Salaam wana jukwaa.
Kama kichwa cha mada kinavyouliza, Je tendo la ndoa linafaa wakati gani?Je linafaa kabla ya ndoa au baada ya ndoa? Tukiachana na Imani za dini, Je mila na desturi zetu kama Waafrika au Watanzania zinasemaje?
Haya mambo ya kutikisa kabla ya kutumia huko mbeleni kutakuwa na...