Haya nimeulizwa huku
Kuna wale wana wapenzi wao wakati wanafanya tendo la ndoa uwa wanapenda kuongea ongea mpaka mwisho inaitwa dirty talk
Kuna wale wapenzi ambao kwenye tendo la ndoa wanakaa kimya mwanzo mwisho hata miguno hamna
Yupi unampenda zaidi?
Yupi unamkubali zaidi?
Kutumia kondomu kwa usahihi ni muhimu kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa ya
1. Kagua kifurushi: Hakikisha kifurushi cha kondomu hakijapasuka au kuharibika. Angalia pia tarehe ya mwisho wa matumizi.
2. Fungua kwa uangalifu: Fungua kondomu kwa upole kwa kutumia mikono yako. Epuka kutumia meno...
To be honest
Mpaka sahivi nawaza zile chupa 1000 nusu lita ya mafuta yaani lita 5000 za p.diddy
Yani imenifanya kichwa kigande
Mpaka nikitembea barabarani nikikutana na mwanaume mweusi naona sura ya Pdiddy
Me simcheki P.diddy kabisa, wanaume wengi kwenye ndoa wanageuzana toka zamani mpaka...
Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa...
Kama ni mtumaji wa mitandao ya kijamii hususan Instagram, utakubaliana na mimi juu ya ongezeko la watu wanaouza vilaini (lubricant) kwa ajili ya kusaidia wanawake wasipate michubuko wakati wa tendo la ndoa.
Kila mmoja akiuza bidhaa ya aina yake, njia tofauti zimekuwa zikitumika katika...
Ushauri nasahaa
Tunapitia mengi sana makanisani ukisikiliza mmmh
Kuna familia leo tulikuwa nayo wana tofauti kidogo kweli mwanaume kakiri mapungufu yake
Baada ya yotee tukabidi tutafute chanzo mwanaume akasema mkewe alianza kwenda kanisa moja la kilokole anarudi usiku
Mwisho akirudi...
Nimekua nasikia siku nyingi kua watu weupe mfano wazungu,waarabu n.k miili yao ina baridi kama barafu wakati wa tendo la ndoa tofauti na watu weusi,kuna ukweli juu ya nadharia hii?
Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto...
My Take,
Jamani wanandoa si vizuri kunyima utamu wa tendo la ndoa :rolleyes::)
=======
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msavatavangu amelitaka Bunge kuanzisha sheria ya kuwashughulikia watu waliozaa na kuwatelekeza watoto bila kuwapa msaada wa kiuangalizi.
Msavatavangu ameyasema hayo leo Agosti...
Habari
Na gfriend wangu tumetokea kupendana sana kusex sanaaa
Baadae akafanikiwa pata mtoto
Sasa n mwaka wa 3
Ila ile hamu ya tendoo la ndoaa sijui kaenda nayo mtoto ama lah
Mkikutanaaaa yaaan inaweza chukua dk 15 kumchezea weee ndio unaona hamu inamuingia
Kama kuna dawa ya hamu ya tendo la...
Na kuunganisha tendo juu kwa juu mfululizo hata raundi tatu ina hatari yoyote labda kiafya miongini mwa wenza husika?
Nani ananyanyasika au anaathirika zaidi mathalani kwa uchovu au michubuko, kati ya Me na Ke katika hali hiyo ya tendo?
Habari wakuu poleni na majukumu.
Mke wangu ni muda sasa analalamika maumivu anasikia wakati wa tendo la ndoa kupelekea hata mimi sifurahi tendo lenyewe.
Je, tatizo nini itakuwa?
JINSI YA KUMFIKISHA MKEO MSHINDO WAKATI WA TENDO LA NDOA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mwanamke ni kiumbe anayehitaji Sanaa yàani ufundi ili uweze kuishi naye Kwa Amani. Tunapozungumzia Sanaa au ufundi tunazungumzia yale maagizo ya kuishi nao Kwa AKILI Kwa sababu Huwezi kuwa Fundi pasipo...
Mwenzenu mimi ni mtu mzima kidogo maana kwenye 40 napeleza mitatu, kwenye mechi sina shida tangu nianze kuyajua mambo miaka ya 2001 nipo la tano huko.
Hizi tatu bila kwa mechi za ugenini ni masaa kadhaa wala si kukesha, mechi za ndani mbili bila kwa usiku mmoja tunaenda.
Kusudio la maada...
Hii wiki inatimia sasa mke wangu ananinyima tendo la ndoa na nikumuuliza sababu ananipiga na kuniongelea maneno makali as if mimi ni mtoto wake wa kumzaa sasa sijui nini kimemsibu mpaka najuta kwanini nimeoa hili kabila ni wababe wababe na majeuri sana aisee
Kila nikirudi kwenye mishe mishe...
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.
Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine...
Naweza nisiwe katika jukwaa maalum ila nina maswali ninataka nipate majibu yake.
Kwa mgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi na mkewe? Kama ndiyo, ni kwa utaratibu upi? Kama sio, jawabu ni nini ili iwe ndio?
Je, pia kuna hatari zozote zile, kama ameshaoa?
Anyways, changamoto zao ni zipi...
"Hakuna Mwanamke anayetaka Ustaarabu katika Tendo la Ndoa bali wengi wanataka Vurugu na Kuchoshwa", kasema Mtaalam wa Saikolojia.
Kwa maana nyingine Wanawake wanapenda Kucheza Ligi Kuu ya Bundesliga na kamwe siyo ya Primera la Liga sawa?
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.