Bibi Titi Mohammed (June 1926 – June 5, 2000) was a Tanzanian politician of Muslim descent. She was born in June 1926 in Dar es Salaam, at the time the capital of former Tanganyika. She first was considered a freedom fighter and supported the first president of Tanzania, Julius Nyerere. Bibi Titi Mohammed was a member of the Tanganyika African National Union (TANU), the party that fought for the independence of Tanzania, and held various ministerial positions. In October 1969, she was sentenced for treason, and, after two years in prison, received a presidential pardon.
Leo asubuhi nimepita Maktaba. Siku zote nikiingia mtaa huu lazima nitapata jambo na jambo litazua jambo.
Nimekuta video ya majuma mawili mawili yaliyopita nilipofanya mahojiano nyumbani kwangu na Waandishi Maalum.
Nikawa naisikiliza.
Nikajikuta namzungumza Ismail Bayumi pamoja na Ronald Ngala...
PICHA ZA BI. TITI MOHAMED KUTOKA BUKOBA 1962
Nimepokea picha mbili kutoka Bukoba kwa kaka na rafiki yangu Ramadhani Kingi.
Kingi kaeleza hapa jamvini masikitiko yake kuhusu yale yaliyowafika Ali Migeyo na Bi. Titi.
Nitamweleza Ali Migeyo kwa muhtasari tu na sitatia neno langu nitamleta hapa...
Tuweke historia yetu vema,leo kulikuwa na maadhimisho ya siku ya wanawake wa CCM UWT na kumuenzi Bibi Titi Mohamed,Lakini mzee mmoja tukitizama nae mbashara sherehe hizi amenipa stori tofauti kabisa ambayo sikuijua hapo kabla kwa kuwa hainenwi,ndipo nikaamua kuchimbua makaburi nikakutana na hii...
MWANZO MEDIA: MATENGENEZO YA KIPINDI MAALUM KUHUSU MAISHA YA BI. TITI MOHAMED (1926 - 2000)
Mwanzo Media wamenihoji kuhusu maisha ya Bi. Titi Mohamed.
Huu ni upepo mpya kuona kumekuwa na mwamko mpya wa kutaka kujua historia ya uhuru wa Tanganyika na mashujaa wake ambao kwa miaka mingi walikuwa...
BI. TITI MOHAMED (1926 - 2000)HANA MFANOWE
Historia ya Bi. Titi haijaandikwa.
Naamini ni watu wachache sana wanajua kuwa Bi. Titi Mohamed amepanda jukwaani kuhutubia mkutano wa TANU Viwanja Vya Mnazi Mmoja wala haijui sura ya Julius Kambarage Nyerere inafananaje.
Naamini pia si wengi...
NYERERE DAY: TUMKUMBUKE BI. TITI MOHAMED NA JUHUDI ZA KUMTOA JOMO KENYATTA KIFUNGONI KAPENGURIA
Msukumo mkubwa wakati nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote kama kiongozi na nguvu ya umoja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.