uchaguzi chadema

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Uchaguzi wetu ulikuwa mkali sana. Nimewapa BAZECHA jukumu la kusaidia kuponya majeraha ya Uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu ameeleza kutambua maumivu ya walioshindwa uchaguzi ndani ya chama hicho na kutaja mikakati ya kutibu majeraha yaliyotokana na uchaguzi huo. Akizungumza na waandishi wa Nipashe waliofika nyumbani kwake Jumapili iliyopita...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Mch Msigwa: Mbowe hakuwa na mpango wakuachia Madaraka mpaka alipofurumshwa, Uongozi wake ulikuwa wa magumashi

    Mchungaji Peter Msigwa ameeleza kuwa Mweyekiti aliyemaliza muda wake Freeman Mbowe hakuwa na mpango wakuachia Madaraka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mpaka alipofurumshwa na wapiga Kura kwenye Uchaguzi wa ndani ya Chama, na kuongeza kuwa Uongozi wake ulikuwa wa magumashi...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Team Mbowe baada ya kuangukia pua uchaguzi sasa hivi wanaiomba Serikali waifutie usajili CHADEMA ili wote wakose

    Ameandika Hilda Newton "Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema." "Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia...
  4. Tlaatlaah

    Hivi kwanini kila kijana alieshindwa uchaguzi CHADEMA kabla ya uchaguzi wa uenyekiti Taifa alidai uchaguzi haukua huru na haki?

    Au tatizo ni uelewa na ufahamu mdogo juu ya masuala ya kidemokrasia katika chaguzi? Hata mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa alibwekabweka sana kwa hofu ya kushindwa uchaguzi kitu ambacho ndio Demokrasia. Kwanini dhana hii potofu ya kwamba wao wakishinda uchaguzi ndio uchaguzi ulikua huru, wa...
  5. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwigulu: Wanachama wa CHADEMA wenyewe ndio waliosema Lissu hatoshi hata kuwa Mwenyekiti wa Kitongoji. Sisi tunajua uwezo wake

    Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walikuwa wanafahamu kuhusu uwezo wa viongozi waliochaguliwa ndani ya chama lakini wanachama wa CHADEMA wao wenyewe ndio walikuwa wakiaminisha watu kwamba Mwenyekiti wao Tundu Lissu hatoshi katika nafasi hiyo...
  6. Waufukweni

    Pre GE2025 Ester Bulaya: Lissu ana uwezo wa kutufikisha kwenye Demokrasia ya kweli. Apongeza CHADEMA kwa Uchaguzi Uhuru na Haki Bungeni Dodoma

    Wakuu Mbunge wa Viti maalum, Ester Bulaya amekipongeza chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Freeman Mbowe na Mwenyekiti mpya Tundu Lissu kwa Uchaguzi Uhuru na Haki akiwa Bungeni. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa...
  7. S

    Matokeo uchaguzi Chadema ilikuwa kuikwamisha ACT Wazalendo kujijenga bara kupitia Lisu na kuzuia Lissu kujijenga Zanzibar kupitia ACT wazalendo

    Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini. Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT...
  8. M

    Mbona kama CHADEMA imepoa baada ya uchaguzi wao wa ndani

    Mbona imechokwa mapema, naona tangu uchaguzi umalizike hivi sasa zii. Au ulikuwa moto wa vifuu? Lema kaenda likizo?
  9. Judi wa Kishua

    Joseph Mbilinyi Sugu: Toka adharani ujisafishe dhidi ya tuhuma za rushwa alizosema Lissu au ujiuzulu

    Joseph Mbilinyi wanakuita Sugu umetajwa mara nyingi sana mwenyekiti wako wa chama Tundu Lissu kuwa umepata uongozi wa kanda kwa kutumia rushwa. Lissu amesema mara nyingi ulitumia pesa kutoka kwa Abdul kumtoa madarakani rafiki yake mwanaCCM kwa sasa Peter Msigwa. Hizi tuhuma ni nzito kwa sababu...
  10. R

    Kwa vita iliyopigwa na Lisu dhidi ya Mbowe, Mbowe kaa kando na jitenge ila usihame chama

    Why am I saying so? 1. Hazikuwa kampeni, lilikuwa ni kusudio la kupinduana, siyo kuchaguana kujenga chetu. 2. Why hazikuwa kampeni? Wana ndugu hawa kama tulivyokuwa tunawaona/tunawajua tulio pembeni, hamkupashwa kufika mliko fika mlivyobagazana, kukashifiana, kutukanana and the like....all...
  11. M

    Kwanini Lissu alikuwa na wagombea wake uchaguzi CHADEMA? Huu ndio ubaguzi aliompinga Mbowe?

    Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari. Ni kura ya mabadiliko pekee...
  12. M

    Hongera sana Tundu Lissu kwa ushindi wako lakini shughulikia changamoto hizi

    Hongera Sana Tundu Lissu kwa Ushindi Wako—Lakini Changamoto Zinaanza Timu yako ilitumia mbinu ngumu na zenye madhara kwa demokrasia nchini, hasa dhidi ya mlezi na kiongozi wenu ndani ya chama, Freeman Mbowe. Kejeli na dharau alizofanyiwa Mbowe kupitia Lema zimewapa ushindi wa muda mfupi...
  13. Mindyou

    Kama unajiuliza kwanini polisi wamekataza Press ya Mnyika, tazama hapa jinsi Uchaguzi wa CHADEMA ulivyoteka mitandao ya kijamii

    Wakuu, Binafsi nawaelewa CCM kwanini wamekataza Press ya Mnyika na wakaenda kuweka polisi mbele ya jengo la CHADEMA ili kuzuia hiyo Press kufanyika. Whoever made that decision anaelewa ni kiasi gani CHADEMA wana nguvu kwenye mitandao ya kijamii. Kama hiyo press itafanyika, hakuna mtu...
  14. Waufukweni

    Pre GE2025 Musiba: CCM walikusanya wasanii Dodoma bila faida na CHADEMA haikuzimwa

    Wakuu Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini kwenye nguvu ya wasanii katika mikutano yake hakina msaada kwa chama hicho hata kwenye uchaguzi wa CHADEMA nguvu yao haikuweza kufunika mijadala ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  15. Cute Wife

    Pre GE2025 Dkt. Nshala alitishiwa maisha sababu ya kupinga Mkataba wa DP World. Uteuzi wake CHADEMA unamaanisha nini kwenye Siasa za Tanzania?

    Wakuu, Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya...
  16. Damaso

    Kwa makala hii ya kuhusu CHADEMA, DW nimewavua vyeo sana

    Uchaguzi wa hivi karibuni ndani ya Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA) umekamilika, lakini umeibua maswali mengi—hasa kuhusu uwakilishi mdogo wa wanawake katika ngazi za juu za uongozi wa chama. Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba kukosekana kwa kanuni na miongozo...
  17. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu afunguka kuacha wazi nafasi moja ya Mjumbe wa Kamati Kuu, asema siyo ya Dkt. Slaa, wala Mgombea Urais, wala mtu kutoka CCM

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ameeleza sababu za kuacha wazi nafasi moja ya Mjumbe wa Kamati Kuu baada ya kuteua Wajumbe Watano (Godbless Lema, Dr Rugemeleza Nshala, Rose Mayemba, Salma Kasanzu na Hafidh Saleh), asema siyo ya Dkt. Slaa, wala Mgombea Urais wala mtu kutoka CCM. Soma...
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu asifu uadilifu wa John Mnyika, namna alivyoendesha Uchaguzi na kumteua tena kama Katibu Mkuu CHADEMA

    Mwenyekiti mteule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameeleza uadilifu wa John Mnyika na namna ambavyo aliendesha Uchaguzi wa ndani ya Chama. Soma, Pia: Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu
  19. Waufukweni

    Pre GE2025 Odero amesema ile kura moja aliyoipata ni ya mpiga kura, hata yeye hakujipigia Kura Uchaguzi CHADEMA

    Wakuu Mwanachama na aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA, Odero Charles Odero amesema ile kura moja aliyoipata katika uchaguzi huo ni ya mpiga kura sio yake. Kwa maana hiyo hata yeye mwenyewe alishindwa kujipigia kura Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu...
  20. The Watchman

    SI KWELI LHRC yaliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi mkali uchaguzi CHADEMA

Back
Top Bottom