tupia

Tupaia (also known as Tupaea or Tupia) (c. 1725 – December 20, 1770) was a Tahitian Polynesian navigator and arioi (a kind of priest), originally from the island of Ra'iatea in the Pacific Islands group known to Europeans as the Society Islands. His remarkable navigational skills and Pacific geographical knowledge were to be utilised by Lt. James Cook, R.N. when he took him aboard HMS Endeavour as guide on its voyage of exploration to Terra Australis Incognita. Tupaia travelled with Cook to New Zealand, acting as the expedition's interpreter to the Polynesian Māori, and Australia. He died in December 1770 from a shipborne illness contracted when Endeavour was docked in Batavia for repairs ahead of its return journey to England.

View More On Wikipedia.org
  1. Medecin

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
  2. Roboti Wa Nape

    Tupia picha zinazoonesha uzuri wa nchi yetu ya 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

    Mi naanza na My Motherland 🇹🇿 🇹🇿
  3. Vincenzo Jr

    Picha ya Aziz K na Skudu Makudubela

    Picha ya aziz k na skudu makudubela Mpiga picha ni huyo alipiga goti kapiga picha kalii sana yaani picha imetoka fresh kama imepigwa marekani
  4. ESCORT 1

    Tupia utabiri wako Bayern Munich Vs Man Utd, Allianz Arena leo

    leo kuna mtanange kabambe wa UCL pale Allianz Arena ni Bayern Munich Vs Man Utd. Utabiri wako upoje?
  5. Teko Modise

    Tupia utabiri wako kuelekea weekend ya Kimataifa kwa Simba & Yanga zilizopo ugenini

    Simba na Yanga zote ziko nje ya nchi katika majukumu ya michuano ya vilabu Afrika. Simba watashuka dimbani pale Levy Mwanawasa Stadium kuwakabili Power Dynamos huku watani zao wakishuka dimbani pale Pele Stadium kuwavaa El Merreikh ya Sudan. Weka utabiri wako timu ipi itapata matokeo yapi?
  6. K

    Unakumbuka Kauli tata za Mama zetu? Hebu tupia na ya kwako…

    1. Mama: Naongea na wewe unajifanya kukaa kimya siyo? Mtoto: Lakini mama...... Mama: Nyamaza, yaani mimi naongea na wewe unaongea? 2. Haya nenda kacheze halafu uchelewe kurudi. (Kakwambia uchelewe sasa ole wako uchelewe) 3. Baada ya kumuogesha mtoto eti anamwambia halafu ukajichafue tena...
  7. mtwa mkulu

    Uzi wa picha za Mzee Membe. Tupia ya kwako

    Naanza na hii picha maarufu zaidi. Nyingine hizi.
  8. Jack Palladino

    Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

    Chat na picha ya kinywaji🥂
  9. Crocodiletooth

    Tupia hapa vibweka na vituko vya manabii wa nyakati za mwisho

    Waumini wa Kanisa la Legio Maria: "Tunatoa meno 6 ya chini ili kumsaidia Mungu atutambue (identify) kwa urahisi"
  10. Jay One

    Rais Samia tunakuomba utupie jicho kali Utumishi

    Rais wetu, Mama Samia, kwanza tukupe hongera sana kwa kazi kubwa na inayoonekana kwa Taifa letu, hakika kazi unaimudu na unaiweza kisawa sawa. Rais tunakuomba pamoja na juhudi zako kubwa za kujenga nchi na kuwa hudumia wananchi wote ikiwemo wafanya kazi wa umma, nikupe siri, tupia jicho kali...
  11. amadala

    Tupia picha ukiwa unaangalia Kombe la Dunia

    cc: Stress Challenger
  12. Roy Logan

    Tupia picha ya mbuga uliyotembelea Tanzania

    Habari za majukumu wadau, katika kukuza utalii wa ndani na kuhamasishana mara moja moja kwenda kutembelea mbuga zetu, tafadhali tupia picha ulizopiga mwenyewe ukiwa mbugani. Mimi naanza na hizo nikiwa Tarangire National Park.
  13. M

    Tupia moja ya Mbinu wanayoitumia hasa Wake / Mademu za Watu wakijua Kesho wanaenda 'Kukusaliti' na Mwanaume Mwenzako....

    Nizijuazo..... 1. Usiku ukirejea atakutafutia Kosa la Makusudi ili Mgombane na apate sababu ya Kukunyima Nyuchi yake. 2. Usiku atajifanya Kuumwa ghafla na hata Kulazimisha muende Hospitali ya Karibu ila Asubuhi atakupa Mrejesho kuwa anajisikia vizuri. 3. Ukiwa nae Unakula Sebuleni au...
  14. Lububi

    Matukio, vituko, shuhuda na taarifa zoezi la sensa!

    Nawasalimia kwa jina la Tanzania. Bila shaka kila mdau anaelewa zoezi la sensa kama aina ya utafiti ilivyo ni nyeti na lina makorokoro mengi hadi ya kiimani. Kuna mambo mengi ambayo tunaweza kushirikishana kabla, wakati na baada ya zoezi. Binafs niliwai kushiriki utafiti mkubwa kuhusu watu...
  15. A

    Shaka Hamdu Shaka, tupia jicho Jimbo la Ukonga

    Hili Jimbo linadhalilisha sana Jiji la DSM na CCM na wapenda maendeleo. Mwenezi fumbua jicho lako eneo hili; linawadhalilisha, linawakosesha wananchi imani na Serikali akiwemo Rais mno. Shuka chini Shaka, usiishie kwa wajumbe watakudanganya kwa maslah madogo binafsi; kama anavyokudanganya...
  16. Greatest Of All Time

    Tupia utabiri wako kuelekea kufungwa kwa dirisha la EPL leo jumapili

    Leo jumapili 22/05/2022, dirisha la EPL litakuwa linafungwa huku bingwa akiwa bado hajapatikana. Man City na Liverpool watakuwa wanawabia ubingwa. Huku kukiwa na tofauti ya point moja tu. Man City itashuka dimbani Etihad kuwakaribisha Aston Villa huku ushindi ukiwahakikishia ubingwa. Liverpool...
  17. Da Vinci XV

    Tupia kikosi chako bora cha muda wote duniani

    Wasalaam Nakumbuka nlitengana na mpenzi wangu mmoja kisa , mpira Mpira ni furaha yetu , tuna furaha nyingi sana ila mpira hauna kifani . Mpira unatuumiza sana sometimes pale , timu zetu zinapokumbana na zahma tusiyoipenda Lakini yote kwa yote, Mpira ni muhimili wetu. Nakumbuka msemo wa...
  18. Spaghetti

    Picha Fikirishi: Tupia yako

  19. Bujibuji Simba Nyamaume

    Huu ndio uzi wangu bora kwa muda wote, na wewe tupia wako

    Huu ni uzi ambao nimekuwa nikiusoma nakuurudia tena na tena, usiku na mchana bila kuchola tangu uliporushwa rasmi. Uzi huu unenifundisha umuhimu wa kufanya maamuzi magumu ili mradi tu kulinda maslahi yangu mapana mimi na familia yangu kama vile Urusi afanyavyo kule Ukraine. Hapa Kerubi...
  20. EINSTEIN112

    Tupia picha kali utakayopiga na simu yako tujue aina gani ya simu ina kamera matata sana

    Habarini wadau. Baada ya kuweka uzi wa maoni yangu juu ya kamera ya simu ya Iphone 13 Pro maarufu kama macho matatu, Wadau wengi ambao hawatumii Iphone wala Samsung waliona kama wametengwa, Pamoja na kuandamwa sana wenye Iphone japo 13pro nao walitoa povu hadi na matusi juu...
Back
Top Bottom