uaminifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kwanini ukiajiri Mtanzania huwa hafanyi kazi kwa uaminifu

    Kwenye haya maisha hakuna namna kazi zako zote wewe mwenyewe kuzifanya ,soo unahitaji wasaidizi, nimesoma trend ya wafanyakazi wangu aisee kama hakuibii lazima awe ni mvivu, nimeajri sasa nimechoka nimeanza kuajiri watu wasio watanzania ndio at least naona mambo yanaenda japo kwa tabu
  2. Saad30

    Uaminifu na Heshima

    Habari wakuu. Katika haya Maisha vitu vyenye thamani kubwa ni UWAMINIFU na HESHIMA. Kama wewe ni bosi na una mtu huyo katika ofisi yako au usimamizi wa miradi yako basi mzingatie sana huyo mtu.
  3. Roving Journalist

    PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com anayetambulika kwa jina la Mkumbwa Jr kulalamikia huduma ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) upande wa Dodoma kuwa siyo nzuri, mamlaka hiyo imetoa taarifa ya ufafanuzi. Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ PSSSF Dodoma tofautisheni...
  4. Mayala B

    Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

    Natanguliza shukran zangu kwenu Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana Kikubwa tu tupendane Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo Pia na kwa wale...
  5. R

    Tupime uaminifu wa watu wetu tunaowapigia "debe".

    Msikilize huyu, halafu useme kama wenye akili wanaweza kumwamini kesho na keshokutwa
  6. Mr Why

    Mh Mbowe amewaasa CHADEMA kushiriki uchaguzi wa haki ili ulimwengu wote uone uaminifu wao mkubwa wa kuhesabu kura kwa haki

    Mh Mbowe amewaasa CHADEMA kushiriki uchaguzi wa haki ili ulimwengu wote utambue uaminifu wao mkubwa wa kuhesabu kura kwa haki Amewaomba akina mama waliomlipia fomu wawaombee CHADEMA lakini pia waongeze maombi mengi kwaajili yake
  7. D

    Kuna utafti naufanya kati ya waliochomwa chanjo ya covid katika suala zima la uaminifu katika ndoa na hasira nitareta mrejesho

    Kuna utafti naufanya kuhusu tabia za binadamu na mabadiliko ya hisia! Nafanya utafti wa tabia kabla ya kuchoma sindano ya covid na baada ya kuchoma sindano! Naangalia uaminifu katika Angel ya uaminifu katika ndoa ukoje baada ya kuchoma covid, umepungua au umeongezeka, Tabia za kihisia (Moody)...
  8. Mad Max

    Watu wanaanza kupoteza uaminifu kwa YouTube Tech reviewer MKBHD

    MKBHD kila siku ziendazo mbele anazidi kuyatimba. Juzi alikua ana review camera ya DJI Action 5 Pro akaonekana anaendesha Porsche zaidi ya 90 mph kwenye kibao cha School zone 35mph. Mashabiki wamemuwashia moto hatari. Hapo issue yake ya App ya Pannel ambayo ni App ya Wallpapers...
  9. Robidinyo

    Imagine unaishi maisha ya kuungaunga kiasi kwamba ukipata Shida hauwezi kukopesheka wala kuaminika

    Kwenye haya maisha kuna watu tumezaliwa na gundu kiasi kwamba toka unazaliwa mpaka unakufa maisha yako ni Magumu tu hata kama Unapambana vipi kujikwamua kwenye huo Ugumu. Inaumiza unaishi kwenye Jamii ambayo ukipata shida ya 20k hakuna mtu ambae anaweza kukukopesha kwa sababu anahisi hauwezi...
  10. RIGHT MARKER

    Uaminifu ni silaha ya kulinda na kukuza biashara

    📖Mhadhara (57)✍️ Hebu fikiria, tunaagiza magari kutoka Japan na nchi nyingine, jinsi tunavyoyaona magari kwenye mitandao ndivyo ambavyo tunaletewa na kuyapokea bandarini kama tulivyoyaona. Huo ni uaminifu wa hali ya juu kwenye biashara. Lakini unakuta gari hilo hilo lililotoka Japan...
  11. matunduizi

    Je, huu ni ushahidi kiwango cha uaminifu kati ya wananchi kimeongezeka sana hasa kwenye pesa?

    Wakuu kwema? Niwe mkweli, siku hizi kiwango cha uaminifu kimeongezeka sana hasa kwenye pesa. Sijajua sababu. Unaweza kukutana na mtu hamjuani ukamuachia pesa nyingi bila maandishi na kazi akafanya tena kwa wakati. Mifano Kuna dogo nilimpa 4M simjui anifanyie kazi, bila maandishi, jamaa yangu...
  12. GENTAMYCINE

    Ni upopoma kwa mwanaume kumsaidia mpenzi au mke figo yako wakati unajua wanawake wa leo siyo waaminifu muda wowote mnaachana

    Baada ya kuona Mwamba mmoja aliyekuwa na Mapenzi ya dhati kabisa kwa Mkewe kumsaidia Figo yake moja alivyofanyiwa na Kugeukwa na huyo huyo Mumewe tena huku Akitukanwa na Kudharauliwa huku Mkewe aliyemsaidia Figo yake kuanzisha Mahusiano na Dume lingine. Pia soma: Prof. Janabi: Wanaochangia figo...
  13. Equation x

    Utajiri wako uko kwenye uaminifu, kujituma, na kuweka aibu pembeni

    Ukiona maisha yako hayaeleweki eleweki, kupata milo miwili au mitatu ni shida, juwa una mapungufu katika hivi vitu vitatu:- Uaminifu Kujituma Unaona aibu Wapo watu wengi wana mitaji midogo midogo na mikubwa, ila wanakosa watu wa kusimamia shughuli zao, kwa sababu vijana wengi wana ona aibu kwa...
  14. A

    Pete na uaminifu😂😂😂😂

    Kwa nini watu fulani wanaamini kwamba kuvaa pete kwenye kidole cha pete itawafanya wapenzi wao wasiwe waaminifu?
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Vigezo na sifa za Mwanamke wa kuoa kwa 2024 - 2050

    VIGEZO NA SIFA ZA MWANAMKE WA KUOA KWA 2024 - 2050 Anàandika, Robert Heriel. Mtibeli Pasipo kupoteza muda. Ikiwa wewe ni mwanaume unatafuta mke wa kuoa ili ujenge naye familia basi vigezo na sifa zifuatazo sharti Mwanamke huyo utakayemuita mkeo lazima awe nazo. Ili uishi maisha ya furaha...
  16. Fundi manyumba

    Kama una mpenzi ambaye yupo mbali yataka moyo sana

    Ni sehemu ndogo sana ya wapenzi wanaoishi mbalimbali ambao hudumu kwenye uhusiano wao kwa muda mrefu. Hiki kinaonekana kuwa ni kitendawili kigumu sana kwa wapenzi wengi kuvumiliana kwenye uhusiano bila kusalitiana. Ninapozungumzia umbali ninamaanisha wilaya na wilaya, wilaya na mkoa au mkoa na...
  17. O

    Uaminifu: Mke ajitunza miaka 17 kumsubiri mume wake atoke jela. Wewe ungeweza?

    Mwanamume aliyefungwa jela miaka 17 amemaliza kifungo chake na amemkuta mkewe akiwa mwaminifu akimsubiri amalize adhabu yake waendeleze maisha. “Nimefurahi sana kwa sababu mume wangu ameachiwa huru baada ya miaka 17 ya kifungo jela. Nimekuwa nikimsubiri kwa miaka yote. Nimevumilia sana, lakini...
  18. MamaSamia2025

    Wafanyabiashara wa Tanzania msipoteze uaminifu kwa manufacturers wa nje waliowaamini kwa kutolipia mizigo mliyopewa kwa mali kauli. peni pesa za watu

    Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya marafiki zangu manufacturers kutoka nchini India ambao hutengeneza na kuuza vifaa vya hospitali. Kuna wenzetu wameingia tamaa na kuishia kudhulumu watu waliowaamini na kuwapa mzigo bila kulipa chochote kwa...
  19. The Supreme Conqueror

    Uzalendo nchini Tanzania: Upendo, Uaminifu au Dhima?

    Nilijikuta kwenye mbio za kutembeza Twitter siku nyingine. Ndio, bado unaiita "Twitter." Baadhi yenu waimbaji wa teknolojia wanaweza kuiita X, Y, au nani-anajua-nini-kifuatacho, lakini nivumilie. Kuingia kwenye tweets za kisiasa ni kama kuchimba kwenye mfuko wa chips mbalimbali - baadhi...
  20. Shining Light

    Bila kumuhudumia mwanamke unaachwa?

    Ikiwa hutokuwa mwaminifu kwa Mke wako, Kuna uwezekano mdogo atakuacha. Ikiwa utaonyesha uaminifu kwa mke wako, Lakini utashindwa kumhudumia kiuchumi, Kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha. Wanawake wengi wanaweza kusamehe ukosefu wa uaminifu. Wanawake wachache wanaweza kuvumilia hali ya...
Back
Top Bottom