wakuu.
Naomba kufahamu ni utaratibu gani wa kufuata ili kupata Tender ya kazi ndogo ndogo kwenye mradi wa SGR. mfano kama kufanya landscape na kuotesha ukoka kule pembeni(Garden).
naomba mwenye ufahamu aniambie maana naona kuna Company kibao zinafanya kule kazi kama sub contractors. Ila...
OBJECTIVE:
The prominent aim of this engagement is to purchase a system which is consolidated and comprised of finance and HR as to cater for donor compliance demands of having fiancé and HR proceeds being conducted with the help of a system.
Expected Results:
The system should be capable of...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the photocopy paper A4 to “The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their tenders for the supply of the said item.
For more details, see the attached document.
Do you have experience in manufacturing/fabricating school furniture? Are you passionate in seeing people enhancing productivity due to the quality of your furniture?
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “The supply of students’ desks, chairs, and...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “The supply of rice and beans to The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their tenders for the supply of the above items.
Tender Reference: TENDER NO: TSOSJ/2022/Rice...
Habari wanajamvi naomba mnisaidie kujua vigezo gani vinaangaliwa ili kupata tenda ya usafi mgodini Mimi n mjasiriamali mdogo lengo langu ni kupata takataka za chuma km drill bit nk yan skrepa natakiwa niwe na vigezo gani?
Naomba msaada wenu wanajamvi
Wakuu habarini, naomba kujuzwa tender ya kusambaza umeme wa REA Mtera Dodoma alipewa contractor gani.
Supply and Installation of 220/33 kV, 2 x 10 MVA substation Extension in Mtera. Tender hii ilitangazwa mwaka 2013 kama sijakosea.
Natangauliza shukrani.
Regional leasing firm, Vehicle and Equipment Leasing Limited (VAELL), will be supplying mining equipment to the second largest mine in Tanzania. Machinery worth $20 million (Sh2.2 billion) have been ordered and about $10 million (Sh1.1 billion) has already been delivered.
In the arrangement...
INVITATION FOR UNIFORM PRODUCTION TENDER
Precision Air Services Plc., is a fast growing private Tanzanian airline, which operates in partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand its services beyond East Africa and Africa.
In order to keep our services at a higher level and...
Mheshimiwa waziri ukiwa pale Luponde Mkoani Njombe, wakati ukitokea Ludewa watu walikusimamisha na kukueleza adha wanayopitia kutokana na barabara kuwa mbovu na wewe uliuona uhalisia na ukaahidi kuwa mwezi wa tano mtatangaza Tender ya kuanza ujenzi wa barabara ya Njombe-Ludewa-Manda kwa kujenga...
BILL COUNTER MACHINE*
MASHINE YA KUHESABIA HELA
🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
🔺Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa
🔺Mawakala wa...
Hello,
Do you have experience in the production and supply of school uniforms to charity schools? Have you worked with not-forprofit
organisations?
What you need
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “Production and supply of school uniforms to The...
Habarini za asubuhi wakuu!
Wadau nina kampuni ya general supply ( building materials and stationeries). Naomba mwenge connection ya kazi mbalimbali huko kwenye maofisi tusaidiane wakuu.
Nimekuwa nikifanya biashara ya kutengeneza Milango ya mbao za Mkongo toka Mkoani Tabora. Kama unahitaji wewe Binafsi au unaweza niunganisha na Makampuni ya Ujenzi naomba tuwasiliane tuongee biashara.
Mbao ni za Mkongo. Haziliwi na wadudu na Haziozi nadhani kwa wajuzi wa mbao wanazifahamu hbr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.