tujuzane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Financial Analyst

    Hizi pete ambazo baadhi ya watu huvika vidoleni huwa ni za asili na kazi gani? Karibuni tujuzane

  2. Denis Gregory

    Biashara Biashara Tujuzane Hapaa

    Nauza Biashara Yangu ya Vipuri vya Pikipiki na Matairi Kwa sababu za kibinafsi, nimeamua kuuza biashara yangu ambayo imenishinda. Hii ni fursa nzuri kwa mtu mwenye nia ya kuwekeza kwenye biashara inayokua haraka. Maelezo ya Biashara: Aina ya Biashara: Duka la vipuri vya pikipiki na matairi...
  3. O

    Tujuzane kwa wale wenye ndoto za kuhama nchi kwa ajili ya utafututaji

    Habari zenu wanajukwaa, Lengo la huu uzi ni kupeana Connection nje ya nchi hususani Fursa za kazi na ushauri kwa watu ambao wameshaishi nje ya nchi na ambao wako nje ya nchi Kwa hiyo kwa wale wenye michongo nje ya nchi basi tupeane coz humu JamiiForums kuna Diaspora wengi tunaweza saidiana...
  4. marashi ya pwani

    Aliyepata mke kwenye bar au sehemu yeyote ya pombe tujuzane

    Kama kilivyo kichwa Cha habari hapo juu yeyote aliyepata mke kwenye sehemu hizo atoe ushuhuda pia anipe muongozo Kwa maana mpaka Leo natafuta mke wa kuishi nayo sehemu hizi Kwa sababu Wahudumu wasafi wanyenyekevu warembo pia wazuri Inafikia hatua hadi natafutiwa mke nawajibu Bado...
  5. NguoYaSikuKuu

    Bajeti ya Jeshi la Polisi kutoa Elimu kwa Raia ni kiasi gani mwaka?

    Habri Wakuu, Nimewahi kujiuliza swali kuhusu elimu za kiraia ambazo jeshi la polisi huwa linatoa huwa ni finyu sana. Hakuna vipindi vya TV ama majarida yanayotoa elimu kwa Raia kuhusu haki zao ama uhuru wao. Wajuzi wa mambo nawafuatiliaji wa bajeti za Serikali embu tujuzane hapa. Bajeti ya...
  6. supercharger GT

    Tujuzane ukweli kuhusu gari kijerumani, hasa hasa AUDI

    Wakuu mko njema? Kwanza tupeane Pole kama Taifa na Janga la Kariakoo! Tumuombe Mungu asimamie afya za majeruhi na kuwarehemu waliofariki🙏 Tukirudi kwenye mada. Nimekuwa interested sana na AUDI A5 SportBack Quattro TFSI. Hivi nikivuta hii nitakuwa sijajichanganya kweli?(au nijirudishe tu kwenye...
  7. O

    Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora , changamoto na bei zake kulingana kazi atakayotaja mtu yoyote, tunaweza kuanzia printer ndogo kabisa...
  8. Zuwenna

    Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

    Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena. Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo. Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda...
  9. Pdidy

    Lodge chini ya 10000 jaman tujuzane

    Rejeankichwa cha habari hapo juu Naomba kujua Lodge enye bei chini ya 10000 tujuzane pls Majibu yote kuzingatiwaa
  10. Pdidy

    Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

    .wenye kujua Lodge nzuri chini ya 10000 tujuzane wapendwa Majibu ya heshima na hekimas kuratibiwa
  11. Mad Max

    Kwa wapenzi wa simu za Samsung Galaxy A series, ngoja leo tujuzane kitu kidogo

    Wakuu! Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina specifications kubwa chini kidooogo ya Note Series, S series na Z Series. Sasa ukiwa unataka kununua...
  12. Tom lee Ab

    Tujuzane Naweza Pata soko la ununuaji funza

    Tujuzane soko la ununuji funza lipo vipi
  13. R

    Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
  14. KENZY

    Tujuzane maneno sahihi ya Kiswahili...

    Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa pawe uwanja wakuchambua,kurekebisha nakuelimishana juu ya maneno hayo. Nikianza namimi binafsi maneno...
  15. G

    Tujivunie asili yetu: Tujuzane michezo ya jadi kwa makabila ya Tanzania

    Mods naombeni muuache uzi huu, jukwaa lamichezo limejaa wadau wanaofatilia zaidi michezo ya kigeni hasa mpira wa miguu Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo Michezo hiyo ni kama vile...
  16. Chief Kumbyambya

    Wazee tujuzane codes maana Kuna watu wanapiga sana simu

    Wasalaaaaaam........ Wataalam Kuna zile code ambazo ukiweka kwenye laini mtu akikupigia hakupati hewani ila Kwa mesej mnachati vizuri tu na unapata taarifa muda huo huo kuwa flani alikutafuta hewani hajakupata Kwa hiyo ni uamuz wako umpigie au laa. Ila wewe ukimpigia unampata hewani ila...
  17. G

    Tv sio kwajili ya katuni pekee, Naombeni tupeane mawazo ya video za kuwawekea watoto waweze kujifunza mambo mengine

    Edit: Matumiz ya Tv kwa watotot Cartoon na games (playstation) Mimi nimeona nianze kuweka vitu vya ziada kwenye flash, hizi katuni zimekuwa too much sasa na sioni faida yake. Video nilizoanza nazo nimeona niziweke zifuatazo, walimu wanafundisha kwa vitendo zaidi kuliko kuongea hivyo inakuwa...
  18. Msanii

    Drama haziishi. Tujuzane huko ulipo sukari inauzwa bei gani?

    Tusikwepe ukweli kwamba kipindi cha mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadan, kimekuwa ni kipindi kinachokuja na neema ya unafuu wa maisha kwa jamii hususani hata wale wasiofunga yaani Wagalatia na wasio na dini. Unafuu wa maisha unatokana na kwamba, Wachuuzi wengi wanachuma rehma na fadhila zitokanazo...
  19. Restless Hustler

    Tujuzane mbinu wanazotumia matapeli kuwatapeli wafanyabiashara za miamala ya kifedha

    Tujuzane mbinu wanazotumia matapeli kuwatapeli/ Kuwaibia wafanyabiashara za miamala ya kifedha kama M-PESA, TigoPesa, Halopesa, Airtel Money nk. Naanza: Tapeli anakuja jioni anatoa Kaisi kikubwa Cha hela anaondoka, lengo ni ili awe na uhakika wa cashes ulizonazo. Kisha baada ya dakika chache...
  20. General Nguli

    Tujuzane Chanel mbali mbali za whatsap na Telegram

    Wengi wetu tuko vyema tukisubiria Mama arudi kutoka Doha na ndizi mkate mkononi. Ni hivi, baada ya Whatsap kutuletea mfumo wa Chanel ili kuturahisishia Biashara na mengineyo. Basi uzi huu uwe wa kujuzana Chanel mbalimbali katika kupeana Ladha ya hii huduma mpya. Chanel hizi ziwe za maono na...
Back
Top Bottom