Habari zenu wanajamii
Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.
Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.
Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili...