uelewa wa hiv

  1. sergio 5

    HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

    Wakuu habari za mda huu hili jambo nimelifiliria nikaona ni tatizo kubwa sana ambalo limetengenezwa kwenye jamii kwanini tunafundishwa kuogopa mgonjwa wa ukimwi ? Yaani mtu akigundua unafukuzia mtu mwenye ukimwi utatishwa mno kuwa pale sio utaingua je wenye maambukizi hawapaswi kuoa au kuolewa...
Back
Top Bottom