Sitaki kwenda deep , ila ninachowashauri Wanasheria (TLS) badilisheni katiba yenu/sheria at least Rais wa TLS akae madarakani kwa miaka 3. Urais wa TLS hauna impact ya maana kwenye Nchi.
Ni kama Urais wa DARUSO tu!
Wanasheria acheni mambo ya kitoto, onyesheni maturity kwenye projection zenu!