tetemeko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TETEMEKO: Ni wakati wa kujitayarisha kwa yajayo

    Tetemeko lililtokea majuzi limewashangaza wengi hasa wanaoishi ukanda huu wa Pwani. Kama sikosei hili ni tetemeko la pili katika muda wa miaka takriban minne au mitano nlilolisikia lakini kumbe yamekuwepo mengi. Nimekaa Dar es salaam kwa kipindi kirefu sana lakini sikumbuki kuona tetemeko...
  2. Mambo Unayotakiwa kufanya linapotokea tetemeko la ardhi

    Kwa mujibu wa tafiti za jiolojia tetemeko hutokea mara kwa mara, lakini mara nyingi ni hafifu mno, haisikiki na binadamu ila tu inapimwa na mitambo ya wataalamu. Mara nyingine huweza kusababisha madhara kama uharibifu wa makazi na mali. Tetemeko likitokea katika eneo la bahari, basi huweza...
  3. Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu? Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC) -- Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro Pia soma: Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora Tetemeko dogo...
  4. Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

    Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
  5. Tuzidishe maombi ili corona iyeyuke, fedha zinazochangwa zitunzwe zikajenge hospitali au shule ya kisasa, Bukoba wanafaidi shule ya hela za tetemeko

    Nahimiza watanzania tupige gombo la kutosha, tufanye maombi Mungu atajibu. Tukeshe mabarabarani, makanisani, misikitini na kila mahala. Hakuna haja ya kupoteza hela zinazochangwa kupambana na corona, pesa hizo zikusanywe ziachwe baadae zitumike kujenga mashule na hospitali. Yalichangwa...
  6. Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

    Kwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa. Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…