udini

Udini Square is a shopping mall at Gelugor, a southern suburb of George Town in Penang, Malaysia. Opened in 2015, the three-storey mall is currently anchored by two sporting good chains, SportsDirect.com and MST Golf Superstore, as well as Mr D.I.Y., Malaysia's largest hardware chain.Udini Square was developed by a Malaysian property developer, IJM Corporation, with a gross development value of RM75 million. The suburban lifestyle mall caters to residents within Gelugor, and sits near the Tun Dr Lim Chong Eu Expressway that links George Town, the Penang Bridge and Penang International Airport.

View More On Wikipedia.org
  1. sonofobia

    Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

    "Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!" ====...
  2. Magical power

    Nyota na masuala ya kidini (UDINI)

    NYOTA NA MASUALA YA KIDINI ( UDINI ) 1. Hawa kiukweli ni watu wanaoegemea upande wa dini yao tu. Yaani hufuata sana dini yao tu. Na wapo tayari kuilinda dini hio ILA SASA kinachofanya waheshimu dini na mila za imani zingine ni maslahi yao binafsi. Hawa wamegundua ukiweka sana misimamo...
  3. Mhaya

    Athari za vita vya Kidini

    Katika historia ya binadamu, vita vya kidini vimekuwa ni mojawapo ya matukio yenye athari kubwa kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Vita ya Israel na Palestina imedhihirisha wazi udini miongoni mwa watanzania wengi. Mara nyingi, mizozo hii inachochewa na tofauti za imani na itikadi za kidini, ikileta...
  4. G

    Azam, Azam Udini utawaharibia

    Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
  5. LIKUD

    Suala la Paulina Gekul lishughulikiwe kwa busara kubwa naona taratibu limeanza kuibua mijadala ya udini mitandaoni

    Kuna video inasambaa kwenye makundi ya whatsap na instagram ambapo ndani yake wanasikika watu wanao jitambulisha kuwa wao ni waislamu wakiapa kwamba kijana anae daiwa kudhalilishwa na Paulina Gekul ambae ni muislamu lazima haki yake ipatikane na kwamba waislamu hawatakubali kuona haki ya kijana...
  6. Determinantor

    Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

    Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi...
  7. SAYVILLE

    Tukiendekeza siasa na udini katika mashindano ya African Football League, hayatadumu

    Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana. Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina...
  8. Mjina Mrefu

    Zitto Kabwe: Wanaoliunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT

    Habari wakuu, Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X). Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..." Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo? Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
  9. LIKUD

    Mwijaku alirudia shule au alisilimu?

    Jina lake anaitwa Burton Mwemba or something but anajiita shekhe na of course anajua jua baadhi ya dua. Swali; jina halisi la mtu huyu ni nani? Tangu lini muislamu kutoka ujiji Kigoma akaitwa " Burton!!" Alikuwa mkristo akasilimu au alirudia shule na kununua jina la mtu?
  10. figganigga

    Baba Askofu Stephen Munga: Acheni kucheza karata ya Udini, hoja ijibiwe kwa hoja

    ACHENI KUCHEZA KARATA YA UDINI - HOJA IJIBIWE KWA HOJA Suala la mjadala wa mkataba tata wa bandari sio mchezo wa kamari. Hapo hatufanyi majaribio katika kuhoji na kujibu hoja. Pia hapo tunatazama mambo mapana ya taifa kwa vizazi vingi vijavyo. WATU WENYE AKILI TIMAMU NA NGUVU YA KUFIKIRI...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

    KWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa...
  12. Dalton elijah

    Wacha nimpe darasa kidogo Mzee Jakaya Kikwete

    Na Mwl John Pambalu Nimeshangazwa sana na kauli ya mzee Kikwete aliyoitoa jana huko mkoani Mara siku moja baada ya tamko la Baraza la maaskofu Katoliki katika kile alichodai kuwa si sawa kuchanganya dini na siasa. Kikwete ambaye marehemu Askofu Getrude Lwakatare alikuwa mbunge kupitia chama...
  13. Determinantor

    Kukosoa wanasiasa haiwezi kuwa ‘UDINI’

    Katika pita pita zangu nimekutana na ka' makala kadogo hivi, kazuri kameandikwa na Buyobe wa Twitter. Nikaona si dhambi kukaweka hapa Ili wale wanaotetea "upumbavu" wa CCM Kwa minajili ya "UDINI" wakumbuke hili nalo. Tarehe 25 December 2017, Askofu Zakaria Kakobe akiwa kanisani kwenye ibada ya...
  14. wa stendi

    Picha inaongea! Msichanganye dini na siasa

    Hayo ameyasema Rais mstaafu Jakaya mrisho kikwete Na kweli sio vizuri kuchanganya dini na siasa
  15. GoldDhahabu

    Wanaohusisha mkataba wa bandari na suala la udini wanafahamu kuwa ukosoaji haujaanza mwaka huu?

    Tokea suala hilo liibuke, takriban miezi miwili sasa, kumetokea makundi makuu mawili. Kundi la kwanza ni la wanounga mkono huo mkataba. Na kundi la pili ni la wanoupinga, wengi wao wakitaka baadhi ya vipengele virekebishwe. Binafsi, nipo upande wa wanaotaka huo mkataba urekebishwe ili uweze...
  16. Determinantor

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa! Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW. Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na...
  17. hermanthegreat

    Udini na Ukanda ni sumu kwa taifa lolote, Watanzania tujaribu kuizuia

    Habari wanajf. Swala hili linaloendelea mitandaoni watu wakijaribu kulinganisha swala la bandari na udini na Ukanda linazidi kukua. Likiwa kubwa litatoka kwenye mitandao litaanza kulitafuna taifa letu. Nasema ni sumu Kali kwasababu halijawahi kutulizwa kirahisi likianza hasa kwenye nchi za...
  18. Nsanzagee

    Lissu alimkemea Magufuli na Mkapa ambao ni wakatoliki wenzie, huo udini anaopakaziwa sasa unatoka wapi?

    Watu wakiishiwa hoja, husingizia jinsia ama dini! Lissu sifahamu kama ni Mkristo ama dini gani. Ninachojua Tundu Lissu kwake suala la dini, ni la mtu na Mungu wake na siyo Tanzania inajisiwe na mtu awaye yote kwa sababu ya dini yake Inapotokea kiongozi yeyote anakuwa kinyume na sheria za nchi...
  19. M

    Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

  20. Kaka yake shetani

    CCM inatumia propaganda za udini na ukabila kukabiliana na vyama Makini vya upinzani

    Hili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini. Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?
Back
Top Bottom