π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«π¨βπ«
NATAFUTA KAZI YA UALIMU
Mimi ni mwalimu mwenye shahada ya elimu, nina uzoefu wa miaka minne wa kufundisha shule za msingi na sekondari. Ninafundisha masomo ya Kiingereza, Historia ya Tanzania, CME, Kiswahili, Jiografia na Mazingira, na Elimu ya Jamii kwa shule za...