Nangoja kwa hamu sana hapo tarehe 30 Juni, when the BOT report that president Samia Hassan ordered for will finally be handed over to her, nasubiri sana kuona kitakachotokea kwa watakaotajwa, na pia kama wahusika watatajwa wazi bila Rais Samia kuficha majina yao, na sababu waziri wa fedha wakati...