tundu antipas lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Ipo amsha amsha ambayo Lissu kaifanya na kuifanya CCM kupata wakati mgumu?

    Ukiondoa kutumia muda mwingi kufafanua no reform no election Lissu ameitisha nini serekali ya ccm iliopo madarakani? Ipi amsha amsha ambayo Lissu kaifanya na kuifanya ccm kupata wakati mgumu? Ipi tofauti ya Mbowe na uongozi wa lissu ktk amsha amsha kwa ccm?
  2. M

    Akiwa Uganda, Tundu Lissu akosoa vikali viongozi wa Afrika kwa kujilikimbizia madaraka. Amtaja Museveni na Mwalimu Nyerere

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amewakosoa vikali wanasiasa na viongozi wa Afrika kwa tabia yao ya kung'ang'ania madaraka kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika kikao cha kujadili masuala ya demokrasia barani Afrika katika Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha...
  3. Mkunazi Njiwa

    Ziara yaTundu Lissu Uganda inahusiana na utatu uliopo kati yao Bobi Wine na Robert Amsterdam?

    Robert Amsterdam naye ni wakili wa Bobi Wine.... Imenikumbusha kipindi kile cha kukaribia uchaguzi....zile NGO's ambazo zilitumiwa kupitisha fedha kutoka kwa wafadhili kwenda kwa CHADEMA....na wananchi tukaelezwa kuwa fedha zile zikawa "freezed". Je ni zama mpya na hatua mpya ?!! Trump ,Elon...
  4. M

    Ama kweli wajinga ndio waliwao, CHADEMA wamechangisha milioni 64 tayari Tundu Lissu ameanza kutengeneza safari ya kwenda Uganda na wenzake

    SIku chache baada ya matangazo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema kusema kuwa wamechangiwa milioni 64, tayari chama hicho kimetoa taarifa kuwa Tundu Lissu atakwenda Uganda kwenye shughuli za kikazi. Kwa vile ni shughuli za chama, huko atakula posho ya maana kwa viwango vile vile vya serikali...
  5. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu: Tutazunguka nchi nzima kuwaambia Watanzania wasishiriki chaguzi za kutoana Kafara

    Lissu amesema "Tutatembea nchi nzima kuwaambia Watanzania hamuwezi mkawa mnaenda kupiga Kura kwenye chaguzi za kutoana Kafara, tuungeni mkono kubadilisha taratibu za Uchaguzi" Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na...
  6. Lord denning

    Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

    Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu. Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣 Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣 Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji...
  7. Mkunazi Njiwa

    Pre GE2025 Kauli ya No reform, no election" yajifia kwa muktadha wa kinachofanana na kauli za Rais Trump kwa Rais Zelensky: Ya hayati Magufuli nje hatuna wajomba

    Tundu Lissu bado anawaamini wajomba wa nje kwa kuwapelekea malalamiko yake. Rais Trump ni chaguo la Mungu pale anapotufundisha kuwa ili kupambana na ukoloni mamboleo basi uwe na MISULI yako binafsi. Rais Trump amemwambia bayana Zelensky kuwa hatashinda vita vyake na Urusi....na amemsisitizia...
  8. M

    Nimeichukia sana CHADEMA ya Lissu

    Jinsi ya uchaguzi wa Chadema ulivyoendeshwa kwa propaganda na kumbamiza Mwenyekiti wa zamani. Hawa nimewachukia kweli kweli ktk siasa 1. Lema 2. Lissu 3. Heche Sikutegemea ktk siasa za ndani ya chama kutumia njia ile ya uzushi kwa kila aliekuwa anampinga LISUU na team yake. Naomba mwaka huu...
  9. Nyani Ngabu

    CHADEMA badilisheni hiyo kauli mbiu ya "No Reforms, No Elections"

    My two cents from a distance. Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM. Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta mabadiliko ya kweli. Yote anayofanya ni sahihi kasoro hili la kusema kuwa watazuia uchaguzi kufanyika...
  10. Mindyou

    Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

    Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya. Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa...
  11. K

    Pre GE2025 Anachokifanya Tundu Lisu kinahitaji kufanyika miaka mitano mfululizo Watanzania waelewe

    Tundu Lisu ni mwalimu wa elimu ya uraia na kujitambua japo mwenyewe hajui. Tundu Lisu anadamu ya kufundisha haki, demokrasia lakini yeye na wanaomzunguka wanamuaminisha kuwa ni mwanaharakati ndio maana mission zake hazifanikiwi kwa asilimia kubwa Anachokifanya kwa sasa hakiwezi kuleta matunda...
  12. Mashamba Makubwa Nalima

    Hivi ndivyo hotuba inatakiwa kuwa, ngoja niweke tena bundle nimsikilize Tundu Antipas Lissu

    Jamaa anajua sana
  13. K

    Kwa hali hii Lissu kweli ana msimamo?

    Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki. Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu...
  14. U

    Pre GE2025 Tundu Antipas Lissu, Rais Tanzania 2025-2035, Mungu Hapingwi

    Atakayepingana na Maono haya no dhahiri anapingana na Allah, Muumba wa Vitu Vyote. Sifa za Rais wetu mpya 1. Mpenda Haki - Anahakikisha Kuna uhuru wa mawazo, maoni, Mahakama kuwa Huru, Polisi kutenda Haki, 2. Kufuta Kabisa Uchawa- Rais huyu mpya atafuta uchawa na kusifia Kila kitu na mtu...
  15. M

    Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa atashika wapi?

    Msigwa hivi sasa inaonekana siasa imekuwa ngumu kwake. Lissu anaogopa kumkosoa huku CCM akiwa hana cha kufanya. Akirudi CHADEMA haaminiwi tena, maana hawezi kuikosoa CCM tena kama mwanzo, akiwa CHADEMA hawezi kuaminika kwa sababu atakuwa hana msimamo.
  16. S

    Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa Makamu Mwenyekiti, baada ya kupata Uenyekiti kimyaa

    Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama. Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake. Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni...
  17. R

    Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

    Why am I saying so? 1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu. 2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all...
  18. J

    Tundu Lissu kumbuka Yesu alipofufuka alimrudisha kundini Petro

    Vivyo hivyo waweza kumsamehe Dr Slaa kama ametubu Mimi siyo mwanachadema ila ni mdau wa SIASA za Haki Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lissu. Ahsanteni sana 😀
  19. L

    Lissu Bila Kukaa Kwenye Meza Ya Mazungumzo na CCM na Serikali yake hatafanikiwa kwa lolote lile

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano kuna watu au kikundi cha watu au Wafuasi wa lissu wakawa na matumaini na matarajio makubwa sana na lissu kwamba anaweza badilisha au lazimisha kufanyika kwa jambo lolote lile analotaka au wanalolitaka wao kwa nguvu au mabavu au kwa shinikizo. Nipende tu...
  20. R

    Mbowe umejifunza kuwa : People speak at people not to people

    Kuna watu uliwaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa Ni 1. Best friends 2. Best family friends 3. Significnt others akina Lisu, Lema, Heche these three in particular, and a few others. Si kwa vile wamekuwa washindani wako, ni haki yao, ndiyo demokrasia, hapana bali namna walivyoendesha...
Back
Top Bottom