uchaguzi 2020

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Uchaguzi 2020 CCM tayari wako ngazi moja juu ya wapinzani wao.

  2. T

    Uchaguzi 2020 Polisi iepuke kabisa kuwa Polisi ya USA dhidi George Floyd!

    USA ubaguzi wa rangi na matendo ya kinyanyasaji yalizidi sana. Mpaka leo bado kuna Miji inatangaza maandamano. Nimeona waandamanaji wanaokuwa tayari kugongwa hata na magari ili wafe kwa ajili ya uchungu wa manyanyaso hadi kifo ya mpendwa wao George Floyd. CCM yangu inaingia kwenye Uchaguzi...
  3. Ngongo

    Uchaguzi 2020 Ikiwa unakubalika sana kwanini mizengwe kibao uchaguzi 2020

    Tanzania inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 mwezi October. Chama tawala CCM chini ya Rais Magufuli inamaliza muda wake wa miaka mitano.Serekali ya awamu ya tano imefanya mambo mengi mazuri katika kipindi chake cha miaka mitano,lakini pia yapo mambo mengi imekosea mojawapo kubwa ni...
  4. M

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Tunahitaji Serikali Jumuishi

    Tukijilinganisha sisi na wakenya ktk maeneo mengi tunakuta wakenya wametutangulia kwa kuonyesha dhamira njema katika kila jambo. Mathalan tukilinganisha katiba ya Kenya na ya Tanzania utagundua dhamira njema iliopo katik katiba ya Kenya katika kuwaunganisha raia wake. Huku ya ya Tanzania...
  5. S

    Uchaguzi 2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

    Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. Maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa...
  6. FAHAD KING

    ACT Wazalendo msifanye makosa Uchaguzi 2020

    Wanabodi Kwanza nimshukuru Mungu kwa kumaliza mfungo ilihali nina afya njema na furaha tele kuliko kawaida.Kweli naamini hadithi ya Mtume Muhammad (S.A.W) "Funga ni Afya". Pia Eid Mubarak kwa Waislamu Wenzangu na Pia ambao sio Waislamu tuzide kudumisha upendo na ushirikiano kwani sisi si...
  7. T

    Spika Ndugai na wabunge Wanawake (Viti Maalum)

    Leo nimemsikia Spika akiongea kuwa humo mjengoni hakuna siyejua shida wanazopitia wabunge wa viti maalum wa Chadema. Imekuwa siri ya wazi na iliyokubalika kwa jamii kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe. Ila leo ndo mara ya kwanza kumsikia mkuu...
  8. DITOPILE WAPILI

    Kujipanga kwa uchaguzi mkuu 2020

    Sasa ni muda muafaka kwa vyama vya siasa, kupitia kwa hatua ya mwisho kabla ya kwenda kunadi SERA NA ILANI ZA UCHAGUZI 2020 za vyama zao. Hii itasaidia wananchi kupata SERA ZILIZO SHIBA, hivyo kutakuwa na wigo mpana wa kuchagua sera bora kutoka vyama mbalimbali vya siasa, Kuliko sera na ilani...
  9. J

    Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Salum wa Bakwata asema litakuwa jambo Jema kama itapatikana Tume Huru ya uchaguzi 2020 ili kulinda amani

    Shehe wa mkoa wa Dsm, Alhad Salum amesema amani yetu ni tunu ya Taifa hivyo ni jambo jema kabisa kama itapatikana Tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu ie 2020. Sheikh Salum ametoa maoni katika mahojiano ya waandishi wa habari na viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Katibu...
  10. Kichuguu

    USA: Uchaguzi 2020

    Mbio za uchaguzi wa wa marekani kumchagua rais, wabunge congress wote 435 na maseneta 35 kati ya 100 zimeanza kuwapa nguvu bainba ya Democrats na Republicans. Kwa sasa hivi Democrat ina wabunge 232 wakati republican inao 197; kwa jumla Democrat imeposhateza mbunge mmoja aliyehama kuwa...
  11. figganigga

    Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Uchaguzi 2020 utakuwa huru na wa haki

    Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema Serikali imejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 2020 unakuwa wa amani, uhuru na haki. Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema utakapofika uchaguzi huo, nchi na taasisi mbalimbali zitakaribishwa Tanzania kushuhudia. Ametoa kauli hiyo leo...
  12. Superbug

    Uchaguzi 2020 Vyama vya upinzani msipogomea uchaguzi 2020 bila tume huru tutawashinikiza sisi wanachama

    Vyama vya upinzani chondechonde msije mkakubali kuingia kwenye uchaguzi 2020 bila tume huru. Hulka na tabia ya jiwe na serikali yake mmeshaiona hawana aibu heshima staha Wala huruma kwenu Wala hawaifwati katiba. Kama jiwe ameweza kuchezea uchaguzi wa serikali za mitaa bila kufanywa lolote Wala...
  13. Abdalah Abdulrahman

    Tathmini ya kisayansi juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu Novemba 2020

    Sayansi na Teknolojia vikitumika vizuri vina uwezo wa kutoa majibu ya wakati ujao,uliopo na uliopita kwa uhakika wa asilimia 99.9%. Katika andiko langu hili nitatumia taarifa za kisayansi zilizopo kuweza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Novemba 2020. Tathmini hii isitumike...
  14. V

    Uchaguzi 2020 Watanzania mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu, Tunachagua tena Rais pamoja na wabunge

    Watanzania mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu, Tunachagua tena Rais pamoja na wabunge. Ni mwaka ambao una changamoto kubwa sana katika uchaguzi mkuu hususa upande wa visiwani Watia nia ya kugombea nafasi za ubunge wengi wao wamesha jijua kilichobaki tu ni taratibu za kiofisi Wapinzani...
  15. Paul Alex

    Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

    Nianze kwa kuomba samahani kwa niliowakwaza kwa heading hapo juu! I am a realist and I wish to remain so! Upinzani haujafa kama JPM alivyotamaani ila umeumia! Our house isn't in orderWe can't realistically mount a challenge against Membe come 2020! I want to forget about JPM because he is...
Back
Top Bottom