trend

Motor Trend is an American automobile magazine. It first appeared in September 1949, and is notable for introducing the first Car of the Year designation, also in 1949. Petersen Publishing Company in Los Angeles published Motor Trend until 1998, when it was sold to British publisher EMAP, who then sold the former Petersen magazines to Primedia in 2001. It bears the tagline "The Magazine for a Motoring World". Petersen Publishing As of 2019, it is published by Motor Trend Group. It has a monthly circulation of over one million readers.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Maridhiano ya serikali na CHADEMA mustakabali wake ukoje kwa hali ya sasa ya utendaji wa polisi?

    Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli. Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa...
  2. Mwl.RCT

    The Culture of Ego: The Trend of Dismissing Feedback and Criticism in Today's Society

    In today's society, there seems to be a growing culture of ego, where people are increasingly focused on themselves and their own needs. This can be seen in many aspects of life, from social media to politics. In particular, there is a trend where people become defensive and dismissive when they...
  3. Zacht

    Trend ya hizi picha zinafurahisha na kufikirisha "Her past matter"

    Huko tweeter Kuna meme imeenda sana viral ambayo inaonyesha wanaume wamejipanga mstari wa foleni wakiwa uchi na mmoja kati yao amevaa nguo huku kashika maua wakipata huduma ya mapenzi kwa mwanamke Maelezo ya picha Picha inakusudia kuonyesha maisha ya nyuma ya mwanamke kabla hajaolewa...
  4. Shujaa Mwendazake

    Kuna Askari anayehusishwa na video ya vitendo vya aibu, Jeshi la Polisi lije na ufafanuzi kuweka mambo sawa

    Wiki hii kumetoke trending katika mitandao mingi ya ya kijamii inayomuonesha Askari polisi akiwa kwenye gari na akisikiliza wimbo wa Whozu "Vava vava Vavavavayo" . Nimezunguka Twitter kote na Instagram , kuna walioenda moja kwa moja na kumpa tuhuma za Ushoga. Sasa kwa kuwa video hiyo...
  5. DR HAYA LAND

    Trend ya wanawake wa kunyoa vipara imesababishwa na nini?

    Hii trend ya wanawake kunyoa vipara hasa huku uswahilini ni uchawi tu na kuamini ushirikina nothing else .
  6. Vladivostok

    Nini kimewakumba wanawake na hii trend ya kutafuta ndoa uzeeni

    Salam wanajamvi. Katika Siku za karibuni kumeibua wimbi kubwa la wanawake kutafuta ndoa ukianzia Misikitini, Kanisani, mtandaoni na kila sehemu utakuta wanaweka matangozo ya kutafuta waume mbaya zaidi tayari in jua la jioni umri umekwenda. Kuna kipindi walisema hawaitaji ndoa wakasema tafuta...
  7. I

    Mkuu wa Mkoa Amos Makalla ana mkosi au kuna nini? Mbona masoko yanaungua sana?

    Kuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna? Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
  8. A

    mtazamo wa watu kwenye trend ya COVID-19

    hivi kwanini kila serekali inapo zungumzia kuhusu COVID-19 aidha idadi ya wagonjwa, au kuhusu chanjo au kuchukua tahadhari, basi watu wanakuja na hoja za "wanaipigia debe COVID-19 ili wapate mikopo sijui nn na nn.. njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?
  9. playboy babu

    Inakuwaje Diamond anaendelea ku-trend namba moja pamoja na kuzidiwa watazamani na Alikiba?

    Jamaa kazidiwa viewers though alianza yy kupandisha video yake YouTube.. this means hii no2 ndio inatazamwa sana kwa sasa, sasa why no1 haishuki trend?
  10. BRN

    Je, wewe unawakumbuka nani ambao walitrend au bado wanatrend?

    Hapa Tanzania/Bongo kuna watu wanakuwa maarufu kwa kipindi fulani(trend) kutokana na harakati zao za maisha kama vile muziki,fulani,sasa, vichekesho na kadhalika. Mitano michache ni marehemu Dr Shika, comedian Chikumbalaga, Pierre Liquid kuwataja wachache. Kwa sasa wanaontrend ni Mc Mboneke...
Back
Top Bottom