Nimefungua nimeona trending route Ni dar ,Kilimanjaro to all over the world. Nimefikiria ndugu zetu Kenya si watashikwa na tumbo la kuhara, kwakweli tumefungua dunia
Ninaweka kama kumbukumbu tu !!
Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
Wimbo wa diamond imeendelea kuwa no 1 on trending YouTube Ina wiki 1 tokea itoke. Ngoma za darassa,Nandy pamoja na aslay zimeshindwa kufika no 1 ngoma zote hizo zimetoka kipindi kimoja na ngoma ya jeje.
Ukiachana na Hilo ngoma ya jeje imefanikiwa kuchezwa na media kubwa za kimataifa Kama MTV...
Wimbo wa Gere ulikuwa Trend no. 1 juzi yu, na then umekuwa replaced no. 1 na Jeje
Jeje kuwa no. 1 kwa popularity na power ya Diamond haina la kushangaza
Ila iweje Gere umepotea kabisa? Ungekuwa angalau no. 3, 4, Hata 10, 30, hata 40.. HAUMO
Wimbo kama wa haujanikomoa ni wa 49 sasa it makes a...
Habari wana jamvi,
Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji.
Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.