Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the Americans to the market.
It was named “Sputnik V,” reminding the Americans that they were the first...
Hii Salute Ndg zangu.
Kama mida ya saa 7 mchana Leo nimepokea SMS na Email ya invitation kuja Dar kwenye Aptitude test ya TCB kada tajwa hapo juu. But kutokana na kutingwa na majukum upande wangu sidhan kama nitahudhuria.
Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha waliopewa taarifa ya aptitude test...
Habari zenu wapendwa,
Jamani naomba msaada kwa aliyewahi kufanya computer test interview na shirika la Peace Corps, huwa hasa wanabase kwenye kitu gani?
Asante sana
Kenya will double capacity of handling transit petroleum products starting this month from the current 35,000 tonnes as the Sh40 billion new Kipevu Oil Terminal in Mombasa is complete.
President Uhuru Kenyatta is scheduled to inspect the facility accompanied by Chinese State Councilor and...
Naomba msaada kujua kuhusu kujilipia aptitude test..Nimepata email ya kua shortlisted lakini inatakiwa nifanye vitu viwili kwanza, moja ni kujaza fomu yao ya 'New staff entry assessment form (attached below) na kusubmit certification ya Psychometric Test Assessment (PAT) ambayo kuipata kwake ni...
Zaidi ya mara nne naenda kupima naambiawa hakuna malaria.
Nikiangalia mwili wangu upo hoi na hauna nguvu, watu wa hospital Hai wanapima kwa kutumia Malaria test Kit. Mbona hawatumii darubini kama zamani? Maana matokeo yanazingua jamani, mtu unaumwa alafu unaambiwa hauumwi.
Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft walitoa WSL ambayo ina version kadhaa nadhani zimefika mbili mpaka sasa.
Hii inasifika kwa kuwa na uwezo...
Hadi ninavyo andika hapa hakuna hata mbuga moja ya kusini Inayofanya Covid sample collection
Halafu unasikia Mtu anasema eti tuna promote mbuga za kusini watalii waende huko
Mbuga hizo ni;
1. RUAHA NATIONAL PARK (pamoja na kuwa na dispensary ndani ya Park wameshindwa kuiwezesha ichukue sample?)...
Habari za muda huu
Kama wiki imepita nilifanya Aptitude test ya Alistair Company sasa juzi wamenitumia majibu yangu kwamba nimefaulu
Kuna mtu hapa alishawahi kufaulu hii test yao ? Na je baada ya kufaulu nini kilifuata ?
Mana mimi wameniambia kwamba timu yao ya kuajiri ina screen Cv yangu ila...
Tujadili haya maneno, yalikua na maana gani.
Nearly all men can stand adversity, but if you want to test a man’s character, give him power.
Abraham Lincoln
Nangoja kwa hamu sana hapo tarehe 30 Juni, when the BOT report that president Samia Hassan ordered for will finally be handed over to her, nasubiri sana kuona kitakachotokea kwa watakaotajwa, na pia kama wahusika watatajwa wazi bila Rais Samia kuficha majina yao, na sababu waziri wa fedha wakati...
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Rais Samia Suluhu Hassan atalihutubia Bunge Alhamisi Aprili 22 2021 jioni
Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa Mama Samia kulihutubia Bunge tangu alipoapishwa kuwa Rais Machi 19 mwaka huu.
===
Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa
Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida za mapafu lakini...
Hello JF,
Msinicheke ila leo nimewaza kwa nini sisi wana JF tusijaribu hii nadharia inayosemwa kila siku watu wajiajiri kupitia kilimo?
Najua JF tulishawahi kuwa na kitu kama hiki ila ilikua kwa baadhi ya watu, sijui ilipata changamoto gani?
Graduates ni wengi sana.
Arable land ni kubwa tu...
Posted on December 20, 2020 by State of the Nation
Warnings concerning high CT value of tests are months too late…so why are they appearing now? The potential explanation is shockingly cynical.
Kit Knightly
Off Guardian
The World Health Organization released a guidance memo on December 14th...
Hii imezoeleka na sasa hivi imeshakuwa kama kawaida yetu wanaume wote kuambiwa tunapenda kutest mitambo hata kabla ya chochote kile,sawa tumekubali hii kwetu (hasa mimi) kukaa na wewe kama kaka na dada eti nasubiri siku ya ndoa ndio tukwichi kwichi Uvumilivu na ujinga huo sina. Nikae nasubiri...
Nimesikia jinsi gani wanavyofanya test ya COVID-19/ Corona pale Ujerumani. Ni njia nyepesi unaweza kuifanya kwako nyumbani.
Hapa taarifa:
1) Kwanza chukua chupa cha bia. Fungua na peleka chupa karibu na pua. Je unaweza kunusa kitu? Kama ndiyo, hii ni vizuri. Maana kupotea uwezo wa kunusa ni...
Kenya has recorded 605 more COVID-19 cases after testing of 4,547 samples, pushing the country’s total caseload to 23,202.
In a press briefing on Tuesday, Health CAS Dr. Rashid Aman also announced that six more patients had succumbed to the coronavirus disease bringing the number of fatalities...
Trump administration officials were reportedly notified Wednesday night that a cafeteria worker on the White House grounds has tested positive for the Coronavirus.
The employee worked at a cafeteria in the Eisenhower Executive Office Building, located just across West Executive Avenue, which...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.