tendo la ndoa

  1. Money Penny

    Mpenzi anayeongea vs mpenzi asiyeongea wakati wa tendo la ndoa, yupi unampenda zaidi?

    Haya nimeulizwa huku Kuna wale wana wapenzi wao wakati wanafanya tendo la ndoa uwa wanapenda kuongea ongea mpaka mwisho inaitwa dirty talk Kuna wale wapenzi ambao kwenye tendo la ndoa wanakaa kimya mwanzo mwisho hata miguno hamna Yupi unampenda zaidi? Yupi unamkubali zaidi?
  2. A

    Namna ya kutumia condom kwa usahihi wakati wa tendo la ndoa (kujamiana)

    Kutumia kondomu kwa usahihi ni muhimu kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa ya 1. Kagua kifurushi: Hakikisha kifurushi cha kondomu hakijapasuka au kuharibika. Angalia pia tarehe ya mwisho wa matumizi. 2. Fungua kwa uangalifu: Fungua kondomu kwa upole kwa kutumia mikono yako. Epuka kutumia meno...
  3. Money Penny

    Wanaume tu: Hivi wanaume lita 1000 za mafuta zinakuwa zinatumika kwenye kitu gani wakati wa tendo la ndoa?

    To be honest Mpaka sahivi nawaza zile chupa 1000 nusu lita ya mafuta yaani lita 5000 za p.diddy Yani imenifanya kichwa kigande Mpaka nikitembea barabarani nikikutana na mwanaume mweusi naona sura ya Pdiddy Me simcheki P.diddy kabisa, wanaume wengi kwenye ndoa wanageuzana toka zamani mpaka...
  4. Se Busca

    Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

    Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa...
  5. GENTAMYCINE

    Kumekucha: Wanawake watakiwa kuacha Kupenda Kutumia 'Vilainishi' wakati wa Tendo la Ndoa bila Maelekezo Maalum ya Madaktari

    Kama ni mtumaji wa mitandao ya kijamii hususan Instagram, utakubaliana na mimi juu ya ongezeko la watu wanaouza vilaini (lubricant) kwa ajili ya kusaidia wanawake wasipate michubuko wakati wa tendo la ndoa. Kila mmoja akiuza bidhaa ya aina yake, njia tofauti zimekuwa zikitumika katika...
  6. Pdidy

    Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

    Ushauri nasahaa Tunapitia mengi sana makanisani ukisikiliza mmmh Kuna familia leo tulikuwa nayo wana tofauti kidogo kweli mwanaume kakiri mapungufu yake Baada ya yotee tukabidi tutafute chanzo mwanaume akasema mkewe alianza kwenda kanisa moja la kilokole anarudi usiku Mwisho akirudi...
  7. S

    Je, ni kweli watu weupe (Wazungu, waarabu nk) miili yao ni ya baridi tofauti na weusi?

    Nimekua nasikia siku nyingi kua watu weupe mfano wazungu,waarabu n.k miili yao ina baridi kama barafu wakati wa tendo la ndoa tofauti na watu weusi,kuna ukweli juu ya nadharia hii?
  8. Equation x

    Kwa sisi wanaume tuliooa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?

    Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro. Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana. Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto...
  9. GENTAMYCINE

    Kwa Kiswahili fasaha ule Ute Ute mweupe na usionuka unaopatikana Ukeni wakati wa Tendo la Ndoa / Uzinifu unaitwaje?

    Nijibuni haraka upesi tafadhali kwani kuna Mwanafunzi wa Lugha ya Kiswahili Mgeni anataka kujua na Mimi wala sijui.
  10. Mkalukungone mwamba

    Mbunge Jesca Msavatavangu ang'aka Bungeni wanandoa kunyimana tendo la ndoa

    My Take, Jamani wanandoa si vizuri kunyima utamu wa tendo la ndoa :rolleyes::) ======= Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msavatavangu amelitaka Bunge kuanzisha sheria ya kuwashughulikia watu waliozaa na kuwatelekeza watoto bila kuwapa msaada wa kiuangalizi. Msavatavangu ameyasema hayo leo Agosti...
  11. Pdidy

    Dawa ya hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke....

    Habari Na gfriend wangu tumetokea kupendana sana kusex sanaaa Baadae akafanikiwa pata mtoto Sasa n mwaka wa 3 Ila ile hamu ya tendoo la ndoaa sijui kaenda nayo mtoto ama lah Mkikutanaaaa yaaan inaweza chukua dk 15 kumchezea weee ndio unaona hamu inamuingia Kama kuna dawa ya hamu ya tendo la...
  12. Tlaatlaah

    Muda gani sahihi zaidi kurudia tendo la ndoa baada ya awamu au raundi ya kwanza kumalizika?

    Na kuunganisha tendo juu kwa juu mfululizo hata raundi tatu ina hatari yoyote labda kiafya miongini mwa wenza husika? Nani ananyanyasika au anaathirika zaidi mathalani kwa uchovu au michubuko, kati ya Me na Ke katika hali hiyo ya tendo?
  13. John kirua

    Msaada: Mke wangu anapata maumivu wakati wa tendo la ndoa

    Habari wakuu poleni na majukumu. Mke wangu ni muda sasa analalamika maumivu anasikia wakati wa tendo la ndoa kupelekea hata mimi sifurahi tendo lenyewe. Je, tatizo nini itakuwa?
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Jinsi ya kumfanya mkeo afike mshindo wakati tendo la ndoa

    JINSI YA KUMFIKISHA MKEO MSHINDO WAKATI WA TENDO LA NDOA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwanamke ni kiumbe anayehitaji Sanaa yàani ufundi ili uweze kuishi naye Kwa Amani. Tunapozungumzia Sanaa au ufundi tunazungumzia yale maagizo ya kuishi nao Kwa AKILI Kwa sababu Huwezi kuwa Fundi pasipo...
  15. mbuyake

    Nikiwa na mchepuko naweza kujifunga goli kwa kumkumbatia tu. Je, hii ni hali ya kawaida?

    Mwenzenu mimi ni mtu mzima kidogo maana kwenye 40 napeleza mitatu, kwenye mechi sina shida tangu nianze kuyajua mambo miaka ya 2001 nipo la tano huko. Hizi tatu bila kwa mechi za ugenini ni masaa kadhaa wala si kukesha, mechi za ndani mbili bila kwa usiku mmoja tunaenda. Kusudio la maada...
  16. O

    Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!

    Hii wiki inatimia sasa mke wangu ananinyima tendo la ndoa na nikumuuliza sababu ananipiga na kuniongelea maneno makali as if mimi ni mtoto wake wa kumzaa sasa sijui nini kimemsibu mpaka najuta kwanini nimeoa hili kabila ni wababe wababe na majeuri sana aisee Kila nikirudi kwenye mishe mishe...
  17. OCC Doctors

    Stamina ya mwanaume katika tendo la ndoa kabla ya mshindo

    Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake. Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine...
  18. L

    Mgonjwa wa moyo anaweza kushiriki tendo la ndoa?

    Naweza nisiwe katika jukwaa maalum ila nina maswali ninataka nipate majibu yake. Kwa mgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi na mkewe? Kama ndiyo, ni kwa utaratibu upi? Kama sio, jawabu ni nini ili iwe ndio? Je, pia kuna hatari zozote zile, kama ameshaoa? Anyways, changamoto zao ni zipi...
  19. GENTAMYCINE

    Hakuna mwanamke anayetaka ustaarabu kwenye tendo la ndoa. Je, kuna ukweli wowote?

    "Hakuna Mwanamke anayetaka Ustaarabu katika Tendo la Ndoa bali wengi wanataka Vurugu na Kuchoshwa", kasema Mtaalam wa Saikolojia. Kwa maana nyingine Wanawake wanapenda Kucheza Ligi Kuu ya Bundesliga na kamwe siyo ya Primera la Liga sawa?
  20. M

    Je, ni sahihi kwa wanandoa kuanza tendo la ndoa kwa Sala?

    Hello wakuu, Greetings, Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba Nawakaribisha.
Back
Top Bottom