John Tuzo Wilson (October 24, 1908 – April 15, 1993) was a Canadian geophysicist and geologist who achieved worldwide acclaim for his contributions to the theory of plate tectonics.
Plate tectonics is the idea that the rigid outer layers of the Earth (crust and part of the upper mantle), the lithosphere, is broken up into around 13 pieces or "plates" that move independently over the weaker asthenosphere. Wilson maintained that the Hawaiian Islands were created as a tectonic plate (extending across much of the Pacific Ocean) shifted to the northwest over a fixed hotspot, spawning a long series of volcanoes. He also conceived of the transform fault, a major plate boundary where two plates move past each other horizontally (e.g., the San Andreas Fault).
His name was given to two young Canadian submarine volcanoes called the Tuzo Wilson Seamounts. The Wilson cycle of seabed expansion and contraction (associated with the Supercontinent cycle) bears his name.
Mpigania haki za binadamu Ales Bialiatski, muanzilisha wa umoja wa Viasna (Belarus), alipata tuzo hiyo ya heshima mwaka 2020 pale stockholm sweden.
Leo hii mahakama iliyopo belarus imemuhukumu mshindi huyo wa tuzo hiyo ya amani miaka 10 jela, kwa kosa La kushiriki kusaidia maandamano na...
ITV muda mfupi wametoka kupewa hii tuzo ikiwa ni mara sita mtawalia tangu waanze kuipata huku ukusanyaji wa habari na usambazaji wake ukiwa wa hovyo sana achilia mbali uchambuzi.
Hawana EPG, sauti hovyo tena zenye mwangwi wakati mwingine, picha za hovyo, hakuna HD pale ni hivyo anashindwa...
Licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo ya GRAMMY mara 10, Nicki Minaj hajawahi kupata tuzo hiyo, Snoop Dogg ameteuliwa mara 20, Katy Perry (13), Jennifer Lopez (2), Busta Rhymes (12) na Miley Cyrus (2).
Wengine ambao tayari wameshafariki ni pamoja na Tupac, aliwahi kuteuliwa mara 6 na hakushinda, Bob...
Chris Brown amemuomba msamaha Robert Glasper baada ya kumkashifu kufuatia kushindwa kwake katika uwaniaji wa Tuzo ya Grammy.
Mwimbaji huyo wa "Under the Influence" ameweka picha Instagram ikiwa ujumbe wa moja kwa moja aliotuma kwa Glasper ambapo akimpongeza mwanamuziki huyo kwa kushinda Albamu...
Sekta ya muziki duniani inajitayarisha kwaajili ya usiku mkubwa wa mwaka kupitia tuzo za 65 za Grammy. Huku wasanii wa Kiafrika wakipokea teuzi za kihistoria katika kategori tofauti mwaka huu,
App inayokua kwa kasi katika utoaji huduma ya kupakua na kusikiliza muziki barani Afrika, Boomplay...
Chris Brown ameonesha hisia za kutopendezwa na kitendo cha kukosa tuzo ya Grammy kupitia albamu bora ya R&B, kwa kueleza kuwa hajawahi hata kumsikia mshindi aliyetajwa ambaye ni Robert Glasper.
Breezy ameonesha wazi kuwa hajapokea ushindi wa Glasper kwa roho nyeupe ambapo amepost kupitia Insta...
Jumapili ya February 5, 2023 itakuwa ni siku ya utoaji tuzo za #GRAMMYs na hawa ndio mastaa waliothibitishwa kutoa burudani usiku huo, Bad Bunny, #MaryJBlige, Brandi Carlile, Luke Combs, Steve Lacy, #Lizzo, Kim Petras, na #SamSmith.
Licha ya orodha hiyo, jarida la #Variety limeripoti uwepo wa...
Jamaani enzi zile watu naona tuliinjoy Sana ukilinganisha na mziki wa kizazi kipya. Mfano Leo nilikuwa nimekaa sehemu nakuta DJ ameweka mziki wa bendi ya Sasa Kamanyola wakiwa na Maestro King kikki wimbo unaitwa tutoke wore duuu nimekumbuka mbali Sana nikiwa Kijiji cha mbwewe Handeni Tanga...
Mwimbaji Temilade Openiyi a.k.a #Tems kutoka Nigeria, ameweka historia ya kuwa msanii mwenye muda mfupi kwenye muziki na kufanikiwa kutajwa kuwania Tuzo maarufu ya #Oscar kupitia wimbo wa Lift Me Up alioshiriki kuuandika pamoja na #Rihanna.
Licha ya Ukubwa wake kwenye tasnia ya Muziki, kwa...
Aisee yule mmakonde alikuwa hatari bwana.
Leo na hii mvua ya tangu jana usiku nikaona ngoja nijisikilizie nyimbo zetu za utuvu ndipo nikakutana na hii kitu 'Sanura' kutoka kwa huyu Tongolanga, aisee! Hiki kibao acha kabisa, kinavuta hisia balaa, unaweza kujikuta umekumbatiana tu na mpenzi wako...
Mo Ibrahim Leadership Prize ni tunzo anayopewa kiongozi msataafu aliyetumikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi miongoni mwa nchi za Kiafrika, na katika uongozi wake aliheshimu na kuruhusu demokrasia, akasimamia utawala bora na kuondoka madarakani kwa kuheshimu mihula ya kiuongozi na kukabidhi...
Nimefanikiwa kuchaguliwa kushiriki kwenye tuzo za komla dumor za BBC mwaka huu kwa hakika nashukuru sana kwa kila kitu kwani ni kitu ambacho ni ndoto yangu ya siku zote hakika sana
Imekuwa ndoto yangu ya muda wote kwa hakika na hata nisiposhinda ila ndoto yangu kwa hakika imetimia ila na hakika...
Lugha yako, lafudhi yako, sura yako na unyenyekevu wako vinakupa kila aina ya sifa za kuwa kiongozi bora.
Mambo matatu mazito umeyaruhusu leo ambayo ni nadra sana kuyasikia kwa viongozi wa kiafrika dhidi ya wapinzani wao.
*Rukhsa vyama vya siasa kufanya mikutano.
*Sheria kandamizi kuondolewa...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limetangaza kampeni ya kutoa elimu kwa waandishi ya namna ya kuhamasisha jamii kutoa maoni yao kupinga ndoa za utotoni.
Akizungumza katika hafla ya kutoa Tuzo kwa Waandishi wa habari za Watoto, pamoja na mambo mengine Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile amesema...
Mwana Jamii Sport ikiwa tunaelekea Mwishoni kabisa Mwa Mashindano Makubwaaa Duniani ambayo yamefanyika pale Qatar kwa Ma-Sheikh upi utaburi wako katika Nafasi hizi?
1. Mfungaji Bora
Hadi saa hizi
2. Goli kipa Bora
3. Kinda Bora Wa Mashindano
4. Top Assistman
5. Mchezji Bora wa Mashindano...
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.
Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa...
afrika
anastahili
bara
ccm
chanzo
jamii
john
john magufuli
jpm
kasi
kifo
kiongozi
kuuawa
magufuli
moyo
mwandishi
pombe
rais
rais magufuli
tiss
tuzo
uzalendo
The African Giant, Burna Boy ametangazwa Msanii Bora Afrika katika Tuzo za Muziki za MTV Ulaya (MTV Europe Music Awards – EMA) kwa mwaka 2022, na kuongeza unyoya mpya kwenye kofia yake kubwa inayoendelea kupanuka.
Burna Boy alikuwa akishindanishwa na Zuchu kutoka Tanzania, Tems (Nigeria), Musa...
Best song
Bad Bunny, Chencho Corleone – “Me Porto Bonito”
Harry Styles – “As It Was”
Jack Harlow – “First Class”
Lizzo – “About Damn Time”
MSHINDI: Nicki Minaj – “Super Freaky Girl”
Rosalía – “Despechá”
Best video
BLACKPINK – “Pink Venom”
Doja Cat – “Woman”
Harry Styles – “As It Was”
Kendrick...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.