titi mohamed

Bibi Titi Mohammed (June 1926 – June 5, 2000) was a Tanzanian politician of Muslim descent. She was born in June 1926 in Dar es Salaam, at the time the capital of former Tanganyika. She first was considered a freedom fighter and supported the first president of Tanzania, Julius Nyerere. Bibi Titi Mohammed was a member of the Tanganyika African National Union (TANU), the party that fought for the independence of Tanzania, and held various ministerial positions. In October 1969, she was sentenced for treason, and, after two years in prison, received a presidential pardon.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Ismail Bayumi, Ronald Ngala, Tom Mboya na Bi. Titi Mohamed

    Leo asubuhi nimepita Maktaba. Siku zote nikiingia mtaa huu lazima nitapata jambo na jambo litazua jambo. Nimekuta video ya majuma mawili mawili yaliyopita nilipofanya mahojiano nyumbani kwangu na Waandishi Maalum. Nikawa naisikiliza. Nikajikuta namzungumza Ismail Bayumi pamoja na Ronald Ngala...
  2. Mohamed Said

    Picha za Bi. Titi Mohamed kutoka Bukoba 1962

    PICHA ZA BI. TITI MOHAMED KUTOKA BUKOBA 1962 Nimepokea picha mbili kutoka Bukoba kwa kaka na rafiki yangu Ramadhani Kingi. Kingi kaeleza hapa jamvini masikitiko yake kuhusu yale yaliyowafika Ali Migeyo na Bi. Titi. Nitamweleza Ali Migeyo kwa muhtasari tu na sitatia neno langu nitamleta hapa...
  3. leonaldo

    Siasa za Tanzania bwaana, hivi Bibi Titi Mohamed waliyekuwa wanamuenzi leo wakina mama wa CCM ndie huyu upande wa pili wa shilingi?

    Tuweke historia yetu vema,leo kulikuwa na maadhimisho ya siku ya wanawake wa CCM UWT na kumuenzi Bibi Titi Mohamed,Lakini mzee mmoja tukitizama nae mbashara sherehe hizi amenipa stori tofauti kabisa ambayo sikuijua hapo kabla kwa kuwa hainenwi,ndipo nikaamua kuchimbua makaburi nikakutana na hii...
  4. Mohamed Said

    Bi. Titi Mohamed alipozungumza Tononoka Mombasa kudai Jomo Kenyatta atolewe kifungoni

  5. Mohamed Said

    Kipindi maalum: Bi. Titi Mohamed

    MWANZO MEDIA: MATENGENEZO YA KIPINDI MAALUM KUHUSU MAISHA YA BI. TITI MOHAMED (1926 - 2000) Mwanzo Media wamenihoji kuhusu maisha ya Bi. Titi Mohamed. Huu ni upepo mpya kuona kumekuwa na mwamko mpya wa kutaka kujua historia ya uhuru wa Tanganyika na mashujaa wake ambao kwa miaka mingi walikuwa...
  6. Mohamed Said

    Umoja wa wanawake Tanzania kumuenzi Bi. Titi Mohamed

    BI. TITI MOHAMED (1926 - 2000)HANA MFANOWE Historia ya Bi. Titi haijaandikwa. Naamini ni watu wachache sana wanajua kuwa Bi. Titi Mohamed amepanda jukwaani kuhutubia mkutano wa TANU Viwanja Vya Mnazi Mmoja wala haijui sura ya Julius Kambarage Nyerere inafananaje. Naamini pia si wengi...
  7. Mohamed Said

    Nyerere Day: Tumkumbuke Bi. Titi Mohamed na juhudi za kumtoa Jomo Kenyatta kifungoni Kapenguria

    NYERERE DAY: TUMKUMBUKE BI. TITI MOHAMED NA JUHUDI ZA KUMTOA JOMO KENYATTA KIFUNGONI KAPENGURIA Msukumo mkubwa wakati nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote kama kiongozi na nguvu ya umoja wa...
Back
Top Bottom