ubovu wa barabara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Kimewaka wananchi Tegeta A wamvamia mwenyekiti kisa ubovu wa barabara, wasema wamechoka

    Wananchi wa Mtaa wa Tegeta A katika Kata ya Goba wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam, wameandamana mpaka ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Tegeta A, wakitaka ufafanuzi juu ya sababu zinazopelekewa Barabara ya Tegeta A- Goba Mpakani kubaki kuwa mbovu, licha ya ahadi walizoahiriwa mara...
  2. The Watchman

    TANROADS yamjibu Khana Mbarouk, ubovu wa barabara na msongamano wa magari barabara kuu Mbagala - Kongowe

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Mohamed Besta amesema wameiona video clip iliyopostiwa na Mtangazaji wa Clouds media Khan Mbarouk siku mbili zilizopita inayoonesha ubovu wa barabara na msongamano wa magari katika barabara kuu iendayo mikoa ya kusini mwa Tanzania...
  3. Roving Journalist

    DC wa Ubungo, Lazaro Twange azungumzia uhaba wa Maji na ubovu wa Barabara Kimara, asema kuna Mkandarasi amekimbia 'site'

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Lazaro Jacob Twange amewataka wataalam wanaosimamia miundombinu ya barabara kufanya kazi kwa haraka na kukamilisha kwa wakati ili wananchi wapate huduma. Mh. Twange ametoa maelekezo hayo katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto mabalimbali za wananchi ...
  4. kasanga70

    Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, au ilijengwa bure?

    Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure? Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara...
  5. B

    KERO Singida: Wakazi wa Unyakumi tunateseka na ubovu wa barabara. Ahadi zimekuwa nyingi bila utekelezaji

    Wakazi wa Mtaa wa Ginery maeneo ya Singida Sekondari tunaomba tusaidiwe barabara. Hali ni mbaya sana hasa msimu huu wa mvua. Watoto wanaenda shule kwa tabu maji na matope ya kutosha. Wanakwenda na School bus zinaishia mbali kwasababu ya ubovu wa barabara. Ahadi zimekuwa nyingi bila utekelezaji...
  6. M

    Mkurugenzi wa Itilima na ukimya wa ubovu wa Barabara Nanga-Migato

    Wanajamvi huyu Mkurugenzi amekuwa kimya kwa ubovu wa Barabara Nanga-Migato haswa haswa eneo la darajani karibu na kanisa la Roma, eneo hili limekuwa kikwazo kikubwa sana kwetu wafanyabiashara tunaosafirisha Mizigo na mazao gari inaweza kukwama hata kwa siku 2, ajabu ni kuwa Mkurugenzi mbali na...
  7. N

    KERO Barabara ya Ndungu-Lugulu bado haijatengenezwa tangu mvua za mwaka 2023, Serikali iingilie kati

    Nikuhusu barabara ya Ndungu-Lugulu. Barabara hii, tangu iharibiwe na mvua za El Nino mwaka 2023, haijawahi kutengenezwa. Barabara hii ni muhimu sana kwa wakazi wa kata ya Lugulu na kata ya Mtii, hasa wakati wa mavuno ya tangawizi. Kwa sasa, hakuna gari linaloweza kupita katika barabara hii...
  8. L

    KERO TARURA Kigoma mnatia aibu na kuudhi Barabara ya Gungu mpaka njia panda ya Kigoma ma Ujiji ni kituko kwa Mkoa na Taifa kwa ujumla

    Nimebahatika kufika Kigoma siku tatu zilizopita. Nimeshindwa kuvumilia kituko cha barabara kutoka Gungu kwenda mpaka njia panda ya Kigoma mjini na Ujiji. Lakini pia Kituko cha barabara ya Kigoma to Ujiji. Swali langu: Ivi huo mtaro ulio katikati ya barabara mbili una kazi gani? hamuoni kama...
  9. A

    KERO Ubovu wa barabara ya kigamboni/ferry - cheka: Mkurugenzi wa Manispaa, Meneja TARURA/TANROADS mna mpango gani kuelekea msimu wa mvua?

    Napenda kuwasilisha malalamiko kutoka kwa watumiaji wa barabara ya Kigamboni/Ferry - Cheka kuhusu hali mbaya ya barabara hii, hususan vipande kadhaa ambavyo lami imekwanguliwa kwa lengo la kufanyiwa marekebisho lakini hadi sasa kazi hiyo haijakamilika. Tunaelekea katika msimu wa mvua za masika...
  10. K

    KERO Hii Barabara eneo la Igogo - Mwanza inatutesa wengi, kwani Viongozi wanaohusika hawaioni?

    Kuna changamoto ya miundombinu ya Barabara katika eneo la Igogo inayopita Soko la Wafanyabishara Wadogo la Mchafu Koga. Changamoto hiyo inasababisha vyombo vya usafiri hasa Daladala kutopita katika eneo hilo kwa wasiwasi wa kuharibu vyombo vyao vya moto huku abiria nao wakikumbana na adha ya...
  11. Mkalukungone mwamba

    KERO Manispaa ya Kinondoni mnapango gani na stendi ya Tegeta Nyuki? Mbona kama imetelekezwa hivi

    Nimeona miaka ikienda lakini stendi ya Tegeta Nyuki ambayo ni moja ya stendi kubwa tu inayobeba magari mengi yanayofanya safari zake maeneo mengi katika Jiji hili la Dar es Salaam. Kwa mfano kuna magari ya Tegeta Nyuki Makumbusho, Tegeta Nyuki - Simu 2000, Tegeta Nyuki - Bunju Sokoni, Tegeta...
  12. A

    KERO Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, mkandarasi kaingia mitini, mwezi wa 6 sasa

    Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, huu ni mwezi wa 6 tangu Bango la Mkandarasi liwekwe na hakuna kinachoendelea JF tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwa Serikali ya Kigamboni kuhusu changamoto ya barabara, kwa kweli ni mbovu sana hasa maeneo ya Kwa Fundi Baiskeli. Tangu...
  13. Mkalukungone mwamba

    Hatimaye! Kipande cha barabara kutoka Boko bulumawe hadi boko magengeni cha tengenezwa

    Wakazi wa maeneo ya Bulumawe mtaa wa wa Dovya kata ya Bunju manispaa ya Kinondoni tulikuwa tunapata shida sana hususani kipindi cha mvua kutoka na ubovu wa barabara. Lakini sasa kipande cha barabara kutoka Bulumawe hadi Boko magengeni kimechatengenezwa kwa kiwango cha lami naweza sema lami ya...
  14. A

    KERO Ubovu wa Barabara Masaki eneo la Fitness na Lake Oil

    Kuna shimo barabarani kwenda Masaki eneo la fitness na lake oil na mbele yake kuna tuta. Inakuwa changamoto kwa watumiaji wa barabara hii hasa magari yakikutana kupishana ni changamoto.
  15. A

    KERO Barabara ya Toka Musoma kwenda Sirori Simba/Mugumu haijafikia asilimia 30 tangu ianze kujengwa

    Hii barabara imeanza kujengwa zaidi ya miaka kumi iliyopita lakini hadi leo hata haijafikia asilimia 30. Tangu ianze ina kandarasi zaidi ya ya 4, ni nini hasa kinafanya hii barabara isimalizike. Tena barabara yenyewe haikuanzia Musoma. Ilanzia mbele kidogo ya Zero zero. Hadi sasa hivi imefikia...
  16. Kangosha

    KERO TANROAD Lindi tunaomba mrekebishe mashimo makubwa yaliyopo kwenye barabara kuu

    Kwa mara kadhaa nimekuwa nikisafiri toka Mtwara kwenda Dar. Kuna baadhi ya maeneo Kwa kipande cha barabara ya mkoa wa Lindi kuna MASHIMO makubwa sana. Mashimo husika yanaweza kusababisha ajali ama uharibifu wa gari. Baadhi ya mashimo yapo maeneo ya hatari sana. Unakuta kuna mteremko na lami...
  17. Bani Israel

    KERO Ubovu wa barabara Wilaya ya Temeke; Barabara kutoka Kituo cha Polisi Chang'ombe hadi Buza ina mashimo 46!

    Nisikuchoshe usinichoshe..! Wasalaam. Mimi ni mkazi wa maeneo ya Buza ambaye katika harakati zangu kila siku usafiri wangu ni daladala kutoka Buza kwenda mjini kujitafutia mkate wa kila siku Kero zetu kubwa huku ni usafiri na inayotunyemelea ni ya barabara kuharibika pasipo marekebisho tangu...
  18. peno hasegawa

    Pre GE2025 Wananchi wa Kilimanjaro wachangishana kurekebisha barabara mbovu yenye urefu wa kilomita 72

    Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni, Kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 72 kwa kiwango cha changarawe. Eneo hilo...
  19. Lord denning

    Inakuwaje Dar es Salaam inaoongoza kuingiza mapato ya Nchi unakuwa na barabara mbovu hivi?

    Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa. Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia hiki na hatupati hiki ndio utakuwa mwisho rasmi wa siasa za kutawala Tanzania kwa Chama cha...
  20. Fundi wa fundi

    KERO Ubovu wa barabara kutoka Mombo kuenda Lushoto

    Kuna shida ya ubovu wa barabara ya kutoka Mombo kwenda Lushoto ina mashimo mashimo na pili hakuna ufuatiliaji wa nauli za bei mfano bei ya kilometa moja ya lami ni shilingi 30-40 lakini wao wanachaji 200 kwa kilometa moja ambao mfano mombo bangala ni km5 bei 1000 Mombo Soni ni km 10-15...
Back
Top Bottom