truss

  1. P

    Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022 Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na...
  2. babu M

    Liz Truss sacks Kwasi Kwarteng as chancellor

    Liz Truss has sacked Kwasi Kwarteng as chancellor following the disastrous reception to last months’ tax-cutting budget. The decision comes after unfunded tax cuts unveiled in the fiscal statement saw the Pound tank and the price of mortgages and government debt surge. On Thursday Mr Kwarteng...
  3. Richard

    Waziri wa Fedha wa Uingereza, Kwasi Kwarteng ajiuzulu

    Breaking News: Waziri wa fedha wa Uingereza Kwasi Kwarteng amejiuzulu. Serikali ya Uingereza chini ya waziri mkuu Liz Truss na waziri wake wa fedha bwana Kwasi Kwateng ipo matatani kwa kushindwa kusimamia uzuri suala la uchumi. Taarifa mbalimbali zasema serikali hiyo imezidisha kiwango cha...
  4. Sijali

    Liz Truss dhidi ya kodi kupindukia

    Alipoulizwa kwa nini serikali yake inapunguza kodi wakati huu wa kindumbwendumbwe cha uchumi kote duniani, Liz Truss, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema: ' We want people to keep more of the money they earn, so they can have more control over their lives and invest' Tunataka watu wasalie na kiasi...
  5. babu M

    Chancellor frontrunner Kwasi Kwarteng pledges a 'lean state' under Liz Truss

    Kwasi Kwarteng, the frontrunner for Chancellor of the Exchequer, has pledged a "lean state" under the new Prime Minister, Liz Truss. The Foreign Secretary won the Conservative leadership race on Monday, and will be handed the keys to Number 10 the following day. She is considering freezing...
  6. BARD AI

    Uingereza: Liz Truss achaguliwa kuwa Waziri Mkuu

    Graham Brady, Mwenyekiti wa Kamati ya 1922 ya kundi la Wabunge wa Conservative ambao si Mawaziri wa Serikali amemtangaza Truss kuwa mrithi wa Boris Johnson aliyelazimika kujiuzulu baada ya shinikizo la Mawaziri waliodai kutokuwa na imani naye. Matokeo hayo yametokana na Kura za wanachama wa...
Back
Top Bottom