ubaya ubwela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SAYVILLE

    Harusi ya Aziz Ki imefanyiwa Ubaya Ubwela

    Kuna watu kule utopoloni wanaodhani wana akili kuliko watu wengine walipanga harusi ya Aziz Ki iende kufunika droo ya robo fainali ya CAF. Harusi ikajaa media za youtube ili tu kutafuta trend. Wazee wa Ubaya Ubwela wakasema aha kumbe tunaenda hivi? Kuna tukio likatokea huko Makanjiro sijui au...
  2. holoholo

    FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

    Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:30 Jioni Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili. Updates za vikosi vya timu...
  3. jannelle

    Ukiniomba namba, nakuomba hela, ubaya ubwela

    Tumechoka usumbufu usio wa lazima, now ni Tit for Tat😂, ninyi si mabingwa bwana basi twendeni hivyo tu hakuna kujaza manamba yasio na faida, sms eti "VIPI NIAMBIE" khaa🚮 2025 nimeamua ukiomba namba nami naomba pesa, Shwaa #Jocking😂😂
  4. KAGAMEE

    Simba hii ya ubaya ubwela mtaiona vizuri Jumamosi. Kila kitu kipo sawa mipango yetu nje ya uwanja

    Simba hii ya ubaya ubwela mtaiona vizuri Jumamosi.Kila kitu kipo sawa mipango yetu nje ya uwanja yote imekamilika. Kila kitu kipo mikononi mwetu sisi tu kuamua tufunge kwa style ipi,tuamue kugaragara kwenye 18 au 17 ni sisi tu. Mtanielewa Dec,28 dadekii
  5. Roboti Wa Nape

    Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

    Wote tumeangalia mechi hii. Baada ya kufungwa goli la 2 mashabiki na viongozi wa waarabu wakaanza vurugu. Inawezekana ni kweli wamekasirishwa na muda wa goli kufungwa ila kitendo cha kungoa viti na kuanza kufanya vurugu hakikubaliwi na mtu yoyote na kwa namna yoyote ile. Binafsi nawapongeza...
  6. Magical power

    Ubaya ubwela 😂😂😂

  7. Okoth p'Bitek

    Is it happening?

    I mean existential crisis Angalia ndugu yake na kurwa sasa hivi kwa mtaani anatamba na ubaya ubwela Vijana mtandaoni wanahangaika na uwepo wa mungu, they feel his death Viongozi wa serikali na dini wanacharuana hadharani! Iko wapi heshima?! Kuongezeka kwa wimbi la hawa raia wasiokula nyama...
  8. Kiungopunda

    Wana Ubaya Ubwela wenzangu: tujiandae kwa ajili ya ubaya ubwela dhidi ya Al Ahly Tripol mechi ya nyumbani.

    Tumeona jana, baada ya mechi kuisha wale waarabu wametufanyia vurugu sana hata kutuumizia kipa wetu Aishi Manura kwa kumpiga na chupa na kumpasua kichwani. Kuna video zipo kwenye page ya salehe Jembe aliyekuwepo kule Libya zikiomedha namna gani waarabu walitufanyia vurugu na kupelekea majeruhi...
  9. J

    ACT Wazalendo kutumia Kauli mbiu ya " Ubaya Ubwela" kwenye Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo amesema katika kuhakikisha mshindi halali ndiye anayetangazwa kauli mbiu yao kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu itakuwa " Ubaya Ubwela" Shaibu amesema hawatakubali yaliyotokea 2020 yajirudie Mlale Unono 😀
  10. Pdidy

    Padre aliesema ubaya ubwela kanisani ahamishwaa

    St Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae...
  11. J

    Jaji atumia ubaya ubwela ya simba ugomvi wa ndugu wanaogombea jina

    Jaji Frank Mahimbali wa Mahakama Kuu kanda ya Sumbawanga, ametumia msemo wa sasa wa mashabiki wa timu ya Simba wa ‘Ubaya Ubwela’ kufananisha sakata la watoto wawili wa familia moja wanaogombea jina la Kura. Jaji alisema usemi huo unaomaanisha ‘ubaya umerudi tena’, kwa mtazamo wa kwanza, mtu...
  12. OKW BOBAN SUNZU

    FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

    Ni jioni ya leo saa 10:15 pale KMC Complex. Ubaya Ubwela
  13. Y

    Nini maana ya maneno "UBAYA UBWELA"?

    Jaman kwema? Kuna maneno nayasikia watu wanayatamka na pia yameandikwa sehem mbalimbali, ila sielewi maana yake. Nini maana ya maneno "UBAYA UBWELA"?.
  14. TODAYS

    Yule Robot wa Kukuliwaza Kaongezewa Akili, Ukimzingua Akupi Menu Ipasavyo

    Huyu ni robot maarufu sana duniani, bila shaka unamfaham sababu yeye yupo kwa ajili ya kukuliwaza kingono ili akili yako itulie, uwapo naye ni unajipimia unavyotaka hakuna siku atanuna au kuingia in 28 days 🙆🏾‍♂️. Huyu 'dada robot' anaitwa Samantha sasa atakuwa na emotional mpya kwenye akili...
  15. Superbug

    Ubaya ubwela kwa kwa kipare ni uvivi wahunduka je kwa lugha yako mnasemaje?

    Tuambie hii sentensi UBAYA UBWELA kwa lugha ya kikwenu mnasemaje? 1. WAPARE - UVIVI WAHUNDUKA.
  16. Mycojkhan

    Mashabiki wa Simba SC Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wap?

    Wanasimba hongereni kwa Tamasha zuri mmeujaza uwanja wa Mkapa yani ni full House najua Mnafuraha sanaa Kwa kuiona Timu yenu ikipata matokeo kwenye siku ya “simba dei”. Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wapi? Soma pia: FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024
  17. Magical power

    Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄

    Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄
  18. Suley2019

    FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

    Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025 Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda. Kaa nami katika uzi huu upate update ya...
  19. M

    Neno la ubaya ubwela halina baraka

    Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi. Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka. ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO. Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika...
  20. Komeo Lachuma

    Ubaya ubwela 2024/25: Ovyo sana, ukichaa tu umejaa

    Inanikera sana. Na kuna wanayanga wengi wameingiwa na huu ujinga nao wanaitumia hii kauli mbiu. Jana nimetoka kulumbana na mtu kuwa aache ujinga. Kauli mbiu yetu inafahamika but why anatumia ya Simba. Yule kanijibu tena UBAYA UBWELA. Nikaona hamna mtu pale. Haya mambo sijaelewa akina Priva...
Back
Top Bottom