I mean existential crisis
Angalia ndugu yake na kurwa sasa hivi kwa mtaani anatamba na ubaya ubwela
Vijana mtandaoni wanahangaika na uwepo wa mungu, they feel his death
Viongozi wa serikali na dini wanacharuana hadharani! Iko wapi heshima?!
Kuongezeka kwa wimbi la hawa raia wasiokula nyama...