tuitakayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    SoC04 Tanzania tuitakayo. Kuendeleza uchumi wetu na biashara kama jinsi mama Rais

    Mimi mtazamo wangu, Tanzania tuitakayo kuweza kuifikia: 1. Kufanya Kazi Kwa bidii shambani na viwandani. 2. Kuwatafutia wakulima masoko ya nje ILI kuweza kuuza bidhaa zao. 3. Kusimamia vzr mapato ya serikali 4. Kukomesha rushwa kila kwenye mianya rushwa. 5. Kila mmoja awe mbunifu kutafuta njia...
  2. A

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 5, 10, 15, Hadi 25 Ijayo katika Sekta ya Afya

    Utangulizi Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuboresha sekta ya afya kwa miaka kadhaa iliyopita, lakini bado kuna changamoto nyingi zinazohitaji ufumbuzi wa kibunifu ili kufikia afya bora kwa wote. Maono haya yanachora taswira ya jinsi sekta ya afya inaweza kubadilika kwa miaka 5, 10, 15, hadi...
  3. A

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 5, 10, 15, hadi 25 ijayo

    Utangulizi Tanzania ina hazina kubwa ya maliasili na rasilimali watu ambayo inaweza kutumika kuleta maendeleo endelevu. Katika miaka 5, 10, 15, na 25 ijayo, tunaweza kuona mabadiliko makubwa ikiwa tutaweka mkazo kwenye mazingira na uongozi bora. Hili andiko linaangazia maono ya kibunifu kwa...
  4. Paspii0

    SoC04 Tanzania tuitakayo yenye huduma bora za Mifuko ya hifadhi ya jamii endelevu, na yenye maslahi kwa wafanyakazi!

    UTANGULIZI -Hifadhi ya mifuko ya jamii nchini Tanzania inajumuisha mifuko kadhaa ambayo inatoa huduma za kijamii na ya kifedha kwa wanachama wake. Mifuko hii inatoa huduma kama vile pensheni, bima ya afya, mikopo ya elimu na makazi, na msaada kwa wastaafu. Kusudi lao ni kuhakikisha usalama wa...
  5. C

    SoC04 Tanzania Tuitakayo kwa Miaka 5-25 Ijayo

    1. Utangulizi Tanzania, nchi yenye utajiri wa maliasili na urithi wa kitamaduni, ina nafasi kubwa ya kujiimarisha kiuchumi na kijamii katika miaka ijayo. Andiko hili linatoa mawazo bunifu juu ya jinsi Tanzania inavyoweza kufikia maendeleo endelevu kwa kuzingatia vipaumbele vya kiuchumi, elimu...
  6. S

    SoC04 Tanzania tuitakayo tunahitaji kutunga na kutekeleza sera na sheria zinazosimamia sekta ya ICT ili kuhakikisha usalama wa mtandao na haki za watumiaji

    UTANGULIZI Kuboresha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) ni muhimu katika kufikia Tanzania tunayoitaka kwa miaka 25 ijayo na ya sasa. Yafutayo ni maelezo ya kina kuhusu jinsi ya kuboresha sekta hii: Uwekezaji katika Miundombinu ya ICT: Tanzania y tutakayo inahitaji kuwekeza...
  7. M

    SoC04 Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 - 25 ijayo katika nyanja ya utawala bora, elimu na afya kwa Watanzania wote

    Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru sana MWENYENZI MUNGU atupaye afya,nguvu,neema na kibali siku hadi siku kwenye majukumu yetu yote. Pili nitumie uwanja huu kulishukuru jukwaa la Jamiiforums kwa namna yao ya pekee sana wanavyoelimisha jamii katika nyanja zote za maisha. Tatu na mwisho...
  8. J

    SoC04 Tanzania tuitakayo; Jukumu la Serikali Kutoa Kipaumbele kwa Maendeleo ya Vijijini

    Jukumu la Serikali Kutoa Kipaumbele kwa Maendeleo ya Vijijini Katika nchi yangu ya Tanzania, kuna hali inayozidi kuonekana ambapo serikali inatoa kipaumbele zaidi kwa maeneo ya mijini kuliko vijijini. Hii ni hali inayotia wasiwasi kwa sababu vijijini ndiko kunakotegemewa zaidi kwa maendeleo ya...
  9. M

    SoC04 Tanzania Tuitakayo yamejikita katika nyanja za Elimu, Afya, Teknolojia, Uchumi, Mazingira na Miundombinu

    Maono yangu kuhusu TANZANIA TUITAKAYO yamejikita katika nyanja 6 ambazo ni elimu, afya, Teknolojia, uchumi, mazingira na miundombinu. 1. ELIMU. -serikali kuendeleza mchakato wa elimu ya watu wazima (MEMKWA) hasa vijijini. -serikali kutoa vifaa shuleni vya TEHAMA vya kufundishia na kujifunzia...
  10. G

    SoC04 Tanzania tuitakayo na safari ya kuifikia nchi ya ahadi

    Tanzania ni nchi inayopatikana ndani ya bara la Africa na ipo kwenye ukanda wa Afrika ya mashariki pia kusini mwa jangwa la sahara,ni nchi inayoundwa na nchi mbili ambazo ziliamua kuungana mnamo tarehe 26/04/1964. Muungano huu ulifanyika kwa Jamhuri ya watu wa Tanganyika na Jamhuri ya watu wa...
  11. A

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Mipango Ya Kipekee Ya Kuboresha Elimu

    Tanzania inakabiliwa na changamoto na fursa nyingi katika kuboresha mfumo wake wa elimu ili kuandaa vizazi vijavyo kwa mafanikio na ustawi wa taifa. Hapa, tunaangazia mawazo bunifu yanayoweza kutekelezwa katika kipindi cha miaka 5-25 ijayo, kwa kuzingatia mifano dhahiri ya nchi zilizofanikiwa...
  12. M

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Dira ya Kuimarika na Kukuza Uchumi

    Makala haya yanaangazia suluhisho la kina na mikakati ya kukabiliana na mfumuko wa bei, kukuza uchumi thabiti na unaostawi katika kipindi cha miaka 5, 10, 15, na 25 ijayo. Suluhu za Muda Mfupi (Miaka 5 Ijayo) 1. Kuimarisha Sera ya Fedha-(Kibenki) Benki Kuu ya Tanzania inapaswa kupitisha sera...
  13. P

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Kukuza Uchumi Shirikishi na Endelevu

    1. Kukuza Uchumi Shirikishi na Endelevu Dhana: Viongozi wanapaswa kuzingatia kukuza uchumi unaonufaisha wananchi wote na unaotegemea rasilimali endelevu. Mikakati: Kuwekeza katika sekta za kilimo, viwanda, na utalii kwa njia endelevu ili kuunda ajira na kuongeza pato la taifa. Kuimarisha...
  14. I

    SoC04 Tanzania Tuitakayo Katika Mapinduzi ya Nne ya Viwanda (Akili Bandia)

    Historia ya Mapinduzi ya Viwanda Tangu karne ya 18 hadi sasa, dunia imepitia vipindi vinne muhimu vya mapinduzi ya viwanda. Kila kipindi kimekuja na teknolojia mpya na bunifu katika kila sekta, teknolojia hizo zimekuwa na tija katika uzalishaji na pia zimeambatana na changamoto mbalimbali...
  15. Hassan Mambosasa

    SoC04 Tanzania tuitakayo

    TANZANIA TUITAKAYO Asubuhi na mapema unaamka ndani ya nyumba yako ya wastani, kutokana na kipato chako kutokuwa toshelevu. Homa nayo inakushika, unasita kwenda mihangaikoni siku hiyo. Suluhu pekee ni kuelekea hospitali, uende walau ukachunguzwe na kujulikana ni kipi kinachousibu mwili wako...
  16. S

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika mazingira

    Kama nchi itunge na kusimamia sheria ya maziko itakayokataza kuzika watu kwenye makaburi ya zege kuanzia chini mpaka juu. Haina hii ya mazishi inaathari kubwa kwenye mabadiliko ya tabia ya nchi ukizingatia binadamu tunakula mazao ya ardhini, tunakula wanyama wanaokula vya ardhini. Kitendo cha...
  17. Z

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: A Prosperous and Sustainable future

    "Tanzania Tuitakayo: A Prosperous and Sustainable Future" It is the year 2039, and Tanzania stands as a beacon of progress and innovation in East Africa. The country has undergone a remarkable transformation, driven by a collective vision of a prosperous, sustainable, and equitable future for...
  18. realMamy

    SoC04 Tanzania tuitakayo iwezeshe wananchi kujiamini

    TANZANIA TUITAKAYO IJIKITE ZAIDI KWENYE ELIMU YA VITENDO. Tanzania kama ilivyo kuanzia ilikotoka hadi sasa iliandaliwa kwa misingi bora na imara ingawa kuna watu wachache wasio waadilifu wanaharibu misingi hiyo. Yafuatayo ni mambo ya Muhimu yanayoweza kujenga Tanzania iliyo bora endapo...
  19. BROADCASTER GIDEON

    SoC04 Tanzania itasimama, Tanzania tuitakayo

    Tanzania ikiwa ni moja ya nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, ni nchi ambayo imebarikiwa maliasili mbalimbali ikiwa ni pamoja na madini, mbuga za wanyama, Mistu, ardhi yenye rutuba ya kutosha, watu, maji ya kutosha na mimea ya asili pamoja na wanyama asilia wanaolipa sifa kubwa taifa letu. Kama...
  20. Z

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Japo's Dream for a Brighter Future

    Japo sat on the veranda, sipping his morning chai and gazing at the majestic snow-capped peak of Kilimanjaro. He dreamt of a Tanzania different from the one he knew - a Tanzania Tuitakayo, a Tanzania We Want. A land where opportunity bloomed like the bougainvillea cascading down his neighbor's...
Back
Top Bottom