Zitakua zinatoka mitaani na kusafiri hadi mjini bila kusimama popote ili kuwahisha idadi kubwa ya wasafiri, jameni hii poa sana maana kuvusha maelfu ya wasafiri kwa muda mfupi hivi itachangia pakubwa kiuchumi, tunapoteza hela nyingi sana wakati tunaacha watu wanakwama kwenye mafoleni, kama...