totalenergies

TotalEnergies SE is a French multinational integrated oil and gas company founded in 1924 and one of the seven "supermajor" oil companies. Its businesses cover the entire oil and gas chain, from crude oil and natural gas exploration and production to power generation, transportation, refining, petroleum product marketing, and international crude oil and product trading. TotalEnergies is also a large scale chemicals manufacturer.
TotalEnergies has its head office in the Tour Total in La Défense district in Courbevoie, west of Paris. The company is a component of the Euro Stoxx 50 stock market index. In the 2020 Forbes Global 2000, it was ranked as the 29th-largest public company in the world. Like other fossil fuel companies, TotalEnergies has a complex history of environmental and social impacts, including multiple controversies. According to the CDP Carbon Majors Report 2017 , the company was one of the top 100 companies producing carbon emissions globally, responsible for .9% of global emissions from 1998-2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    Live from TEMTL HQ DSM: Hafla ya utoaji tuzo za via za usalama barabarani kwa shule za msingi za totalenergies kwa ushirikiano na karibu art space.

    Wanabodi, Mimi mwanabodi mwenzenu, niko mitaa ya Masaki kwenye Makao Makuu ya Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, kuwaleta live hafla ya utoaji wa Tuzo za VIA za TotalEnergies kwa ushirikiano na Karibu Art Space kwa shule za msingi za jijini Dar...
  2. Pascal Mayalla

    Nishati Safi ya Kupikia, Pongezi TotalEnergies Kuongoza Njia, Wengine Wafuate. Rais Samia, Serikali Yako Itie Mkono Kufuta Kodi Zote na Kutoa Ruzuku

    Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Npashe la leo. Kwa wengi wa waliozaliwa mijini, hawaijui adha ya kupika kwa kuni mamilioni ya akina mama, wanawake, mabibi zetu, mashangazi zetu, wake zetu, watoto wetu, wapenzi wetu, au kwa kifupi wanawake wa Tanzania, wanaoteseka kwa kupikia...
  3. Pascal Mayalla

    Nishati Safi ya Kupikia: Wiki ya Huduma kwa Wateja TotalEnergies Yamuunga Mkono Rais Samia, Kusambaza Gesi ya Majumbani Kila Kona Hadi Vijijini!

    TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA. Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza...
  4. Pascal Mayalla

    Katika Kuadhimisha Miaka 100 Nchini Tanzania, TotalEnergies, Yazidi Kufanya Mambo!, Yazindua Shindano la VIA, na Kumwaga Madawati 70, S/M Makuburi!

    Salaam. Katika kuadhimisha miaka 100 ya uwepo wake nchini Tanzania, Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, yazidi kufanya makubwa, yazindua shindano la VIA, kuhamasisha usalama barabarani, yamwaga madawati 70, Shule ya Msingi Makuburi. Nimebahatika kuhudhuria tukio hilo, 1. Kwanza nikazungumza na...
  5. Pascal Mayalla

    Amri Kuu ni Upendo. Kwaresma Hii na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Watanzania Tupendane, Tuonyeshane Upendo Kama TotalEnergies Inavyofanya

    Wanabodi, Hii ni Makala ya Kwa Maslahi ya Taifa NIpashe ya leo. Safu ya Kwa Maslahi ya Taifa, inazungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, kwa vile sasa tumeingia kipindi cha Kwaresma, mfungo wa siku 40 kwa ndugu zetu Wakristo na mfungo wa mwezi...
  6. Pascal Mayalla

    Kuna uwezekano TotalEnergies ndio kampuni inayoongoza kwa upendo wa dhati? Shuhudia upendo wa TotalEnergies kwa Watanzania kila siku za Valentine's

    Wanabodi, Japo Tanzania tuna makampuni mengi, na hakujawahi kufanyika survey yoyote ya mashindano ya makampuni kuwapenda Watanzania, kungefanyika mashindano hayo, kuna uwezekano kampuni ya mafuta ya TotalEnergies ikawa ndio kampuni inayoongoza kwa upendo kwa Watanzania?. Ni kufuatia upendo kwa...
  7. BARD AI

    Ufaransa waandamana kupinga TotalEnergies kujenga Bomba la Mafuta ghafi la EACOP

    Wanaharakati mjini Paris Jumatano waliandamana dhidi ya Benki 2 zinazohusika katika ufadhili wa mradi wa mafuta wenye utata katika Afrika Mashariki, sehemu ya maandamano yanayoratibiwa katika miji kadhaa duniani kote. Takriban wanakampeni vijana 30 kutoka kundi la Stop Total waliandamana mbele...
  8. BARD AI

    Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

    Kampuni hiyo ya uzalishaji mafuta imetakiwa kufika mbele ya jopo la Wabunge wa Umoja wa Ulaya Oktoba 10, 2022 kujieleza kuhusu athari za Kimazingira na Ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
  9. Jamii Opportunities

    Customer Service Officer at TotalEnergies

    Job Description HSEQ: Respect of the Golden rules and all the HSE rules and standards of TotalEnergies by all the staff, contractors, customers… Receive and process fuel orders Ensure customer orders are executed and delivered on time as per D+2 procedure. Prepare and submit customer statements...
  10. Pascal Mayalla

    TotalEnergies Tanzania pours millions to winners of the 3rd Edition of the Startupper of the Year Challenge

    TotalEnergies Marketing Tanzania Pouring in Millions as it Announces The Winners of The 3rd Edition of The Startupper of The Year Challenge by TotalEnergies The Winner, of the 3rd edition of the Startupper of the Year Challenge by TotalEnergies , Innocent SULLE for the Award for Best...
  11. Pascal Mayalla

    Je, Kuna Haja ya Kutunga Sera ya CSR za Makampuni ili Ziwe Endelevu? Serikali Yaipongeza TotalEnergies Kwa CSR Endelevu Kuwajengea Uwezo Watanzania

    Wanabodi, Japo nchi yetu ni masikini, nchi wafadhili wa maendeleo waliokuwa wanatusaidia kwa misaada mbalimbali, wao ndio huamua wasaidie nini. Enzi za Mwalimu Nyerere, kuna wakati tulikosana na wafadhali kutokana na kupewa misaada yenye masharti, hivyo Nyerere akakataa, Mwinyi alipoingia...
  12. Joseverest

    Draw Procedure: 2021-22 TotalEnergies CAF Confederation Cup Knockout Stage

    The knockout stage draw for the 2021-22 TotalEnergies CAF Confederation Cup will be conducted on Tuesday 05 April 2022 in Cairo. You can watch the draw live on CAF platforms at 15:00 Cairo local time (13:00 GMT). Eight teams won their ticket for the knockout phase: Al Ahli Tripoli...
  13. Pascal Mayalla

    Nishati Jadidifu: TotalEnergies yafanya tena kweli, yaongoza njia. Waziri Makamba aipongeza, awataka wengine wafuate

    Wanabodi, Japo Tanzania tunaagiza mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, kwa uagizaji wa pamoja, yaani Bulky Procurement, lakini ubora wa mafuta hayo haufanani, mafuta ya TotalEnergies ndio mafuta bora zaidi, kutokana na kuongezwa kiambata kiitwacho excellium, kinachoyafanya mafuta yao...
  14. Pascal Mayalla

    Japo Valentine's ilikuwa tarehe 14 February, kwa TotalEnergies bado wanaendelea kumwaga zawadi za Valentine's hadi Tarehe 27 Februari

    22/02/2022 TotalEnergies Kuendeleza Valentine Hadi Tarehe 27 February Japo Sikukuu ya wapendanao, yaani Valentine Day, huadhimishwa kwa siku moja tuu, siku ya tarehe 14 ya Mwezi Februari kila mwaka, lakini ili kueneza upendo zaidi na zaidi kwa Watanzania, Kampuni ya mafuta ya TotalEnergies...
  15. Pascal Mayalla

    Hongera TotalEnergies si tu kwa kuonyesha upendo, bali kuendeleza upendo. Wengi badala ya kuonyesha upendo, wanaonyeshea ili watu waone

    Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili ya leo. Jumatatu ya wiki iliyopita, February 14, Watanzania tumejiunga na nchi nyingine duniani, kuadhimisha siku ya Wapendanao, yaani Valentine Day, ambayo huadhimishwa kwa watu kuonyeshana upendo na kupeana zawadi mbalimbali za kuonyesha upendo wakiwemo...
  16. Pascal Mayalla

    Uwekezaji: Sio Kila Uwekezaji na Kujenga Nchi, Mwingine ni Kuvuna tu, Uwekezaji wa Total Energies kujenga Nchi!

    Wanabodi, Jukwaa la Siasa: Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi. Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya...
  17. Pascal Mayalla

    Licha ya kufanya makubwa Tanzania, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, yaahidi kufanya zaidi na zaidi!

    Wanabodi, Naomba nianze na facts: 1. Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la...
  18. Pascal Mayalla

    Serikali Yaipongeza TotalEnergies Marketing Tanzania Limited Kwa Uwekezaji Mkubwa, Kujenga Uwezo wa Technology Transfer, na Kutoa Ajira Kwa Watanzania

    Serikali imeipongeza Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, kwa kuunga mkono juhudi za Tanzania kujenga Tanzania ya viwanda kwa kujenga viwanda, kutoa ajira, na kuleta teknolojia kwa Watanzania, ambapo kabla ya ujenzi wa kiwanda cha vilainishi, Tanzania ilikuwa ina aagiza lubricants kwasababu...
  19. Pascal Mayalla

    Je, Wajua Kuna Watu Wenye Bahati na Wasio na Bahati? - Kajaze Mafuta Kituo cha TotalEnergies Wiki Hii, Upime Bahati Yako Kwa "The Wheel of Fortune".

    Wanabodi, Haya ninayoandika ni kama utani vile lakini ndio ukweli wenyewe!, Jee wajua ya kuwa, kuna watu wenye bahati na na wengine hawana bahati?. Wenye bahati, mambo yao yanakwenda vizuri na kusema ni bahati tuu, na wasio na bahati, mambo yao yanakwenda vibaya, na kuishia kusema ni bahati...
Back
Top Bottom