ubora

The Ubora Towers is a complex of two towers in the Business Bay district of Dubai, United Arab Emirates. The development consists of the Ubora Commercial Tower and the Ubora Residential Tower. Construction of the Ubora Towers was completed in 2011. It was sold by to Senyar Real Estate in Mid 2018
The Ubora Commercial Tower, also known as the Ubora Tower 1, is a 58-story building. It has a total architectural height of 263 metres (862 ft). The Ubora Residential Tower, or Ubora Tower 2, is a 20-floor structure. The commercial skyscraper was topped out in 2011. The complex was designed by the architectural firm Aedas, with lighting design by AWA Lighting Designers, and is currently managed by Jones Lang Lasalle.
There is a public transport bus stop on both sides of the road named as U bora Tower which is where people working in nearby towers use to board and get down. All the buses crossing this tower expect bus number 50 leads to the nearest Metro Station which is Business Bay Metro Station.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Tutazame goverment school za Kenya kwanza. Tulinganishe na zetu kabla hatujajadili ubora wa elimu yetu

    Habari wadau. Video ya wanafunzi wa shule ya serikali Kenya waki have fun kucheza wimbo wa jerusalem Binafsi nimeitizama sijavutiwa na style za kucheza. Bali mazingira ya shule yenyewe kuanzia madarasa, church la shule, viwanja vya michezo etc etc. Ni shule ya serikali kama ilivyo mzumbe...
  2. S

    Licha ya kuingia uchumi wa Kati, Tanzania bado tuko chini katika ubora wa Maisha (HUMAN DEVELOPMENT INDEX) tunashika nafasi ya 163

    HDI kwa kifupi inaangalia Afya na umri wa wananchi , pamoja na ubora wa maisha wanayoishi. Pia ndio inayopima kama taifa limeendelea au liko chini. Kwa sasa Tanzania iko katika kundi la chini kabisa nafasi ya 163 , kinachoshangaza hata Comoro na Uganda wametupita. Kwa haraka tu nadhani Watz...
  3. MWANDENDEULE

    Ubora wa subaru Exiga

    Ndugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine. Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa...
  4. robinson crusoe

    Rais Samia ulishangiliwa, lakini ubora wa jukwaani haufurahishi

    Kwa mara nyingine tena tukubali kwamba Tanzania hatujaweza kuwa na mchujo wa kupata viongozi wenye busara. Busara hutokana na kuiga pamoja na uzoefu. Kwa mtu aliyeweza kuwa kiongozi wa nchi haistahili awe na mapungufu ya kiwango hiki. Yaani sasa rais ameamua kuja majukwaani na washangiliaji...
  5. Lawrance franci

    Computer4Sale Laptop aina mbalimbali zinauzwa

    HP MIN LAPTOP 300,000/= TU INa RAM 2 GB HDD 160 SCREEN SIZE 10.1 Refuerbished Ina Kaa na charge Masaa 10 Call Me 0716889489
  6. Suzy Elias

    Video: Mwamba Tundu lissu katika ubora wake

    Bonge la uwasilishaji hakika Tundu lisu nje ya mambo machache yanayo mkosesha heshima lkn ni mtu anayefahaa sana kuwa kiongozi tena mkubwa. Jamaa ni mtaalam sana wa kujenga hoja tatizo lake ni ukali wa maneno. Angalia hiyo video namna alivyokuwa anaongea unaona kabisa huyu mtu anao uchungu wa...
  7. K

    Ni kweli kwamba ubora wa Royal Tour utaikosesha waangaliaji?

    Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na...
  8. muafi

    Simba SC yashika namba 105 kwa ubora Africa

    kwa mujibu wa CAF simba sc ya Tanzania imekua ya 105 kwa ubora Africa hii ni taarifa ya 5 December 2021 hongereni simba sc.
  9. Makirita Amani

    Urahisi, Ubora, Huduma; Chagua Viwili

    Rafiki yangu mpendwa, Maisha ni mfululizo wenye machaguo ya kupata na kukosa (trade off). Hata uchague kiasi gani na uwe na mamlaka makubwa kiasi gani, huwezi kupata kila unachokitaka, kwa wakati unaokitaka na kwa namna unavyotaka. Hilo halipo kabisa, lakini ukaidi wetu wa kutaka kupingana na...
  10. L

    Soko la China ni kigezo cha kupima ubora wa maua ya Kenya

    Na Tom Wanjala China imetajwa kuwa mwamuzi mkubwa katika soko la kimataifa la maua yanayotoka Kenya. Meneja mauzo wa kampuni ya maua ya Redlands Roses, Bi. Dorcas Gathura anasema kuwa China imesaidia kampuni hii kupanua mauzo yake katika mataifa mbalimbali. Anasema kuwa kinyume na mataifa...
  11. F

    Nini Jukumu la Mkemia Mkuu, TMDA na TBS katika kuhakiki ubora wa mafuta, vitambaa, keki na maji ya upako?

    Katika Huduma za Kiroho mbalimbali ndani na nje ya nchi kumekuwa na shuhuda za hadharani kabisa kuhusiana na matumizi ya bidhaa za upako kama mafuta, maji, vitambaa, bangili, keki nk. Nyingi za shuhuda hizi zimekiri nguvu iliyomo ndani ya bidhaa hizi ikiwemo nguvu ya kufisha baadhi ya...
  12. Mr_Plan

    Nimepata mic ya kununua lakini sina uhakika na ubora

    Wakuu katika pita pita zangu nimekutana na hii Mic je katika kazi zangu za Online TV itanifaa
  13. D

    Naomba kujua ubora wa ujenzi wa visima au vihifadhi maji vya kwenda juu (tank la kujengwa)

    Nimezunguka sehemu nyingi Hasa mikoa ya pwan naona wanajenga vihifadhi maji vya chini. Ndan ya ardhi. Sasa mimi nimeona kwangu havitanifaaa. Nataka nijenge kisima Cha kuhufadhi maji Cha juu, sio Cha ardhini chini. Sasa nataka kujua ubora wake na nini Cha kuzibgatia Kwan nataka nitumie tofali...
  14. Hismastersvoice

    TBS na TFDA okoeni maisha yetu kwa kupima ubora wa unga wa mahindi na muhogo unaosagwa mitaani

    Miaka ya hivi karibuni kumezuka viwanda vingi sana mitaani vinavyosaga unga wa mahindi na muhogo, ubora wa unga huo u atia mashaka kwani viwanda husika haviko kwenye usafi unaoridhisha. Kiwanda ambacho hakiko kwenye usafi hata ubora wa unga wake utatia shaka, ni wazi viwanda hivyo vina mashine...
  15. J

    TBS yaendelea kutoa elimu kwa viwango vya ubora wa bidhaa wilayani Lushoto, mkoani Tanga

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu ya viwango vya ubora wa bidhaa katika wilaya ya Lushoto ambapo imeweza kukutana na wafanyabiashara mbalimbali pamoja na wanafunzi na kuwahimiza kutumia bidhaa zenye ubora ili kuweza kumlinda mlaji. Akizungumza mara baada ya kutembelewa...
  16. Z

    Ubora duni wa viongozi wetu: Niko mjini Morogoro, MORUWASA ni mfano wa uongozi mbovu

    Niko hapa Morogoro najaribu kutafuta raha itokanayo na huyu anayeitwa Samia. Yaani eti mji mzima una matatizo ya maji. Ajabu ni Wafanyakazi wa MORUWASA ndo wafanyabiashara ya maji. Nimejiajili na kuanza kuwa mwandishi wa habari za uchunguzi; kuna magari zaidi ya 50 yakizunguka majumbani kuuza...
  17. K

    #COVID19 Chanjo ya COvID19 inaweza isiwe na ubora kwa uhifadhi hafifu.

    Ubora wa chanjo unaendana na kufuatilia taratibu za uhifadhi. Kama chanjo imeelekezwa kutumika kwa kipindi flani lazima iwe hivyo, Kama imeelekezwa kutunzwa kwenye joto la ngazi flan lazima iwe hivyo na Kama imeelekezwa kuwekwa kwenye ubaridi pia inabidi iwe hivyo. Kampeni inayoendeshwa Mikoani...
  18. and 300

    Nani anahakikisha Ubora wa Hand Sanitizer?

    Tofauti na wenzetu sisi kila mtu mtaani anazalisha Hand Sanitizer eg. Nilienda duka la nguo nikakuta hand sanitizer zinauzwa kuangalia brand ni ya mwenye Duka (Sachko). Nani hudhibiti Ubora wa hizi bidhaa za kujikinga na Corona?
  19. zink

    Bei na ubora wa alienware gaming laptop

    Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi, na je hizi msi gaming laptop zina ubora gan maana zinanivutia kimuonekano.
  20. msovero

    UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

    Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika. Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu...
Back
Top Bottom