tunduma

Tunduma is a town in Songwe Region, Tanzania, on the border between Tanzania and Zambia. It has border posts for both the Tanzam Highway and the TAZARA railway (for which it has a station) linking the two countries. It is located 103 km southwest of Mbeya. It is also the junction for the tarmac road which runs via Sumbawanga through the remote far western districts of Tanzania to Kasulu and Kibondo in the north-west. According to the 2012 census, it has a population of 97,562.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    CCM Momba Tunduma waandamana kuadhimisha kuzaliwa kwake

    02 February 2023 Tunduma, Tanzania CCM WAWASHA MITAMBO, WARUSHA "MAKOMBORA' KWA WALICHOKIITA CHAMA CHA UPANDE WA PILI Wanachama wa CCM jimbo la Momba wamejitokeza kwa wingi barabarani kufanya shughuli za kisiasa kujibu walichoita mapigo upande wa pili walioanza mikutano ya hadhara. Baada ya...
  2. Fall Army Worm

    DOKEZO Uhalifu umezidi sana mji wa Tunduma, Serikali iingilie kati

    Wapendwa habari za Jioni? Bila kupoteza muda, Mji huu wa Tunduma ni mpakani mwa Tanzania na Zambia. Sasa lengo la Uzi huu ni kuiomba Serikali yetu pendwa ya Mama Dkt.Samia Suluhu Hassani, kuwa kupitia vyombo vya Ulinzi na Usalama watusaidie, Mambo yenyewe yako hivi. Watu wanatekwa na kupigwa...
  3. L

    Nahitaji Guest Mbeya au Tunduma

    Nahitaji guesti ya Bei nafuu Mbeya Mjini au Tunduma iwe tu mahali salama
  4. Forrest Gump

    Ukitaka kutambua akili mbovu za Mwafrika angalia ya mpakani Tunduma

    Hivi kweli kabisa kimeshindikana cha kufanya ili magari yasi stuck pale boda. Kinashongaza hili ni jambo la muda mrefu sana, lakini kama kawaida yetu tumefundishwa kuzoea shida na kuwaita wazungu mabeberu. Ila hakika ni kwaba huyo beberu hawezi kufanya upumbuvu kama unaofanyika pale mpakani...
  5. Ben baba

    South organisers Tunduma border, Mlowo & Vwawa Songwe

    Wasalaaam ndugu zangu Moja kwa moja Kwenye kilichonileta hapa, Ni kuwapa taarifa hii ndugu zangu ufikapo Songwe(Vwawa,Mlowo,Mpemba,Tunduma,mkwajuni,Saza n.k) Tunakurahisishia kupata huduma yoyote ufikapo maeneo Haya. Huduma hizo ni: 1. Tunafanya clearing and forwarding Border ya Tunduma (...
  6. B

    Mbunge wa Tunduma Frank Mwakajoka akizungumzia mchakato wa katiba mpya

    July 2022 Songwe, Tunduma MBUNGE WA WANANCHI WA TUNDUMA MHE FRANK MWAKAJOKA AKIZUNGUMZIA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
  7. kagoshima

    Hili lilisemwa pale Tunduma: Eti msipowachagua wagombea wa chama changu sintoleta maji

    Hii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania...
  8. T

    Jinsi Tajiri aitwaye saa tatu alivotumia nguvu ya pesa kubomoa nyumba huko Tunduma.

    Tukio hilo la kubomolewa Kwa nyumba hiyo limetokea huko Tunduma na nyumba hiyo inasemekana ni mali ya marehemu pamoja na mke wake ambaye yuko hai. Inasemekana marehemu aliacha watoto kutoka kwa wake tofauti na kila mke alikuwa na nyumba yake. Baadaye watoto wa marehemu Wakafungua shauri la...
  9. Suzy Elias

    Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

    Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani. Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia. Narudia...
  10. MBUTAIYO

    Usafiri wa bus Dar hadi Tunduma

    Habarini za asubuhi Wanajamvi, Kwa wale wa dar poleni na mvua ya asubuhi asubuhi. Naomba kuulizia usafiri wa bus safi na huduma bora toka Dar hadi Tunduma. Nina wageni wangu kutoka nje wanataka kusafiri kwenda Tundumba kwa bus.
  11. mugah di matheo

    Tunduma: Soko la Manzese lateketea kwa moto

    Soko la manzese lililopo tunduma mpakani mwa TANZANIA na Zambia limeteketea kwa moto. --- Tunduma. Soko la Manzese lililoko katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe linawaka moto muda huu. Moto huo ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeanza leo Jumanne Novemba 16, 2021 asubuhi...
  12. Erythrocyte

    Ofisi ya CHADEMA Jimbo la Tunduma yapigwa kiberiti na watu Wasiojulikana, nyaraka zateketea

    Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa. Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma...
  13. Airmanula

    Naomba kupata mwenyeji wa Tunduma

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kupata mwenyeji wa Tunduma, kuna taarifa nafuatilia ningependa kupata msaada wa majibu yake. Natanguliza shukrani.
  14. J

    Tufahamishane bei za friji, luninga na pasi kwa mpakani Tunduma

    Wandugu naomba kujuzwa bei ya vitu vya umeme mpakani Tunduma hasa friji maana nasikia kule bei ya vitu hivyo ni rahisi sana kushinda hata Dar nataka nijaribu kujichimbia huko siku za usoni.
Back
Top Bottom