tvs

  1. Isaack Newton

    Anaejua bei ya pikipiki TVS 125 anijuze.

    Habari wakuu Nahitaji kununua pikpiki aina ya TVS 125 kwa matumizi yangu binafsi. Anaejua bei yake kwa sasa anijuze tafadhali.
  2. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki TVS no CQB inauzwa Mwanza Mjini

    TVS hio. Cc 150 gia 4. Imetumika mwaka mmoja. Full document. Bei 1.8 mil. Iko nyakato Mwanza Piga 0713096076 tuongee biashara achana na comments.
  3. K

    INAUZWA Nauza Bajaji ya TVS King

    Habari zenu, nauza Bajaji ya kijani Aina ya TV's king, iko mikocheni na iko kwenye Hali nzuri Sana na inavibali vyote na inafanya kazi to a Uber na bolt. Bei ni milioni mbili na laki nne (2.4 million). Mawasiliano 0620704530. NB- Hii ni Bajaj yangu hivyo haina udalali.
  4. Orketeemi

    Naomba kujua bei za pikipiki TVS na Boxer

    Wakuu kwema? Naomba mwenye kujua anijuze bei za pikipiki aina tofaut tofaut za brand ya TVS na za Brand ya Boxer Kwa DSM au Mwanza. Natanguliza shukrani.
  5. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki TVS 125 Gia 4 kwa laki 6 tu. Dar es Salaam

    inahitaji betri tu ambayo inauzwa Tsh 25,000 Bima imeisha Tvs 125 Gia 4 iko mbagala. karibu tufanye biashara
  6. N

    Injini gani ya pikipiki mchina inaweza kaa kwenye pikipiki aina ya TVS

    Pole na kazi wakuu!! Msaada katika Hilo tafadhali
  7. Nibiru

    Pikipiki mpya ya TVS inahitajika

    Salaam wakuu, Pikipiki aina ya TVS mpya inahitajika kwa Dar es Salaam soon as possible. Msaada wenu please.
  8. Mtu Asiyejulikana

    Sababu za Ubora katika Makundi ya Brands za TVs hizi

    Nimegawa Brands katika makundi mawili. Kundi A na kundi B. Nimezingatia ukongwe au Umaarufu duniani katika makundi haya na Bei zake. A. Samsung Panasonic Sony Hitachi JVC LG SANYO ( TCL na HISENSE ? ) B. TCL HISENSE BOSS STAR X Mr. UK HOMETECH ABORDER SINGSUNG ITEL ZUHNE Jambo jingine. Je...
  9. Analogia Malenga

    TCRA: Utoaji wa Leseni za Maudhui Mtandaoni umesitishwa hadi Juni 30, 2021

    Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa, Mhandisi Mihayo akizungumza kwenye Usiku wa Waandishi wa Habari na Wadau wa Habari Kanda ya Ziwa katika ukumbi wa Gold Crest Hotel Jijini Mwanza. Mamlaka ya Mawasiliano ya Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha utoaji wa leseni za Maudhui Mtandaoni kwa muda kuanzia...
  10. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA PIKIPIKI AINA YA TVS cc 150 kwa 1.3 mil

    Hello jf Hiki chombo kina kina document zote za umiliki Chombo kinafanya kazi vizuri Karibu tufanye biashara 0744033555 Loc: Dar es salaam
  11. E

    Wapi Arusha naweza kuchongesha funguo ya bajaji aina ya TVS?

    Habari, Kwa Arusha ni wapi nnaezakupata mtu anayechongesha funguo za TVS, nimepoteza mmoja nikabaki na mmoja
  12. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA pikipiki TVS namba C inauzwa: Mbagala Dar es Salaam

    TVS cc 125 Full docs of ownership Haina tatizo lolote la kiufundi, engine haijawahi funguliwa. Bei: 1.5 milion Tshs Mbagala Dar Call 0744033555
  13. Kididimo

    Uchaguzi 2020 Ushauri: TVs na Redio zitoe kwa usawa hotuba za mwisho za Wagombea Urais wote. Miaka yote kuanzia 1995 hadi 2015 ilifanyika hivyo

    Ni maoni yangu kuelekea hitimisho la Kampeni leo 28/10/2020. Lengo kuu ni ili Wananchi wawasikie kwa lugha moja katika kuhitimisha na kesho wafanye maamuzi sahihi. Naamini leo hakuna pumba au chuya, ni mwendo wa "SERA".
  14. Ndikwega

    TVs: Naomba Ufafanuzi wa haya Maneno

    Habarini Wanajamvi. Naomba Msaada wa Maana ya Specifications ya Maneno haya kwenye Hizi Screen za Kisasa (TVs). 1. Smart 2. Smart uhd 4k 3. Smart Android Uhd 4k Ahsanteni.Chief-Mkwawa mchango wako utanifaa Mkuu
  15. A teller

    Je, ninunue pikipiki aina ipi kati ya Boxer BM 150 na TVS HLX 150?

    Habari wakuu nataka ushauri nataka kununua pikipiki binafsi kwa ajili ya bodaboda ipi iko vizuri kati ya boxer 150 na tvs150? - Kuanzia engine - Fuels - Speed - Rough road na appearance === Boxer BM 150 TVS HLX 150
  16. M

    Kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?

    Wakuu hivi kati ya TVS HLX 150 na Hero dawn 150 ipi bora?
  17. Boyla

    Nauza Pikipiki aina ya TVS HLX125

    Wadau wa jamii forum nauza pikipiki yangu aina ya TVS star hlx 125.. Napatikana Ukonga Dar es Salaam. Price Tshs.920,000/= Hakuna udalali Mhusika ni mimi mwenyewe Call 0652015525
Back
Top Bottom