udhaifu wa utawala wa rais samia

  1. S

    Ndani ya CCM hakuna anayeona udhaifu wa Rais Samia kwenye uongozi wake?

    Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa. Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa...
Back
Top Bottom