Mwanamuziki Tyla ameweka rekodi kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo tatu usiku mmoja katika tuzo za MTV European Music Awards (EMAs) za mwaka 2024 zilizofanyia usiku wa kuamkia leo Manchester.
Tyla ameshinda Tuzo ya Best Afrobeats, Best R&B Award na Tuzo ya Msanii Bora wa...
Msanii wa Afrika Kusini, Tyla, ameibuka mshindi wa tuzo ya ‘Best African Act’ katika hafla ya MTV Europe Music Awards (EMA) 2024. Katika kipengele hiki, Tyla alishindana na wasanii wengine maarufu kama Ayra Starr, Asake, Diamond Platnumz, DBN Gogo, pamoja na TitoM & Yuppe.
Tyla alipata uteuzi...
Mwaka huu umeweka alama nyingine muhimu kwa muziki wa Afrika baada ya Tyla kushinda tuzo ya "Best Afrobeats" kupitia wimbo wake maarufu "Water." Tyla, wa Afrika Kusini ameshinda tuzo hiyo katika kipengele cha Best Afrobeats katika tuzo za MTV Video Music Awards (VMAs) za mwaka 2024 na kuwabwaga...
Ameachieve kila kitu kwenye muziki kwa kipindi kifupi kuanzia kuingiza ngoma Hot 100, kuingiza Billboard 200, kushinda tuzo ya Grammy na kushinda tuzo za BET.
Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye streams billion 1 kwenye platform moja na kujaza Arena au Stadium.
The Met Gala, short for the Metropolitan Museum of Art Costume Institute Gala, is an annual fundraising event held in New York City at the Metropolitan Museum of Art. It marks the grand opening of the Costume Institute's annual fashion exhibit.
The Gala typically takes place on the first...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.