travel

  1. zimmerman

    Israel may place US under severe travel warning

    Kwangu mimi hii habari inaonyesha positive legacy ya utawala wa JPM: pamoja na kwamba Tanzania haikufuata strict guidelines za WHO kuhusiana na corona (lockdown, masking, etc), Tanzania haipo kwenye red au yellow list ya nchi, kama Israel, zinazokataza raia wake kutembelea kabisa au kuzitembelea...
  2. safaris56

    Nyerere national Park Exclusive 1 Day Safari

    Nyerere National Park Itinerary Early Morning at 4am, you will be picked from your hotel in Dar es salaam and after a short safari briefing from the guide, drive to Nyerere national park for 4hrs-5hrs depending on the road traffic and speed limit of 50KPH.On arrival check in at the park for your...
  3. safaris56

    3 Days Mt. Hanang Hiking from Dar es Salaam

    Twende Mlima Hanang Siku 3. Tarehe : 25th-27th,June,2021 Garama: 250,000Tsh Mwisho wa Kulipia: 20th Inajumlisha: Chakula Malazi Viingilio Usafiri kwenda na kurudi Muongoza Njia Kufanya Booking: WhatsApp: +255683833513 www.safari56.co.tz tours@safari56.co.tz Instagram: www.instagram.com/safaris56
  4. Analogia Malenga

    Kenya: Lockdown yasabibisha uhalifu kuongezeka, Marekani yatahadharisha raia wake

    Marekani imetahadharisha Raia wake wasisafiri kipindi hichi cha #COVID19 kuingia Kenya kwa kuwa matukio ya kihalifu yameongezeka mara dufu. Onyo limetolewa kuwa kuna ongezeko la ugaidi, utekaji watu, na utekaji magari pia masuala ya afya na ujambazi ambayo ni pamoja na kuvunjiwa nyumba. Maeneo...
  5. Analogia Malenga

    Rwanda, Burundi na Umoja wa Falme za Kiarabu zimeongezwa kwenye orodha ya nchi zilizowekewa marufuku ya kuingia nchini Uingereza

    Rwanda na Burundi zimeunganishwa na Tanzania, Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Afrika Kusini ambazo pia zimewekewa marufuku hiyo na Uingereza. Hatua hiyo inalenga kudhibiti kuenea kwa aina mpya ya kirusi cha Afrika Kusini, na marufuku hiyo inaanza kufanya kazi siku ya Ijumaa saa saba kwa...
  6. Wacha1

    Biden Revokes Trump's ''Discriminatory'' Travel Ban

    Biden Revokes Trump’s "Discriminatory" Travel Ban (afar.com) President Joe Biden didn’t waste any time dismantling several of former President Donald Trump’s executive actions, including a controversial travel ban: Among the 17 executive orders Biden signed on January 20, just hours after his...
  7. Wacha1

    UK shuts travel corridors - requires negative covid tests to enter

    UK shuts travel corridors and requires negative Covid tests to enter (msn.com) Boris Johnson has announced a dramatic tightening of the UK’s borders, with all international arrivals to be forced to quarantine as well as demonstrate they have had a negative Covid test. After months of criticism...
  8. Ray of light

    Travel Agents gani unaweza kutumia ukitaka kwenda Europe?

    Habarini wanajukwaa, Nimekaa nikajiuliza hivi kuna travel agents hapa Dar au Tanzania ambao unaweza kuwatumia endapo unataka kwenda nchi za Europe kwa ajili ya utalii. Maana naona sehemu kubwa ni wale wa kuwapeleka watu Dubai na labda China. Nawasilisha.
  9. Sherlock

    S. Korea raises travel warning for Tanzania's southeastern region

    The foreign ministry raised the travel warning for Tanzania's southeastern region of Mtwara on Monday, due to heightened risks after growing violence by Islamic extremists based in neighboring Mozambique. A "red" alert, the second-highest level out of a four-scale system, now applies to the...
  10. M

    China bridges that are magnificent to view and travel on

    Chinese bridges are among the most developed and required high technology to develop their bridges that are a bit confusing though it required highly skilled engineers to build the bridges. The China government has maximized more capital on the developments thus this has became effective for the...
  11. Uwesutanzania

    USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

    Naomba niingie kwenye maada mojakwamoja, Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya kujinufaida na faida yeyote ile napenda nikupe shuhuda na kukuomba pia uamini na ufanyie kazi kuwa hii kitu...
  12. B

    Covid-19: US raises travel alert levels for Kenya

    Covid-19: US raises travel alert levels for Kenya The US State Department on Friday raised the levels of its advisories on travel to Kenya and other East African countries partly due to concerns about the spread of the coronavirus. The new alerts urge prospective visitors to the region to...
  13. Geza Ulole

    On the eve of covid19 travel restrictions, 2 tour companies in Germany filed an injuction to lift unfounded travel warnings against Tanzania

    German Travel Warnings for Tanzania, Seychelles, Mauritius, and Namibia challenged Juergen T Steinmetz July 11, 2020 06:45 In Germany, two tour operators specialists in travel to Africa have filed a legal action at the Berlin Administrative Court for a temporary injunction to have the German...
  14. Zum

    Kati ya Diploma ya IT/Computer aScience Na Tourism Tour Guider/ Travel & Tour Operator

    Habari. Naomba Msaada na ufafanuzi Wa Kuchukua Diploma Kati ya hizi Kozi tajwa apo juu.Kwa miaka tunayoendana nayo uko mbeleni ìpi ina wigo mpana katika soko na Ipi itakuwa na manufaa zaidi. Asanteni.
  15. Kevin85ify

    Kenya receives World Travel and Tourism Council Safe Travel Stamp

    Kenya joins Egypt and Tunisia in being certified as a safe tourist travel destination. Only the three countries in Africa have been certified as safe for tourists who want to travel. The announcement was made by Cabinet Secretary for Tourism and Wildlife Najib Balala during the unveiling of the...
  16. Nrangoo

    Wizara ya Afya yaondoa rasmi kukaa karantini kwa wageni wanaoingia nchini

    .
  17. Sky Eclat

    Coronavirus: Quarantine plans for UK visitors ‘will kill international travel’£1,000 fines or possible deportation for those breaking rules

    The aviation industry is calling on the government to provide greater clarity on plans to quarantine for a fortnight all travellers coming to Britain, amid concerns that the measures could have severe repercussions for the travel and tourism industries. It has been reported that anyone entering...
  18. Analogia Malenga

    Maboresho kutoka Wizara ya Afya juu ya kujikinga na COVID-19

    Tanzania imeboresha hatua za kuchukuliwa ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa Wasafiri na kujuisha hatua za usafirishaji wa bidhaa na huduma Watanzania na wageni wanaoishi nchini wametakiwa kutosafiri kwenda nchi zilizoathiriwa kama hakuna ulazima. Wasafiri wote watakaoingia...
  19. B

    Cabinet considering banning all journeys in Spain apart from travel to work or to buy food

    The Spanish Cabinet on Saturday was considering limiting the movement of citizens as much as possible in a bid to slow down coronavirus contagions in the country. Government ministers were debating prohibiting all journeys in Spain that are not due to “force majeure,” but allowing trips so...
  20. Kaduguda

    President Trump issues a travel ban on passengers from Europian union but excludes the UK

    Akihutubia taifa kutokea ikulu ya Marekani leo, Rais wa Marekani Donald Trump ametoa lawama kwa Umoja wa Ulaya kwa kutochukua hatua za haraka katika kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona. Kufuatia hilo, ametoa zuio la wasafiri wote kutokea umoja wa ulaya kuingia nchini Marekani kuanzia saa...
Back
Top Bottom