uchaguzi chadema 2024/2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Mratibu wa Kampeni za Mbowe: Kumtuhumu kushirikiana na CCM ni kumkosea heshima, Tunamhitaji Mbowe kuliko anavyojihitaji yeye mwenyewe

    Mratibu wa kampeni za Freeman Mbowe ametoa kauli kali akiwataka wale wanaomtuhumu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuacha mara moja, akisisitiza kuwa ni kumkosea heshima kiongozi huyo. Akizungumza na Jambo TV, mratibu huyo ameeleza kuwa Mbowe ameonyesha...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Ilala: Mbowe atoe tamko kukemea wapambe wake wanaomtukana na kumtishia Tundu Lissu

    Wakuu, Mara baada ya CHADEMA Shinyanga na Mwanza kuonesha kwamba wanamuunga mkono Tundu Lissu, CHADEMA Ilala nao wameonekana kutoa tamko. Mnaweza kuwatukana CHADEMA kuwa kina mgawanyiko lakini hii ndo aina ya demokrasia inavyotakiwa kuwa Mambo kama haya huwezi kuyakuta CCM ambapo Mwenyekiti...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 CHADEMA Mwanza: Ni vyema Mbowe apumzike kwa heshima, amuachie nafasi Tundu Lissu

    Wakuu, Baada ya Shinyanga kutangaza kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu naona na Mwanza nao wameunga mkono juhudi ========================================================== Wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoa wa Mwanza wamemuomba Mwenyekiti wa Chama hicho...
  4. T

    Pre GE2025 Pambalu: Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora

    Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x -- Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa kiongozi bora. Kiongozi bora anatetewa na tunu, maono na kipaji cha uongozi alichojaliwa na sio...
Back
Top Bottom