thamani

Gorgasia thamani is an eel in the family Congridae (conger/garden eels). It was described by David Wayne Greenfield and Sean Niesz in 2004. It is a marine, tropical eel which is known from Fiji, in the western central Pacific Ocean. It is known to dwell at a depth range of 14 to 15 metres (46 to 49 ft). Males can reach a maximum total length of 119 centimetres (47 in).The species epithet "thamani" was given in honour of Randolph R. Thaman, of the University of the South Pacific in Fiji.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Serikali itwambie ukweli kuhusu inflation na thamani halisi ya pesa. Gharama za maisha zimepanda sana

    Siku hizi ukiwa na shilingi elfu 10, inayoyoma kama upepo, thsmani ya pesa haipo kabisa Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu. Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya...
  2. Drop shipping Tanzania

    SoC01 Minyororo Ya Thamani

    Probably huna hela/mtaji mkubwa wa kufanya biashara, hiyo haitakiwi kukuzuia usitajirike Kuna namna 'nature' inaweza kukuAccomodate kwa kdg ulichonacho kupitia MINYORORO YA THAMANI 1. Kama kuna fursa ya kufungua restaurant, sio lazima ww ndo umiliki hiyo restaurant. Fukuzia deal ya kuuza...
  3. Chris wood

    Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

    Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka. Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo...
  4. Erythrocyte

    Fally Ipupa hana thamani kubwa kama ambacho waandaaji wa Tamasha lake wanataka kuwatoza wadau

    Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana. Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani Wasio na hela(seat): 100,000 VIP Table ...
  5. M

    #COVID19 Hoja ya Humphrey Polepole kuhusu thamani ya fedha manunuzi ya chanjo ya COVID-19 ni mfupa mgumu kwa wanasiasa wachumia tumbo

    Polepole kasema haoni thamani ya fedhha (value for money) kwenye pesa ya kununulia chanjo. Hakuna aliyejitokeza kutetea thamani ya fecha inayonunulia chanjo ya corona isiyo na uwezo wa kumlinda mtu hata kwa miezi 6 tu Hoja ya Polepole ni hii; Bei ya chanjo ni Tsh 51,000/=. Watanzania tuko...
  6. Android

    500 Zimbabwean dollar sawa na 1USD, 2400 Tanzania Shilingi sawa na 1USD, Wazimbabwe wamewazaje kupandisha thamani ya pesa yao na sisi tunakwama wapi?

    Miaka si mingi iliyopita, thamani ya 1USD ilikua ni sawa na matrilioni kadhaa ya pesa ya Zimbabwe. Lakin leo thamani ya 1USD ni sawa na 500ZWD tu. Wakati huo thamani ya 1USD ikiwa matrilioni kadhaa nchini Tanzania 1USD ilikua 1600TZS lakin sasa ni 2400TZS. Wamewazaje kupandisha thamani ya...
  7. Mzee makoti

    Floyd Mayweather anunua jumba la thamani ya billion 46.14

    Mayweather, ambaye ni promota wa ngumi na bondia wa zamani, amenunua jumba hilo katika kisiwa cha Palm Island na lina vyumba tisa vya kulala na mabafu 10. Bondia wa Marekani, Floyd Mayweather, ambaye amejipachika jina la "Money (fedha)", amenunua jumba la kifahari lililoko kisiwa cha Palm...
  8. D

    SoC01 Thamani isiyoonekana

    Mambo mengi na vitu vingi malimbali ambavyo tumekua tukivifanya binadamu na kutaka kuvifanikisha , mara nyingi huwa na mwanzo mgumu na wa kitofauti. Hii ni kutokana na matarajio makubwa sana ambayo huwa tunayawaza na kuyatengenezea picha kwenye ufahamu wetu, na kutamani kuona yakitokea mara tu...
  9. A

    Je, ni kweli Jack Grealish ana thamani ya Paundi milioni 100?

    Jack Grealish amehamia Manchester City akitokea Aston villa ambako alikuwa nahodha. Huyu dogo ambaye amewahi kutukanwa matusi mengi asiyojua maana yake na baadhi ya Watanzania kuptia mitandao, wengi tumemjua baada ya samatta kucheza pale villa park. Grealish amevunja rekodi kwa wachezaji wa...
  10. Azathioprine

    SoC01 Thamani ya Huduma Bora za Uzazi wa Mpango Katika Uwezeshaji Wanawake Kielimu na Kiuchumi

    UTANGULIZI: Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania 2015-2016, umebaini kuwa kwa kipindi cha miaka mitatu kabla ya utafiti huo, wanawake wa Tanzania wanazaa wastani wa Watoto 5.2. Vilevile, uwezo wa kuzaa kati ya wanawake unatofautiana kwa makazi yao, viwango vya...
  11. Kurunzi

    ZBC yangia Makubaliano na TFF Kutangaza Matangazo ya Mpira Redioni yennye thamani ya 3.5bilioni

    TBC na TFF wameingia makubaliano yenye thamani ya Tshs 3.5bilioni ambapo TBC watakuwa na haki xa kutangaza mpira wa ligi kuu kwa upande wa Redio. Makubaliano hayo yatakuwa no kwa miaaka 10 ambapo hakuna radio yoyote itakayo ruhusiwa kurusha matangazo hayo mpaka wapate kibali toka TBC. Una...
  12. C

    Pahala sahihi na watu sahihi ndio watakaotambua thamani yako

    Nimeshawishika kuandika hii baada ya kuona uzi wa ndugu mmoja hivi aliekua akilalamika baada ya watu kumtenga punde tu baada ya kusimamishwa kazi. But unfortunately nimesahau jina lake mnaweza kunisaidia kum tag kwa aliewahi ona uzi wake Mzee mmoja kabla hajafariki dunia, alimpa kijana wake...
  13. Shujaa Mwendazake

    Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

    Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao. Tumekuwa tukifuatilia...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Ningeweza kupandisha uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza katika bidhaa mpya zenye thamani kwa sasa duniani

    Kama kichwa cha bandiko hili kinavyojieleza kwamba. "Ningeweza kupandisha uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza katika bidhaa mpya zenye thamani kwa sasa duniani". Ndugu zangu, Naomba nianze kwa kueleza sababu moja inayofanya Gross Domestic Product per capital yetu kuwa ndogo. Gross Domestic...
  15. David Mabullah

    Thamani ya Upekee

    THAMANI YA UPEKEE Jiwe alifanya mara zote kitu cha kipekee hakuwa na hali ile ya kupenda kufanya jambo ambalo wengi walijaribu kufanya au kufanikiwa. Watu wengi upenda kufata njia ya wengi ila sio kwa Jiwe alikua wakipekee sana, tokea wakati alipokua akisikia juu ya njia ile wapitao wengi...
  16. R

    SoC01 Kushuka kwa kiwango cha Elimu nchini na hatua za kuchukua

    Katika maendeleo ya jamii elimu ni nguzo muhimu sana, thamani ya elimu ni kubwa mno kiasi kwamba mtu hawezi akajua thamani ya elimu papo hapo. Waliofanikiwa na wakapata mafanikio kama ajira wanajivunia thamani ya elimu na wale baadhi ambao bado wanahangaika mitaani baadhi yao hao hawaoni...
  17. sky soldier

    Simba imekua mara 3 ya pale dau lilipokua (bilioni 20), hivyo thamani ya club iwe mara 3 zaidi, sio bilioni 20

    Dau liongezeke basi maana Club imekua mara 3 ya pale ilipokua, na pia hio bilioni 20 kwa sasa si kitu, soka la Tz limekua saizi, si mnaona hata azam tu saizi wanatoa pesa kubwa mno kwajili ya haki ya matangazo tu kwa miaka kumi. Haiwekani Mo achukue kirahisi rahisi klab yetu yeye na familia...
  18. Replica

    Ole Sendeka: Hali ya umaskini imeongezeka Mirerani, amuomba Waziri Mkuu biashara yote ya madini ya Tanzanite iishie Mirerani

    Mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka ametoa Ombi kwa waziri Mkuu alipokuwa mkoa wa Manyara kuzindua kituo cha Tanzanite Magufuli, kwanza ameomba ukaguzi wa Staha kwa watu wake bila kuathiri mapato ya Serikali mgodi wa Mirerani. Pia ameomba kuongezwa chumba kimoja kwa ajili ya ugaguzi wa wanawake...
  19. MR BINGO

    Wewe ni wa thamani. Je, watembea katika uthamani wako?

    Nianze na hadithi fupi itakayoambatana na swali mwishoni mwake “Robin ni farasi wa thamani sana aliyeshinda mashindano mbalimbali ya kidunia na amekuwa akipata medali kadhaa na pia anasifika kuwa na umbo bora kabisa la kiushindani ambalo limekuwa likimsaidia kushinda mbio mbalimbali za farasi ...
  20. Juandeglo

    Binti ijue thamani yako. Hujachelewa

    Niliwahi kusoma sehemu kwamba lulu ina thamani kubwa sana. Kumbe lulu hutokea kwenye vina vikubwa huko vya maji na mpaka zitengenezwe ni process kubwa. Na ndio maana wanaozitafuta hustruggle sana kuzipata. Sasa binti, kichuna wewe ni mrembo na wa thamani sana. Kama kuna anguko umeshapitia...
Back
Top Bottom